Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg
Kwa hiyo hii ni ibaada ya masanamu?
 
Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,

Inasikitisha
Ngoja upelekwe mdomo upande [emoji855]
 
Kwa hiyo hii ni ibaada ya masanamu?
Ndio mkuu ni ibada ya sanamu. Wanasema mungu wao allah ni mmoja na ndio pekee wa kuabudiwa. Na ni kweli wanavyoamini kwasababu jiwe la alkaaba ni moja tu na ndo allah mwenyewe wanamuabudu
DZNImYvX4AEA4K3.jpg
 
Yaani mnaamini kabisa eti kuna sehemu kama ghorofani anakaa huyo sijui Allah! Huu ni upugi asee. Eti yaliteremshwa, acheni kupotosha watu na kuwaamisha watu huu ujinga wa karne ya 7!

Badala ya kukomaa na sayansi ambayo inatatua changamoto zetu, mnakomaa na miimani ya misukule ya kiarabu! Asee...

Miafrika tuna nuts zimeliwa na kutu sana kwa brain!
Sayansi inatatua changamoto au inaleta changamoto!?..sayansi ni uelewa wa binaadam juu ya mazingira yake,vifo 51% Leo vinatokana na mtindo wa maisha,yaani ulaji etc..saratani ni matokeo ya sayansi,na mahodpitalini wamejaa wahanga wa sayansi
 
Huyo Abraham hata kama hakuwapo ni hadithi watu wametunga tu, utahakikishaje kuwa hakuwapo kweli na habari zake ni hadithi za kutungwa na watu tu?

Hivi watu wanaelewa kwamba hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba huyo Abraham wa vitabuni alikuwapo kweli?
We huwa bogus Sana,ushahidi wa kihistoria unapatikana wapi!?...
 
Ila fuvu la binadamu wa kwanza tunaamini
lile ni fuvu wa binadamu wa kale ,hakuna waliposema wa kwanza ,sasa wewe kama una lako la kale zaidi unaweza kulileta tukalipima ili nalo liingie kwenye historia,kwahiyo umeamini zile ni nyayo za ibrahimu
 
Sasa mimi bogus, kwa nini unamuuliza swali mtu bogus?
Hilo swali linashajiisha ubogus wako Kama utajibu...we kitu wakifanya na kusema wazungu basi unaona Cha maana,unadandia tu!!
 
Hilo swali linashajiisha ubogus wako Kama utajibu...we kitu wakifanya na kusema wazungu basi unaona Cha maana,unadandia tu!!
Sawa mi bogus, nakupeleka ignore list tusijibizane maana mimi bogus.

Na wewe nakuomba niweke ignore list usione maandiko ya mtu bogus.

Sielewi kwa nini unajibizana na mtu bogus.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona chochote unachoandika.
 
Sawa mi bogus, nakupeleka ignore list tusijibizane maana mimi bogus.

Na wewe nakuomba niweke ignore list usione maandiko ya mtu bogus.

Sielewi kwa nini unajibizana na mtu bogus.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona chochote unachoandika.
Hoja zimeisha!!
 
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg
Mimi naikubali historia ya yule chifu alie Kalia Jiwe akaacha alama
 
Miguu kama Tembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ibrahimu hajawahi kwendaga huko,Wala Hana miguu Kama tembo,hizo Ni fix tuu ,hata huyo ishael hajawahi kanyaga huko,Wala ibrahimu hakuanzisha alkaaba,ibrahimu hawezi kujenga nyumba ya ushirikina
 
Back
Top Bottom