Hizi ndio nchi 10 pekee Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya Serikali.

Hizi ndio nchi 10 pekee Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya Serikali.

Tanganyika si ndo hiyo hiyo Tanzania?
Ww unaweza itenganisha Tanzania na Tanganyika?

Ndiyo.

Tanganyika ilikufa April 26, 1964.

Tanzania ilizaliwa April 26, 1964, baada ya Tanganyika kufa na kuungana na Zanzibar.

Kimsingi, Tanganyika haipo kwenye USO wa dunia
 
Another Bonus: Zambia na Zimbabwe ndizo nchi pekee zinazoanza na herufi "Z" Duniani.. Nchi hizi ni majirani 🙂
 
Mjukuu wangu,,elewa kua Tanganyika ndo Tanzania mwenyewe na Zanzibar kaolewa na hawezi pata taraka kiurahisi.
Umenielewa mjukuu wangu?

Nimekuambia katika mtazamo wa kisheria.

Huko kwingine unapokwenda sipatambui.

Nchi zote dunian zipo kisheria na siyo kihisia kama unavyomaanisha eti Tanzania ni Tanganyika wakati Tanganyika+Zanzibar=Tanzania.
 
Habari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
  1. Botswana
  2. Cape Verde
  3. Eritrea
  4. Mauritius
  5. Mozambique
  6. Namibia
  7. Sao Tome and Principe
  8. Senegal
  9. South Africa
  10. Tanzania
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Vipi Kongo DRC
 
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Ingependeza pia kati ya nchi hizo ni nchi ngapi zimeongozwa na CCM, ingeongezea nyama zaidi kwenye mada yako. Nategemea utanielewa ipasavyo!
 
Tanzania NO, ila Tanganyika kulifanyika mapinduzi 1964, January. Japo yalidumu kwa siku kama 3 hivi kabla ya UK kuna kuyatuliza majeshi ya Tanganyika
Yale hayakuwa mapinduzi ya utawala wa serikali. It was not a 'COUP DETAT'.

Ule ulikuwa mgomo au uasi wa baadhi ya wanajeshi kudai maslahi flani. It was a 'MUTINY'.
Mkuu hapa kaeleza vizuri kabisa.
 
Ingependeza pia kati ya nchi hizo ni nchi ngapi zimeongozwa na CCM, ingeongezea nyama zaidi kwenye mada yako. Nategemea utanielewa ipasavyo!
Hahaha nimekupata Mkuu no moja tu.
 
Ndiyo.

Tanganyika ilikufa April 26, 1964.

Tanzania ilizaliwa April 26, 1964, baada ya Tanganyika kufa na kuungana na Zanzibar.

Kimsingi, Tanganyika haipo kwenye USO wa dunia
Zanzibar ndio kuliwahi fanyika mapinduzi.karume alimpindua waziri mkuu wa Zanzibar Mohamed shamte hamad
 
Mkuu mwaka 1964 kulikuwa na mapinduzi ambayo kwa bahati nzuri yalizimwa mapema, vinginevyo hakuna ajuaye madhara yake yangekuwa vipi kwa vizazi vilivyofuatia. Jeshi liliasi ikabidi waingereza warudi kuokoa mambo.
Safi kuweka kumbukumbu sawa, dogo wa digital, hajafanya tafiti, kakurupuka
 
Habari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
  1. Botswana
  2. Cape Verde
  3. Eritrea
  4. Mauritius
  5. Mozambique
  6. Namibia
  7. Sao Tome and Principe
  8. Senegal
  9. South Africa
  10. Tanzania
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Hizo nchi ni waoga zina umasikini wa kutupwa
 
Back
Top Bottom