Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,

Inasikitisha
Umenena
 
Ndo man mnaenda makka kaauabudi nyayo za warabu
Ile ni sehem ya kihistoria na takatifu kwa mafundisho yetu sisi
Kama vile wakatoliki wanavyoenda kuhijj Roma, wazayuni kule jerusalem na waorthrodox kule ethiopia
 
Ile ni sehem ya kihistoria na takatifu kwa mafundisho yetu sisi
Kama vile wakatoliki wanavyoenda kuhijj Roma, wazayuni kule jerusalem na waorthrodox kule ethiopia
Tangu nizaliwe sijawahi kusikia kuna msimu kama ule wa hijja ya kiislam kwa waroma kwenda italy roma kuhiji .vp wewe unaujua huo msimu ni mwezi wa ngapi,una picha yoyote ikionyesha wakristo wote duniani wamekusanyika roma kuzunguka au kuhiji sijui kitu gani.hijja ipo kwenye nguzo za kiislam ,ebu nipe andiko kwenye biblia inayoonyesha hao wakristo wengine wanatKiwa kwenda huko ulikosema kuhiji
 
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg
Huu ni uongo
 
Tangu nizaliwe sijawahi kusikia kuna msimu kama ule wa hijja ya kiislam kwa waroma kwenda italy roma kuhiji .vp wewe unaujua huo msimu ni mwezi wa ngapi,una picha yoyote ikionyesha wakristo wote duniani wamekusanyika roma kuzunguka au kuhiji sijui kitu gani.hijja ipo kwenye nguzo za kiislam ,ebu nipe andiko kwenye biblia inayoonyesha hao wakristo wengine wanatKiwa kwenda huko ulikosema kuhiji
Sijui msimu ninachojua kila mwaka makadinal na wafuasi wao dunia huwa wanaenda vetican kuhijj,
Viongozi na wafuasi wa orthodox wote dunia huwa wanaenda ethiopia kuhijj sasa kipi huelewi

Halafu unabidi utambue hakuna msimu wa kwenda hijj kwa waislamu
 
Sijui msimu ninachojua kila mwaka makadinal na wafuasi wao dunia huwa wanaenda vetican kuhijj,
Viongozi na wafuasi wa orthodox wote dunia huwa wanaenda ethiopia kuhijj sasa kipi huelewi

Halafu unabidi utambue hakuna msimu wa kwenda hijj kwa waislamu
Acha ujuaji mkuu,ina maana ukijisikia tu kwenda umra unakurupuka unaondoka,sasa ile eid el hajji huwa inamaanisha nini,watu wanavyochinja kile kipindi kinamaainsha eti hakuna kipindi maalumu.kama huna elimu na hilo jambo sema tu sijui wajuzi watakuelekeza.halafi hiyo hijja ya italy vatican ambayo wakristo wanaenda kila mwaka nimekuuliza hujui na hao wakristo tunaishi nao mitaani lakini hatujawahi kusikia huo mwaka waroma wanaondoka kwenda hija vatican,so usiongee vitu usivyokua na uhakika navyo humu
 
Acha ujuaji mkuu,ina maana ukijisikia tu kwenda umra unakurupuka unaondoka,sasa ile eid el hajji huwa inamaanisha nini,watu wanavyochinja kile kipindi kinamaainsha eti hakuna kipindi maalumu.kama huna elimu na hilo jambo sema tu sijui wajuzi watakuelekeza.halafi hiyo hijja ya italy vatican ambayo wakristo wanaenda kila mwaka nimekuuliza hujui na hao wakristo tunaishi nao mitaani lakini hatujawahi kusikia huo mwaka waroma wanaondoka kwenda hija vatican,so usiongee vitu usivyokua na uhakika navyo humu
Waislam wanaenda hajj mwz Dhul hijja,waukize makadinali watakueleza vzr pia waulize viongoz wa orthdox watakueleza vzr
 
Waislam wanaenda hajj mwz Dhul hijja,waukize makadinali watakueleza vzr pia waulize viongoz wa orthdox watakueleza vzr
Mwanzo umesema hakuna kipindi cha hijja ,sasahivi umebadilika unasema kuna kipindi maalumu nacho ni mwezi wa dhulhijja,kwahiyo siku nyingine usikurupuke kujibu kitu usichokijua,kuhusu hiyo hija ya wakristo ambao huwa wanafunga safari kwa pamoja kwenda roma kama wanavyofanya waislam kwenda makka,hakuna wewe ndio useme kadinali gani aliyekwambia hizo habari usiniambie mimi ambaye sijasema huo uongo niende kwa makadinali
 
Nina maswali mawili.
1. Kwanini Ibrahim alikuwa na kilo ngapi mpaka nyayo zake zibaki muda wote huo mpaka explorer walivyofika..
2. Me nyayo za Ibrahim zilikuwa zinajiandika jina mpaka wajue kwamba ni zake
 
Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,

Inasikitisha
Lawama nyingine hata hazina mashiko, hapo ni kosa la nani ambao hawakuweka historia?
 
Back
Top Bottom