Hizi ndio bei za mbolea ambazo wakulima watanunulia kuanzia Agosti 15, 2022 baada ya bilioni 150

Mbona sioni mbolea yA minjingu kwenye orodha ?
 
CCM imeshatufanya watanzania wote wajinga. Mbolea ilikuwa inauzwa elfu 50,000 wakapandisha mpaka 130,000. wanajifanya kushusha mpaka 70,000 na sisi kwa uzuzu tunashangilia
 
Naona wakulima hawamjui,waulize watumishi kuhusu aahadi za huyu mtu.
 
Aliyepandisha bei nani? Nipandishe mimi nishushe mwenyewe
Ndo kuupiga mwingi?
Ndugu zangu naomba mnitajie bolea inayofaa kwa kilimo Cha mpunga ktk hatua zote had mavuno nataka ninunue saiv niweke stoo kuepusha kukutana na wimbi la mbolea kupanda Tena! Pia naomba ushauri km mbolea za maji mfano super gro km inafaa kw kilimo Cha mpunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…