Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntumie no za Aññah 😂
Tulia uhamishwe Chato mpaka Kizimkazi manake nyinyi ni wagumu kuhama
😂Humuwezi mtoto wa kiyao yuleNtumie no za Aññah 😂
Kweli Bongo pagumu, watu mnanunuwa bundle la Jero?
Nimenunua salio la jero ili niingie menu ya sim Banking. And yes sometimes nanunua bundle la jero huo ndio uwezo wanguKweli Bongo pagumu, watu mnanunuwa bundle la Jero?
Asante sana zinakera haswa mno leo nilijiuliza niafanye je zinitoke? Alfajiri hizo hapoBlock tu zitaenda direct kwenye spam.
Huyu mama ana upendeleo wa kipumbavu sana
Tuendelee kupambana mambo yatajipa tu.Nimenunua salio la jero ili niingie menu ya sim Banking. And yes sometimes nanunua bundle la jero huo ndio uwezo wangu View attachment 3069898