mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Anapotosha niniAnawapotosha
Utumwa umeharibu fikra ,akili zetu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapotosha niniAnawapotosha
WordYaani mnaamini kabisa eti kuna sehemu kama ghorofani anakaa huyo sijui Allah! Huu ni upugi asee. Eti yaliteremshwa, acheni kupotosha watu na kuwaamisha watu huu ujinga wa karne ya 7!
Badala ya kukomaa na sayansi ambayo inatatua changamoto zetu, mnakomaa na miimani ya misukule ya kiarabu! Asee...
Miafrika tuna nuts zimeliwa na kutu sana kwa brain!
Huyo Abraham hata kama hakuwapo ni hadithi watu wametunga tu, utahakikishaje kuwa hakuwapo kweli na habari zake ni hadithi za kutungwa na watu tu?Brother wangu Kiranga njoo utupe majibu hapa
Historia ya Mungu?!Bila shaka hapo ulipo sidhani kama una uwezo wa kutaja mababu zako 20 kwa mfuatano. Kama historia yako imekushinda kuitunza basi historia ya MUNGU huhifadhiwa na MUNGU mwenyewe, basi tambua ya kwamba sisi tunamkumbuka na kumtambua Ibrahim kwakua Yeye ni Baba wa imani ya Mungu mmoja (kuamini katika Mungu mmoja) na imani zote tatu zinazojulikana kama imani za Ibrahimu, ametajwa katika vitabu vyote vitatu Vitakatifu vyenye hadithi zinazoonyesha imani yake kwa Mungu mmoja.
Mambo ya uongo tu, nyayo za Loliondo nitaamini. Haya mengine ni mambo ya uongo uongo tu, ila unatakiwa uamini. Ni upuuzi. Nyayo za binaadamu ndio ziwe na umbo hilo?! au hao watu wa zamani walikuwa wanavaa viatu vya aina gani? Uongo, ila unatakiwaa uuamini. Mimi siamini.Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.
![]()
Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.
![]()
Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.
![]()
Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
![]()
Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
![]()
Iliyojengewa dhahabu
![]()
Maqam
![]()
Maqam Ibrahim
View attachment 2504569
Kwa ndani
![]()
Maqam
![]()
Mqam Ibrahim
![]()
Maqam
![]()
Maqam
![]()
Ni hivi ndg muislam; Ungezaliwa ukakuta uzao wa babu zako umeandikiwa historia na wazazi wako wakakupa muongozo lazima usome uwajue nadhani usingeandika hicho hapo juu!.Bila shaka hapo ulipo sidhani kama una uwezo wa kutaja mababu zako 20 kwa mfuatano. Kama historia yako imekushinda kuitunza basi historia ya MUNGU huhifadhiwa na MUNGU mwenyewe, basi tambua ya kwamba sisi tunamkumbuka na kumtambua Ibrahim kwakua Yeye ni Baba wa imani ya Mungu mmoja (kuamini katika Mungu mmoja) na imani zote tatu zinazojulikana kama imani za Ibrahimu, ametajwa katika vitabu vyote vitatu Vitakatifu vyenye hadithi zinazoonyesha imani yake kwa Mungu mmoja.
wewe ndie unao waita babu zako mizimuHapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,
Inasikitisha
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.
![]()
Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.
![]()
Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.
![]()
Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
![]()
Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
![]()
Iliyojengewa dhahabu
![]()
Maqam
![]()
Maqam Ibrahim
View attachment 2504569
Kwa ndani
![]()
Maqam
![]()
Mqam Ibrahim
![]()
Maqam
![]()
Maqam
![]()
Ila fuvu la binadamu wa kwanza tunaaminiKuna majitu yataamini hizo kweli ni nyayo za ibrahimu .waafrika tumechezewa sana
Ndio ujue tumepigwaaa,Hivi inawezekanaje kuwe na Ibrahim wawili? Aliekua anamwabudu Allah na Jehovah kwa wakati mmoja? Nyenyere
Nenda seke huko shinyanga ukaone miguu kama hyo alikanyaga mwanamalundi.Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.
![]()
Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.
![]()
Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.
![]()
Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
![]()
Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
![]()
Iliyojengewa dhahabu
![]()
Maqam
![]()
Maqam Ibrahim
View attachment 2504569
Kwa ndani
![]()
Maqam
![]()
Mqam Ibrahim
![]()
Maqam
![]()
Maqam
![]()
Umeongea ukweli ambao ni mchungu sanaHapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,
Inasikitisha
Sitaki kuamini ivo, bt kna shida sehemu sio bureNdio ujue tumepigwaaa,
Shtukaaaaa
Kuna adhari gani kuamini hizo ni nyayo za ibrahim?Kuna majitu yataamini hizo kweli ni nyayo za ibrahimu .waafrika tumechezewa sana