Tanganyika si ndo hiyo hiyo Tanzania?
Ww unaweza itenganisha Tanzania na Tanganyika?
Mjukuu wangu,,elewa kua Tanganyika ndo Tanzania mwenyewe na Zanzibar kaolewa na hawezi pata taraka kiurahisi.
Umenielewa mjukuu wangu?
Vipi Kongo DRCHabari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
- Botswana
- Cape Verde
- Eritrea
- Mauritius
- Mozambique
- Namibia
- Sao Tome and Principe
- Senegal
- South Africa
- Tanzania
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Ingependeza pia kati ya nchi hizo ni nchi ngapi zimeongozwa na CCM, ingeongezea nyama zaidi kwenye mada yako. Nategemea utanielewa ipasavyo!Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Tanzania NO, ila Tanganyika kulifanyika mapinduzi 1964, January. Japo yalidumu kwa siku kama 3 hivi kabla ya UK kuna kuyatuliza majeshi ya Tanganyika
Mkuu hapa kaeleza vizuri kabisa.Yale hayakuwa mapinduzi ya utawala wa serikali. It was not a 'COUP DETAT'.
Ule ulikuwa mgomo au uasi wa baadhi ya wanajeshi kudai maslahi flani. It was a 'MUTINY'.
Hahaha nimekupata Mkuu no moja tu.Ingependeza pia kati ya nchi hizo ni nchi ngapi zimeongozwa na CCM, ingeongezea nyama zaidi kwenye mada yako. Nategemea utanielewa ipasavyo!
Walishapinduana sana tu.Mobutu alimpindua Patrice Lumumba na yeye Mobutu akapinduliwa na Raisi KabilaVipi Kongo DRC
Kwenye simu yangu sioni popote kwenye Post yako ikisema jaribio naona kama vile unaongeza kwa mdomo.Hapo nimetaja nchi ambazo kulikua na mapinduzi yalifanikiwa na majaribio ya mapinduzi Mkuu.
Zanzibar ndio kuliwahi fanyika mapinduzi.karume alimpindua waziri mkuu wa Zanzibar Mohamed shamte hamadNdiyo.
Tanganyika ilikufa April 26, 1964.
Tanzania ilizaliwa April 26, 1964, baada ya Tanganyika kufa na kuungana na Zanzibar.
Kimsingi, Tanganyika haipo kwenye USO wa dunia
CCM ilipindua ASP na TANU.Hiyo ya kumi mbona chama tawala kina jina la mapinduzi?? Walipunduka kivipi??
Safi kuweka kumbukumbu sawa, dogo wa digital, hajafanya tafiti, kakurupukaMkuu mwaka 1964 kulikuwa na mapinduzi ambayo kwa bahati nzuri yalizimwa mapema, vinginevyo hakuna ajuaye madhara yake yangekuwa vipi kwa vizazi vilivyofuatia. Jeshi liliasi ikabidi waingereza warudi kuokoa mambo.
Kwa Mataifa ya Africa tu.Uganda ndio nchi pekee inayoanzia na U
Rwanda ndio nchi pekee inayoanzia na R
Kwa Afrika 🙂Kwamba Kenya ndio nchi pekee inayoanza na "K" [emoji16][emoji16]
Hizo nchi ni waoga zina umasikini wa kutupwaHabari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
Swali: Je unadhani kutokua na mapinduzi ya kiserikali ni alama ya ukomavu wa kisiasa, au kukosa watu wenye maono tofauti yenye ushawishi, au woga?
- Botswana
- Cape Verde
- Eritrea
- Mauritius
- Mozambique
- Namibia
- Sao Tome and Principe
- Senegal
- South Africa
- Tanzania
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
mgomo ukamkimbiza Nyerere ikulu akajificha kigamboniYale hayakuwa mapinduzi ya utawala wa serikali. It was not a 'COUP DETAT'.
Ule ulikuwa mgomo au uasi wa baadhi ya wanajeshi kudai maslahi flani. It was a 'MUTINY'.