Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Hizi ndio nyayo vikanyagio vya Nabii Ibrahim, Jiwe dogo la mraba (Maqam Ibrahim) lililohusishwa na Ibrahim katika ujenzi wa Al-Kaaba

Yaani mnaamini kabisa eti kuna sehemu kama ghorofani anakaa huyo sijui Allah! Huu ni upugi asee. Eti yaliteremshwa, acheni kupotosha watu na kuwaamisha watu huu ujinga wa karne ya 7!

Badala ya kukomaa na sayansi ambayo inatatua changamoto zetu, mnakomaa na miimani ya misukule ya kiarabu! Asee...

Miafrika tuna nuts zimeliwa na kutu sana kwa brain!
Word

Ova
 
Bila shaka hapo ulipo sidhani kama una uwezo wa kutaja mababu zako 20 kwa mfuatano. Kama historia yako imekushinda kuitunza basi historia ya MUNGU huhifadhiwa na MUNGU mwenyewe, basi tambua ya kwamba sisi tunamkumbuka na kumtambua Ibrahim kwakua Yeye ni Baba wa imani ya Mungu mmoja (kuamini katika Mungu mmoja) na imani zote tatu zinazojulikana kama imani za Ibrahimu, ametajwa katika vitabu vyote vitatu Vitakatifu vyenye hadithi zinazoonyesha imani yake kwa Mungu mmoja.
Historia ya Mungu?!
 
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg
Mambo ya uongo tu, nyayo za Loliondo nitaamini. Haya mengine ni mambo ya uongo uongo tu, ila unatakiwa uamini. Ni upuuzi. Nyayo za binaadamu ndio ziwe na umbo hilo?! au hao watu wa zamani walikuwa wanavaa viatu vya aina gani? Uongo, ila unatakiwaa uuamini. Mimi siamini.
 
Bila shaka hapo ulipo sidhani kama una uwezo wa kutaja mababu zako 20 kwa mfuatano. Kama historia yako imekushinda kuitunza basi historia ya MUNGU huhifadhiwa na MUNGU mwenyewe, basi tambua ya kwamba sisi tunamkumbuka na kumtambua Ibrahim kwakua Yeye ni Baba wa imani ya Mungu mmoja (kuamini katika Mungu mmoja) na imani zote tatu zinazojulikana kama imani za Ibrahimu, ametajwa katika vitabu vyote vitatu Vitakatifu vyenye hadithi zinazoonyesha imani yake kwa Mungu mmoja.
Ni hivi ndg muislam; Ungezaliwa ukakuta uzao wa babu zako umeandikiwa historia na wazazi wako wakakupa muongozo lazima usome uwajue nadhani usingeandika hicho hapo juu!.

Uislam na Ukristo tumeukuta tayari una mizizi na umejichimbia chini sana kiasi kwamba hata babu yako anapokufa unaambiwa ni mzimu, so ukiulizwa wapi mlikuwa kabla ya hapo ulipo utaweza kutoa jibu? [NO] kwa nini huna historia yoyote bali ya kuletewa.

Kila mtu ana Imani ya Allah Subhanah wataealaa ila kujifanya imani zetu ni mizimu tunakosea sana!.
 
Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,

Inasikitisha
wewe ndie unao waita babu zako mizimu
 
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg

Kwahiyo hii ndiyo ile sehem watu wanazungukia na kuchungulia au ndiyo jiwe la alkaba lenyewe?
Maana nasikia alkaba ni jiwe jeusi dogo lilishuka toka mbiguni
 
Hivi inawezekanaje kuwe na Ibrahim wawili? Aliekua anamwabudu Allah na Jehovah kwa wakati mmoja? Nyenyere
 
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la Hejazi la Saudi Arabia. Chapa kwenye jiwe ilitoka kwenye miguu ya Ibrahimu.

d4f9b7e8-f6ab-402a-a1bf-e29ee2538575.JPG


Ilionekana pale Ibrahim aliposimama juu ya jiwe alipokuwa akijenga Al-Kaaba; kuta zilipokuwa juu sana, Ibrahim alisimama juu ya maqam, ambayo iliinuka kimiujiza ili kumwacha aendelee kujenga na pia ilishuka chini kimiujiza ili kumruhusu Ismail kumpa mawe.

a81671523f5d58d1b51890d35894325dc54aafee_840x576.jpg


Nyayo hiyo ilionekana wakati mke wa Ismail alipoosha kichwa cha Ibrahim, au pale Ibrahim aliposimama juu yake ili kuwaita watu kuhiji Makka.

maxresdefault.jpg


Nguo zilizofunikwa kwa Maqam Ibrahim, mwishoni mwa karne ya 19, zilitengenezwa huko Dar al-Kiswa huk Cairo.
NrvAug40I80dlNogcAQbH5setSMgZLhZ9R923DQf.jpg

Jiwe lililo ndani ya kasha lina umbo la mraba na hupima urefu na upana wa sentimita 40, na urefu wa sentimita 20. Ilikuwa imefungwa kwa muundo uitwao Maqsurat Ibrahim ambao ulifunikwa na sitara: pazia la mapambo, lililopambwa ambalo lilibadilishwa kila mwaka. Hivi sasa imewekwa ndani ya uzio wa chuma cha dhahabu.
magam-ibrahim-maqam-muslim-pilgrims-260nw-1206848917.jpg


Iliyojengewa dhahabu

images


Maqam

COeuXeoWIAAHrEw.jpg


Maqam Ibrahim

View attachment 2504569

Kwa ndani

e38f9d7b7abe23a027dbda02803a004a.jpg


Maqam
DZNImYvX4AEA4K3.jpg


Mqam Ibrahim

BU2ayBECQAEdvaj.jpg


Maqam

denah-kabah.jpg


Maqam

maqam-ibrahim-di-antara-ribuan-jamaah-yang-bertawaf-di-_160905103433-860.jpg
Nenda seke huko shinyanga ukaone miguu kama hyo alikanyaga mwanamalundi.
 
Hapo tunasoma historia ya mababu wa wenzetu na kuona ufahari na wengine kusafiri masafa kushangaa miguu ya Mababu wa Kiarabu huku sisi mababu zetu tunawaita Mizimu tena inayotisha kama hiyo haitoshi hata historia za Mababu zetu hatuzijui,

Inasikitisha
Umeongea ukweli ambao ni mchungu sana
 
Back
Top Bottom