Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hamchoki kuhangaika na dini yenu Mnachosha jamani huku hakuna maji kama mnayo maji njooni moshono ya chini mniletee maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madhaifu yako ktk utunzaji wa kumbukumb yamekupa ujasiri wa kuamin ktk hadithi za kusadikika.Bila shaka hapo ulipo sidhani kama una uwezo wa kutaja mababu zako 20 kwa mfuatano. Kama historia yako imekushinda kuitunza basi historia ya MUNGU huhifadhiwa na MUNGU mwenyewe, basi tambua ya kwamba sisi tunamkumbuka na kumtambua Ibrahim kwakua Yeye ni Baba wa imani ya Mungu mmoja (kuamini katika Mungu mmoja) na imani zote tatu zinazojulikana kama imani za Ibrahimu, ametajwa katika vitabu vyote vitatu Vitakatifu vyenye hadithi zinazoonyesha imani yake kwa Mungu mmoja.
Unakuta mleta mada hata historia ya babu yake mzaa baba haijui. Takataka sanaHapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,
Inasikitisha
Waraabu wamewateka wajinga wengi sana. Hivi unajua wanachozungukaga pale ni jiweKwa hiyo hao wanaabudu kitu kinachofikiriwa kuwa ni Nyayo ya Ibrahim?
Unakuta mleta mada hata historia ya babu yake mzaa baba haijui. Takataka sana
Watu wa Mnyaazi ni kwere😂😂
Siku tukiacha kuaminu huu upuuzi waafrica watafika mbali sana na hakuna misukule ya nje itatuchezea tena!
Inasikitisha sana[emoji3]Kaka mkubwa mtoa mada kwa kutumia ubongo wako unaamini hiyo ni miguu ya binadamu?
[emoji3] hawa ndugu zetu hata vijiweni story zao n kujimwambafai na dini yao. Huwa wanaonaga watu wa imani nyingine kama vile n mashemetani. Wanaamini dini yao ina nguvu kuliko zingine,WE MUONGO SANA.
IBRAHIM ALIISHI MESAPOTANIA. IRAQ.
AKAAMBIWA AENDE ISLAEL.
HUKO MECCA NI UONGO MTAKATIFU.
WAISLAMU MUOGOPENI MUNGU.