Hizi kauli za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?

Huwezi ku-dictate fikra zako ndio zi-prevail kwa zile za wenzako. Kwa kuwa hakuna uthibitisho bayana kuwa uchakachuaji uliofanyika hili swala litabaki tu kuwa subject of speculation.

Pia kwenye hili jukwaa watu wenye fikra mbalimbali wanajadiliana na kamwe hawatakuwa na mawazo yanayofanana kiasi kwamba kama mtu unafikia kiwango cha kuchukia kisa hoja yako haijaungwa mkono na wengine utakuwa unajitafutia shida bure kwani huwezi kurusha ngumi humu. So please, take heart.
 
Hizo siyo fikra zangu; ni mambo halisi ambayo wamarekani wote wanayajua leo. Labda kama wewe unayasikia kwa mbali; mimi ninakaa marekani tangu henzi hizo na ninayajua waziwazi ila walishaamua ku-move on. Hizo record za Wikipedia nilizokupa sikuziandika mimi.
 
Joe biden ni mropokaji km yule jamaa aliyehutubia Facebook
kuna kiongozi mropokaji kama yule anayelindwa kwa uzio wa chuma? anapanga watu wa kumpokea kisha anasema amelakiwa na mamia
Ile dawa ya COVID 19 aliyoifuata Kabudi ilinywewa na nani akiwa wapi
 
Nani huyo unamzungumzia?
kuna kiongozi mropokaji kama yule anayelindwa kwa uzio wa chuma? anapanga watu wa kumpokea kisha anasema amelakiwa na mamia
Ile dawa ya COVID 19 aliyoifuata Kabudi ilinywewa na nani akiwa wapi
 
Mimi simfahamu Mkuu ila nimeongelea uropokaji wa biden ni afadhali kuliko wa lissu
kama humfahamu sawa ndiyo maana unashindwa kujua kati ya lisu na yule aliyekimbia CORONA na lisu nani anazungumza facts na nani anaropoka. pole kwa akili ndogo
 
Mzee umeteleza kubali tu kuwa post yako ili generalise Secretary of state ambae ni wa nchi zima sasa ukisema ni florida tu ilo hukulisema mwanzo
 
Mzee umeteleza kubali tu kuwa post yako ili generalise Secretary of state ambae ni wa nchi zima sasa ukisema ni florida tu ilo hukulisema mwanzo
Ni kwa vile hujui jurisdiction za chaguzi za Marekani ndiyo maana unakuwa confused! Secretary of State wa serikali ya Marekani unayemsema wewe anashughulika na mambo ya nje tu (yaani ni waziri wa mambo ya nje), hashughuliki na mambo ya chaguzi za ndani. Chaguzi zote zinasimamiwa na Secretary of State kwenye kila jimbo.
 
MKUUU ATANIII KANUSAA
KAMA.ILE.MICHEZO YA NYUMA.IKICHEZWA JB KALIA
SHIDA WATALAM.WAKONAE HAPO YUKORADHI KUMWAGA MZIGO WA MAANA WAFANIKIWE MUULIZE HILLARY C BADO KIDOGO APATE STROKE..
OOOH
 
Lisemwalo lipo, sii unaona sasa Trump anavyohangaika kwa kila namna ili ashinde...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…