Hizi kesi za wanaume wa leo ni aibu sana na hatari kwa jamii na fedhea katika ndoa

Hizi kesi za wanaume wa leo ni aibu sana na hatari kwa jamii na fedhea katika ndoa

kataip

Senior Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
145
Reaction score
80
Nawasalimu kwa majukumu ya kila siku.

Moja kwa moja kwenye mada,

Umechagua ulompenda zaidi, Umetoa mahari, umeoa tumeshiriki kwa namna mbali mbali miaka kadhaa imepita. Mwanaume unahudhuru!!!!!!!!!! Siku zinapita umpi mama yoyo nanihii atiii nimechoka mara kazi nyingi unavizia kitandani kwako mke alale ulale???????????

Ukimpa wampa kwa masharti ati kamoja tena kwa mbinde na unawaza kuwa na wake wengi??????????????
Nani anakusaidia ?????????????

Kazi ya kusifia figure tu kitandani wavivu. Mchfuyuuuuuu Ebu malizeni kesi za majumbani kwenu afu ndiyo mtoke, acheni uvivu, viepe na mavyakula ya kusindika na mazoezi yawepo.

Tushachoka na makesi yenu.

Kataip akiwa kijijini.
 
Bila shaka wewe n ke

Angalia usije kuwa umeolewa na mwanamke mwenzio

Wanaume tupo wachache Sana mkuu
 
Yaani mwanaume wako anakukwepa pengine gogo kitandani halafu unakuja jumuisha kuwa wanaume?
Kwahiyo wanaume tunalala nawewe au huyo mwanaume wako?

Rudi ukafundwe kwanza hata namna ya kuntega mumewe ili akupandie.
 
Wanaume wapo wachache sana, mi ndoa yangu ilidumu miaka mitatu na nilisex na x-mume mara 10
 
Wanawake wa siku hz wanaexpire sana yaan kuna muda hisia zinakosa kabisa lakin ukienda nje unapiga fresh tu

Tatzo lingine ni nyie wanawake kabla ya kuingia kwenye ndoa unakuta ulishazoea kupigwa miti na wanaume hata wawili kwa siku sasa unajikuta mwili wako umeshazoea mikiki mikiki kama hiyo ukiolewa na mwanaume mmoja huwez ridhika,pia papuchi inakuwa imetanuka kias kwamba haimpi hamasa mumeo

Ila ni waase wanaume wenzangu tujitahidi kufukuza fikira za kumchoka mwanamke kwenye kitanda,tujitahid kuzivuta hisia ili tutimize hili jukumu letu la msingi maana mpaka sasa kuna wanaume wameshawachoka wake zao mpaka wanatamani kuwaambia wakachakatwe huko nje
 
Wanaume wapo wengi ila hatuna pesa wenye pesa na migari ni watu ambao wapo bize either kazi za kiofisi au bussness huo mda wa kula mzigo unatoka wapi wakati anawaza contena zake kama zitafika salama hivyo vitu havikai kwa mtu mmoja hata siku moja yaani pesa na muda never.
 
Nyumba ndogo sehemu kubwa kuna uhuru siyo mapenzi hakuna familia kule ndugu ndugu wala watoto mnafanya yenu tu.
 
Back
Top Bottom