Hizi kauli za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?

Hizi kauli za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?

Unaweza ukathibitisha alivyochakachua. Bush alipata Electoral College Votes 271 dhidi ya Al Gore aliyepata 266, sasa uchakachuaji ulikuwa wapi hapo. Acheni mambo ya vijiwe vya kahawa.

We mropokaji uwe unasoma vitu na kuelewa basi,tatizo lako unajionaga wewe ndio una uchungu uchwara wa demokrasia ya US.

Soma hata vitabu basi.
Screenshot_2020-06-13-21-01-58-1.jpg
 
Biden is too colourful, hana uwezo wa kumshinda Trump - hata kujieleza kwa ufasaha awezi, akija kwenye debate na Trump ndio ataonekana anapwaya sana.
 
We mropokaji uwe unasoma vitu na kuelewa basi,tatizo lako unajionaga wewe ndio una uchungu uchwara wa demokrasia ya US.

Soma hata vitabu basi.View attachment 1477595
Hiyo sio hoja, hata waandishi wana inclinations na vyama. Ktk nchi kama Marekani huwezi kuiba kura halafu eti uwe rais, hayo mambo tuachie sisi Tanzania.

Kwenye ule uchaguzi hata Federal Constitutional Court iliidhinisha ushindi wa Bush na hata Democrats hawakupinga.

Mahakama za kule sio Kangaroo Courts kama zetu.
 
Joe biden ni mropokaji km yule jamaa aliyehutubia Facebook
Ukikaa kuwasikiliza waropokaji tena Facebook, wewe ni boya tu. Unaacha kujadili hoja unaleta mambo yako ya facebook. Ingekuwa bora uanzishe uzi wako wa facebook
 
kwa7bu ya majanga joe anajiona ni mshindi tayari. joe namfananisha na kabila moja hapa nchini ambao wanakawaida ya kushukuru kitu kabla hawajapewa.
 
Habari!

Awali ya yote, natumai mu wazima wa afya.

Nimemsikia Joe Biden akisema kuwa ana wasiwasi kwamba rais Donald Trump "atajaribu kufanya wizi" katika uchaguzi ujao wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu.

Joe Biden hakuishia hapo tu bali amedai kuwa anaamini Jeshi litalazimika kumuondoa kwa nguvu Trump kutoka White House endapo akigoma baada ya kushindwa uchaguzi wa Novemba.

Kauli hizi zimepokelewa kwa mitazamo tofauti tofauti kwa wale waliopata kumsikiliza Joe Biden.

Kuna wanaodhani ni mzaha tu ama mbinu za kisiasa za Joe Biden za kumtawala mpinzani wake kuelekea katika uchaguzi ujao huku wengine wakizipuuza kauli hizi lakini kuna ambao kauli hizi zimejenga hofu ndani ya mioyo yao.

Mimi naweza kuziita hofu hizo 'hofu tupu' na kuna masuala mengine mengi ya kuhofia na si hiki cha Trump kugoma kuachia ngazi.

Pamoja na hayo, Trump hakukaa kimya.

Trump akizungumza jana katika mahojiano yake na FOX News alidokeza kuwa ataachia ngazi kwa amani endapo atashindwa uchaguzi ujao wa Novemba.

Katika mahojiano hayo Trump alinukuliwa akisema, “Certainly, if I don't win, I don't win.”

Sasa, ni kipi kinachompelekea Joe Biden kuhisi hiki anachokihisi?

Je, hizi si dalili kuwa Joe Biden ameanza kushindwa mapema kumkabili Donald Trump kwa hoja za kuweza kujenga ushawishi wa kupigiwa kura?

Kauli hizi za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?
Mawazo yako tu; unajaribu kujenga ukuta kwa matofali ya barafu!
 
Unaweza ukathibitisha alivyochakachua. Bush alipata Electoral College Votes 271 dhidi ya Al Gore aliyepata 266, sasa uchakachuaji ulikuwa wapi hapo. Acheni mambo ya vijiwe vya kahawa.
Uchakuaji ulikuwapo Florida; kuna data zilizokwisha thibitishwa baada ya GWBush kuwa rais kuwa mdogo wake Gov Jeb Bush na Secretary of State Katherine Harris (wakati huo) walitumia nafasi zao kuswing balance ya matokeo ya recount kuchakachua kura za Florida yenye watu zaid ya milion 20 kusudi mtu wao GWBush apate ushindi wa kura mia tano tu.
 
Uchakuaji ulikuwapo Florida; kuna data zilizokwisha thibitishwa baada ya GWBush kuwa rais kuwa mdogo wake Gov Jeb Bush na Secretary of State Katherine Harris (wakati huo) walitumia nafasi zao kuswing balance ya matokeo ya recount kuchakachua kura za Florida yenye watu zaid ya milion 20 kusudi mtu wao GWBush apate ushindi wa kura mia tano tu.
Secretary of State wakati huo alikuwa Madeleine Albright m-democrat, wewe huyo Katherine Harris alikuwa Secretary of State wa nchi gani.

Na Secretary of State wa Democratic Party asingeweza kumfagilia mtu wa Republican Party.

Pia ujue kuwa mgogoro wakati huo ulienda hadi Supreme Court, kama una kumbukumbu, na majaji wengi waliidhinisha ushindi wa Bush.

Kimsingi, uchakachuaji wa kura hua ni laana ya waafrika zaidi na inajiongeza kwenye orodha ya madhaifu mengi waliyonayo na ni swala la utamaduni zaidi kuliko ubinadamu.
 
Secretary of State wakati huo alikuwa Madeleine Albright m-democrat, wewe huyo Katherine Harris alikuwa Secretary of State wa nchi gani.

Na Secretary of State wa Democratic Party asingeweza kumfagilia mtu wa Republican Party.

Pia ujue kuwa mgogoro wakati huo ulienda hadi Supreme Court, kama una kumbukumbu, na majaji wengi waliidhinisha ushindi wa Bush.

Kimsingi, uchakachuaji wa kura hua ni laana ya waafrika zaidi na inajiongeza kwenye orodha ya madhaifu mengi waliyonayo na ni swala la utamaduni zaidi kuliko ubinadamu.
Usijibu vitu usivyojua; ungefanya jitihada ndogo ku-google jina la Katherine Harris kabla hujaandika pumba hizi. Mgogoro kwenda Supreme Court ni baada ya hao kuwa wamechakachua na Gore alitaka zoezi lifanyika kwa kina kuondoa uchakachuaji, jamaa wakakimbilia Supereme court kuzuia zoezi hilo. Kuna riport zilishatoka siku nyingi sana zilizofanywa na muunganiko wa vyombo vya habari kugundua kuwa kweli kulikuwa na uchakuaji na taarifa ziko wazi mitandaoni.

(1) Kwa vile ulikuwa hujui kuwa kulikuwa na Katherine Harris kama Secretary of State wa Florida, soma hapa
Katherine Harris - Wikipedia

(2) Kwa vile ulikuwa hujui kuwa kulikuwa na Uchakachuaji, soma hapa; ni article ndefu sana kwani ni ya kichambuzi lakini kuelekea mwishoni ndiko kunakoonyesha uchakachuaji ulivyofanyika kwa kumzuia Judge Lewis kuhesabu kura za overvotes ambazo zilikuwa nyingi za Al Gore, hivyo kumkosesha karibu kura 29,000

2000 United States presidential election recount in Florida - Wikipedia
 
Usijibu vitu usivyojua; ungefanya jitihada ndogo ku-google jina la Katherine Harris kabla hujaandika pumba hizi. Mgogoro kwenda Supreme Court ni baada ya hao kuwa wamechakachua na Gore alitaka zoezi lifanyika kwa kina kuondoa uchakachuaji, jamaa wakakimbilia Supereme court kuzuia zoezi hilo. Kuna riport zilishatoka siku nyingi sana zilizofanywa na muunganiko wa vyombo vya habari kugundua kuwa kweli kulikuwa na uchakuaji na taarifa ziko wazi mitandaoni.

(1) Kwa vile ulikuwa hujui kuwa kulikuwa na Katherine Harris kama Secretary of State wa Florida, soma hapa
Katherine Harris - Wikipedia

(2) Kwa vile ulikuwa hujui kuwa kulikuwa na Uchakachuaji, soma hapa; ni article ndefu sana kwani ni ya kichambuzi lakini kuelekea mwishoni ndiko kunakoonyesha uchakachuaji ulivyofanyika kwa kumzuia Judge Lewis kuhesabu kura za overvotes ambazo zilikuwa nyingi za Al Gore, hivyo kumkosesha karibu kura 29,000

2000 United States presidential election recount in Florida - Wikipedia
Secretary of State (Wa Jimbo) ulitakiwa uwe specific hivyo maanake ukiacha hivyo wengine tunafahamu ni waziri wa mambo ya nje wa Marekani.

Kama walichakachua sasa walishindwa nini kuchakachua wakati wa Obama tena wakiwa mamlakani.
 
Secretary of State (Wa Jimbo) ulitakiwa uwe specific hivyo maanake ukiacha hivyo wengine tunafahamu ni waziri wa mambo ya nje wa Marekani.

Kama walichakachua sasa walishindwa nini kuchakachua wakati wa Obama tena wakiwa mamlakani.
Huyo anaitwa Secretary of State, haitwi Secretary of State (of the State of Florida) kama unavyotaka iwe.

Huo ni ujinga kama hujui kuwa uchaguzi wa marekani ni jurisdiction ya state. Kwa mfano tukiongea mambo ya Havard University, halafu mtu akasema President Lawrence Bacow, kweli utasema huo ni uwongo kwa sababu President ni Donald Trump? Jifunze kujua jinsi ya kupokea habari na kama hujui muundo wa utawala wa Marekani basi tulia uwe unajifunza pole pole hapa.

Kufanya kosa moja kwa lengo moja haina maana kuwa ni lazima ufanye kosa lile lile tena kwa lengo jingine. Harris alikuwa ni Vice Chair wa Kampeini ya Bush wakati Jeb ni mdogo mtu. Wakati wa uchaguzi wa Obama muundo wa uongozi wa state ulishabadilika na hata mazingira yalikuwa ni tofauti.

Usibishe vitu ambavyo hata wamarekani wenyewe walishavikubali na kuviacha viende kwani hawawezi kuvibadilisha tena. Huu ubishi wa kijinga huwa unaudhi kweli.
 
Ninatamani sana Joe Biden ashinde ili Republican warudi na wagombea bora kuliko ilivyo hivi sasa
 
Habari!

Awali ya yote, natumai mu wazima wa afya.

Nimemsikia Joe Biden akisema kuwa ana wasiwasi kwamba rais Donald Trump "atajaribu kufanya wizi" katika uchaguzi ujao wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu.

Joe Biden hakuishia hapo tu bali amedai kuwa anaamini Jeshi litalazimika kumuondoa kwa nguvu Trump kutoka White House endapo akigoma baada ya kushindwa uchaguzi wa Novemba.

Kauli hizi zimepokelewa kwa mitazamo tofauti tofauti kwa wale waliopata kumsikiliza Joe Biden.

Kuna wanaodhani ni mzaha tu ama mbinu za kisiasa za Joe Biden za kumtawala mpinzani wake kuelekea katika uchaguzi ujao huku wengine wakizipuuza kauli hizi lakini kuna ambao kauli hizi zimejenga hofu ndani ya mioyo yao.

Mimi naweza kuziita hofu hizo 'hofu tupu' na kuna masuala mengine mengi ya kuhofia na si hiki cha Trump kugoma kuachia ngazi.

Pamoja na hayo, Trump hakukaa kimya.

Trump akizungumza jana katika mahojiano yake na FOX News alidokeza kuwa ataachia ngazi kwa amani endapo atashindwa uchaguzi ujao wa Novemba.

Katika mahojiano hayo Trump alinukuliwa akisema, “Certainly, if I don't win, I don't win.”

Sasa, ni kipi kinachompelekea Joe Biden kuhisi hiki anachokihisi?

Je, hizi si dalili kuwa Joe Biden ameanza kushindwa mapema kumkabili Donald Trump kwa hoja za kuweza kujenga ushawishi wa kupigiwa kura?

Kauli hizi za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?
Katika uchaguzi wa 2016 DT Ametuhumiwa kusaidiwa na Russia, Uchunguzi wa Mueller umeibua mambo mengi sana,AG Bill Barr ametumia mbinu nyingi sana kumpendelea waziwazi DT Badala ya kuwa AG wa Nchi, kwa wale waliofuatilia Kitabu cha GODFATHER Wanamkumbuka Consiglieri, Ndio role ambayo Barr amekuwa anafanya, Ushaidi Mwingi wa Mueller report umefichwa na una tuhuma nyingi sana zidi ya DT, Na DT anachunguzwa sehemu nyingi, Kampeni yake washirika wake wengi wamekutwa na makosa na wengine kufungwa, Kabaki yeye, akishindwa uchaguzi kuna uwezekano mkubwa wa kushitakiwa na kwa kuwa sheria za US ni kama msumeno anaweza kufungwa.
Rejea jitihada na kutaka kumchunguza JOE and Hunter Biden.
 
Huyo anaitwa Secretary of State, haitwi Secretary of State (of the State of Florida) kama unavyotaka iwe.

Huo ni ujinga kama hujui kuwa uchaguzi wa marekani ni jurisdiction ya state. Kwa mfano tukiongea mambo ya Havard University, halafu mtu akasema President Lawrence Bacow, kweli utasema huo ni uwongo kwa sababu President ni Donald Trump? Jifunze kujua jinsi ya kupokea habari na kama hujui muundo wa utawala wa Marekani basi tulia uwe unajifunza pole pole hapa.

Kufanya kosa moja kwa lengo moja haina maana kuwa ni lazima ufanye kosa lile lile tena kwa lengo jingine. Harris alikuwa ni Vice Chair wa Kampeini ya Bush wakati Jeb ni mdogo mtu. Wakati wa uchaguzi wa Obama muundo wa uongozi wa state ulishabadilika na hata mazingira yalikuwa ni tofauti.

Usibishe vitu ambavyo hata wamarekani wenyewe walishavikubali na kuviacha viende kwani hawawezi kuvibadilisha tena. Huu undishi wa kijinga huwa unaudhi kweli.
Unajua lkn unazidi kumchanganya huyo jamaa anayebisha?

Achana nae tu mzee baba,dozi imemtosha sana.
 
DT atapindua meza, na watu hawataamini.
Ni kweli 'hana mvuto' kwa wapiga kura wenye global view; ila JB anaweza kutoamini kitakachotokea.
Kama uchumi, ajira vilikuwa vizuri; DT has the best odds.
 
Back
Top Bottom