Hizi ndio sababu huwa sitaki kuwaweka ndugu kwenye biashara zangu, Ni heri niwape mitaji wafungue biashara zao wapambane kivyao !!

Umasikini ni swala la familia na utajiri pia.
Kuna Cha kujifunza Kwa watanzania wenyewe Asili ya Asia.
Naami wanao ndugu visirani lakini je,huwa wanadeal nao vipi?
Hao kitu cha kwanza lazima muwe wamoja na mtaishi wote nyumba moja, hii naona inasaidia sana na inafanya wanafki watambulike haraka na kufungishwa virago kurudi huko Asia
 
Sio lazima udeal na ndugu directly kama Wana watoto basi chukua hao na uwekeze ktk ndugu zako kama wazazi ni visirani,hakika hutojuta.
 
Sisi
Umasikini ni swala la familia na utajiri pia.
Kuna Cha kujifunza Kwa watanzania wenyewe Asili ya Asia.
Naami wanao ndugu visirani lakini je,huwa wanadeal nao vipi?
Sisi kuna sehemu tunakwama mnoo, ndugu hapendi maendeleo yako, bado tunaishi maisha ya kila mmoja apambanie chake.
Mzee hata awe don vipi haingizi watoto kwenye utaratibu wake wa kuingiza fedha.
Ndugu wakiona una uafadhali woote watakuja hapo hapo.
Bado kuwangiana, ndugu anakuwangia usifanikiwe.
 
Hao kitu cha kwanza lazima muwe wamoja na mtaishi wote nyumba moja, hii naona inasaidia sana na inafanya wanafki watambulike haraka na kufungishwa virago kurudi huko Asia
Kuwa wamoja hicho kitu hakipo ila likija swala la Maslahi ni mwendo wa kuwajibisha na kupongezana .Kuwe hakuna undugu ktk biashara.
Undugu ni baada ya faida.
 
Sio hawapendi maendeleo ila hakuna kiongozi ndilo kubwa ila kila mtu anapenda maendeleo ila kila mmoja anataka awe juu ya mwingine kieshima .
Kuna mwandishi aliandika kitabu 48 laws of power.,kikubwa wengi wetu hatujui kucheza na hizi mbinu.
Kuwafanya baadhi ya wajuaji wajione ndio in charge lakini kumbe sio.
 
Hasa watoto wa mjomba ndio hawafai kabisa yaani

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji120][emoji419][emoji419]
 
Unakuta mtu amemuweka Shemeji mdogo wa mke ndio Meneja😁.
Hio haijakaa sawa, lazima kutakua na gap hapo manager hapaswi kua ndugu hii nimeona sehemu jamaa aliharibu biashara wakamtimua ingawa dada yake hakupenda Ila kwa kua mdogo ake kaharibu ikabidi akubari shingo upande tu
 
Tusamehe ndugu yangu,usitujumlishe wote,wakati huo mimi nilikuwa na mwaka mmoja!
 
Ngozi nyeusi tuna shida. Ukishalijua hilo utakuwa umetatua matatizo mengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…