Hizi ndio sababu huwa sitaki kuwaweka ndugu kwenye biashara zangu, Ni heri niwape mitaji wafungue biashara zao wapambane kivyao !!

Hao Ndugu umewaajiri au ni shareholders?
 
Jambo kuwa hata kama ni ndugu au mwanao Yuko kwenye production chain ya biashara yako au mradi lazima muwe na vikao vya mara Kwa mara alafu kila mmoja ajue responsibility zake na wewe ukiwa kama top leadership kikialibika kitu no excuse ila kama ujafanya job deligation Kwa kila mmoja itakuwa shida tupu .
 
Hao kitu cha kwanza lazima muwe wamoja na mtaishi wote nyumba moja, hii naona inasaidia sana na inafanya wanafki watambulike haraka na kufungishwa virago kurudi huko Asia
Utarudi vipi Asia ikiwa umezaliwa hapahapa Tz na ni Mtz pia ila tu una asili ya Asia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…