Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?

MAULID KITENGE sio tajiri Bali amezungukwa na watu masikini,na wengi wapo humu jf.
 
Tuache wivu mau ana connection na watu wakubwa....mau anaenda kwa kikwete kama kwake
 
Ngada?
 
+ DÉBORA USA =
Msake mange kimambi anakuambia kila kitu
 
Ana wanawake wanamlea , angalia Mange ameposti wanawake wawili wanaomlea ,bado wa hapa bongo wanaomlea.
 

Kumbe anapokea miamala ya wanawake anaowadanganya amewaoa. Hivi huyu jamaa ana wanawake wangapi? Maana kila kona anayoenda amewekeza, tena kisheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…