Hizi ndio sababu kwanini ni rahisi kwenda mbinguni kuliko motoni

Hizi ndio sababu kwanini ni rahisi kwenda mbinguni kuliko motoni

Unaweza kuthibisha hoja yako mkuu?

Ufunuo wa Yohana 7:9
Baada ya hayo nikaona, na tazama, mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitende mikononi mwao;


Baada ya hayo uliyoandika.
Sasa Hapo Wewe Uliambiwa Ni mbinguni???

Ufunuo wa Yohana 21:1-3

"Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.

Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.

Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao."



Na kuhusu Hao 144,000

Ufunuo wa Yohana 7:4

"Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu."

Ufunuo wa Yohana 14:1,4

"Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.

Hawa ndio wasiotiwa unajisi pamoja na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo."




Sasa Kama Mbingu inashuka na Dunia Inashuka Na wanaoenda Mbinguni ni Hao 144..
Na ndo watakaohukumu wewe unataka kwenda Mbinguni kufanyaje
 
Mathayo 7:13-24
Biblia Habari Njema (BHN)

13. “Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi.

14. Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo.
 
Sasa Hapo Wewe Uliambiwa Ni mbinguni???

Ufunuo wa Yohana 21:1-3

"Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.

Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.


Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao."



Na kuhusu Hao 144,000

Ufunuo wa Yohana 7:4

"Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu."

Ufunuo wa Yohana 14:1,4

"Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.

Hawa ndio wasiotiwa unajisi pamoja na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo."




Sasa Kama Mbingu inashuka na Dunia Inashuka Na wanaoenda Mbinguni ni Hao 144..
Na ndo watakaohukumu wewe unataka kwenda Mbinguni kufanyaje
Ufunuo Yohana anaonyeshwa mambo makubwa kuliko upeo wake au wa mwanadamu maana ni mambo ambayo macho ya binadamu hayajawahi kuona wala sikio halijawahi kusikia.

Ili kusaidia angalau ujumbe utufikie kwa urahisi vingi angalau ameviandika kwa mtazamo na ufahamu wa agano la kale.
Karibu kila msamiati ikiwemo hiyo 144,000 anautoa kwenye agano la kale.
Hiyo ni hesabu ya kijeshi, formation ya jeshi la Israel. Ni namba ya uwakilisho maana yenye tafsiri ambayo inabeba wote hata wasio waisrael. Maana kwenye agano jipya Muislae au mzao wa Ibrahim sio myahudi bali ni Mkristo. Wagalatia 3:29. Ndio maana amewaandikia hizo barua wazungu wa mashariki ya ulaya wakati kitabu kimeqndikwa kwa mtizamo wa kiyahudi. Makanisa saba ya asia. East and central europe. Ujumbe ambao ulikusudiwa hadi kwetu.

Pia kuhusu sisi watu wengi kwenda mbingini biblia haijaandika kakifungu kamoja. Ni marundo ya mafungu mkuu. Najua wewe ni mwanataalimungu na msomi wa maandiko labda kama yamekukinai na umetumia kujenga msimamo mipya farijishi.

1 Wathesalonike 4:16
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.

1 Wathesalonike 4:17
Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
 
Mbinguni ni hapa hapa Duniani,..... "TUNZA MITI TUNZA MAZINGIRA"
Humanism hii.
Dunia sio sehemu salama ya kuishi. Ikiachwa miaka mingi ijayo itajisuicide. Kwa kuokoa haya inabidi Yesu aje atupe hii takataka na kuchomoa wanaopenda vitu vizuri, kisha kut3ngeneza nyingin4 kabisa.

Hii unayoipromote ni worst version ya vile ilivyopaswa kuwa. Utunze mazingira kwa sababu za kibaiolojia na kijiografia ila sio ili dunia iwe sehemu bora maana hilo limeshafeli miaka 6000 iliyopita
 
1: Mungu ananguvu kuliko shetani.

2: Mungu ametoa kila kitu cha lazima mtu yeyote atakaye kwenda aende. Hakuna alichobakiza.

3: Neema ya Mungu ina nguvu kuliko nguvu ya dhambi

4: Kwa Mungu unaweza kuwa muovu miaka yako yote ilq sekunde moja tu kama mwizi msalabani ukasema Unikumbuke katika ufalme wako tayari tiketi ikiwa umemaanisha.

5: Biblia inaonyesha watakeondea mbinguni ni wengi kama mchanga wa bahari. Yaani hawahesabiki. Hata wewe ukitaka unaenda.

Ni hayo tu.
Fanya juhudi kumjua Mungu zaidi na kushika amri zake,usitegemee faraja za kibinadamu,Mungu ni Mwema ,mwenye huruma na Mwenye kusamehe kwa anaye mwabudu na kuzitenda amri zake.
 
Fanya juhudi kumjua Mungu zaidi na kushika amri zake,usitegemee faraja za kibinadamu,Mungu ni Mwema ,mwenye huruma na Mwenye kusamehe kwa anaye mwabudu na kuzitenda amri zake.
Baada ya haya yote, watu wote hawa walitazamia mambo makubwa kuliko haya tunayoyaona. Ukifanya haya yote bila kutazamia mji mpya na nchi mpya ambao unatanguliwa na kukaa mbinguni ikulu hightable na Mungu huyo hakuna sababu ya kuamini uwepo wa Mungu.

1 Kor 2:9-10 SUV​

lakini, kama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, (Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu,) Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao. Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
 
Watu wengi nimegundua ni maajent vificho wa mshahara wa ibris moto.

Wakuu ni vigumu sana mtu kwenda motoni kama ilivyo rahisi kwenda mbinguni. Mungu nawezi kuwawekea watoto wake ugumu kwenye mambo mazuri. Ugumu ni kwenye mambo mabaya. Ndio maana wengi wataenda motoni kwa kiherehere chao tu na kupenda mambo yasiyowahusu aliyoandaliwa ibris.
 
Ufunuo Yohana anaonyeshwa mambo makubwa kuliko upeo wake au wa mwanadamu maana ni mambo ambayo macho ya binadamu hayajawahi kuona wala sikio halijawahi kusikia.

Ili kusaidia angalau ujumbe utufikie kwa urahisi vingi angalau ameviandika kwa mtazamo na ufahamu wa agano la kale.
Karibu kila msamiati ikiwemo hiyo 144,000 anautoa kwenye agano la kale.
Hiyo ni hesabu ya kijeshi, formation ya jeshi la Israel. Ni namba ya uwakilisho maana yenye tafsiri ambayo inabeba wote hata wasio waisrael. Maana kwenye agano jipya Muislae au mzao wa Ibrahim sio myahudi bali ni Mkristo. Wagalatia 3:29. Ndio maana amewaandikia hizo barua wazungu wa mashariki ya ulaya wakati kitabu kimeqndikwa kwa mtizamo wa kiyahudi. Makanisa saba ya asia. East and central europe. Ujumbe ambao ulikusudiwa hadi kwetu.
Yeah na Wakristo Wote wamo kwenye Hiyo idadi sio?
Maana na wenyewe Ni waisraeli wa Kiroho au naongopa? 😅
Pia kuhusu sisi watu wengi kwenda mbingini biblia haijaandika kakifungu kamoja. Ni marundo ya mafungu mkuu. Najua wewe ni mwanataalimungu na msomi wa maandiko labda kama yamekukinai na umetumia kujenga msimamo mipya farijishi.

1 Wathesalonike 4:16
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.

1 Wathesalonike 4:17
Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.

Nakupa Scenario Moja Ndogo unaporudi Nyumbani ukitoka kazini wanao wanapokulaki, baada ya Kukulaki Huwa Unawachukua unawapandisha Kwenye gari Unarudi nao kazini au Unawachukua Mnaenda nao Ndanu nyumbani???

Namaanisha Baada ya sisi Kumlaki au Kumpokea Yesu Tutampokea galafu tutaenda juu au tutampkea naye atakuwa Imanuel (Kwa maana Makazi ya Mungu ni pamoja na wanadamu) kama Ufunuo inavyosema..

Ufunuo wa Yohana 3:12

Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.



mkuu Soma Ufunuo yako Na Biblia yako Vizuri Utaelewa tu..
Hakuna Mtu anaenda Mbinguni Mzee
 
Humanism hii.
Dunia sio sehemu salama ya kuishi. Ikiachwa miaka mingi ijayo itajisuicide. Kwa kuokoa haya inabidi Yesu aje atupe hii takataka na kuchomoa wanaopenda vitu vizuri, kisha kut3ngeneza nyingin4 kabisa.

Hii unayoipromote ni worst version ya vile ilivyopaswa kuwa. Utunze mazingira kwa sababu za kibaiolojia na kijiografia ila sio ili dunia iwe sehemu bora maana hilo limeshafeli miaka 6000 iliyopita
Unaiita Takataka sehemu ambayo inakuhifadhi, unaposema Dunia ni takataka naomba unijibu swali hili kati ya Dunia na watu nani amepewa hukumu ya kufa ?

Hata kwenye dini mnazoamini hakuna sehemu inayoonyesha dunia imewahi kwenda kinyume na Aliyeiumba ila waishio humo ndo huenda kinyume na Sheria za Muumba, wa kuitwa takataka ni watu na sio Dunia,

Muumba anaipenda Dunia hawezi kuitupa wala kuiangamiza kama mnavyodanganyana makanisani na misikitini,.... Moja ya kiumbe kitiifu sana kwa Muumba basi ni Dunia.

Na kwa kkuonyesha kwamba Dunia ni kiumbe pendwa sana hata ukisoma katka hayo maandiko mnayoamini yanaonyesha kabsa baada ya maasi kuzidi ndani ya Dunia......Muumba aliangamiza wanyama,wadudu na wanadamu wengi sana kwa Gharika,

Swali la kujiuliza unafikiri kwann Dunia haikuadhibiwa ila viumbe viishivyo humo ndo vikaadhibiwa ? Kama Muumba angeiona Dunia imekosea asingeshndwa kuwahamisha kidogo wakina nuhu wakaishi hata Kwenye Jua au sayari nyngnezo alafu aiangamize Dunia kisha aiumbe mpya.

Ukishindwa kuelewa huo mfano wa Mwisho basi.
 
Yeah na Wakristo Wote wamo kwenye Hiyo idadi sio?
Maana na wenyewe Ni waisraeli wa Kiroho au naongopa? 😅


Nakupa Scenario Moja Ndogo unaporudi Nyumbani ukitoka kazini wanao wanapokulaki, baada ya Kukulaki Huwa Unawachukua unawapandisha Kwenye gari Unarudi nao kazini au Unawachukua Mnaenda nao Ndanu nyumbani???

Namaanisha Baada ya sisi Kumlaki au Kumpokea Yesu Tutampokea galafu tutaenda juu au tutampkea naye atakuwa Imanuel (Kwa maana Makazi ya Mungu ni pamoja na wanadamu) kama Ufunuo inavyosema..

Ufunuo wa Yohana 3:12

Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.



mkuu Soma Ufunuo yako Na Biblia yako Vizuri Utaelewa tu..
Hakuna Mtu anaenda Mbinguni Mzee
Mimi ninachoona hapa kwenye hoja zako ni ukosaji wa mtiririko au mpangilio.

Maandiko yanasema vitu vyote viwili wewe unataka kuvimerge ili kukubwisha hoja yako kitu ambacho ni kosa la kimakusudi.

Tukizingatia biblia inasema kwa neno la mashahidi wawili shauri ninathibitika. Kuhusu watu wote kwenda mbinguni limesisitizwa kwa waandishi wa vitabu vya biblia zaidi ya kimoja akiwemo na Yesu mwenyewe atakayesimamia mchakato huo.

Pili Maandiko yamezungumzia jambo la pili katika mchakato wa kwenda mbinguni utafuatiwa na tukio la kuubwa upya maskani ya mwanadamu baada ya uteketezwaji wa huu uchafu dunia.

Mungu mmiliki wa dunia na sayari zaidi ya decillion katika ulimwengu kwa hiyari yake mwenyewe ataamua kuuunganisha maskani yake mbinguni na yale atakayowatengenezea wanadamu. Hii ni baada ya kuwachukua wote na makaburi kupasuliwa na watu wasiohesabika kwenda mbinguni aliko sasa Mungu.

Tena hawendi tu mbinguni wanaenda kukaa mahali pa hadhi ya juu sana ambapo hata malaika wa mbinguni hawajawahi kupaona hata kupafikia labda wale makerubi.
Kwenye kiti cha enzi na Baba yao.

Ufunuo wa Yohana 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Hoja yako imejengwa katika kuyafarakanisha maandiko na sio kuyaunganisha. Tukio ulilosimamishia hoja lako ni sehemu ya tukio la shamlashamla ya baada ya kuchukuliwa hapa duniani sio jumla kuu.


Yaani ni sawa na kipofu aliyeletewa tembo akashika sikio akaanza kubishia watu kuwa tembo anafanana na jani la gimbi au sinia. Kumbe anazungumzia sehemu ya tembo sio stori yote kuhusu mofolojia ya tembo. Mimi ninaposema mbinguni najumuisha package yote.

Kwa sasa huyu Mungu ikulu yake iko mbinguni na anaikulu ndogo katika subconscious mind yangu akitawala kutokea huko.
Yohana 14:23
Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Kama mtu mwenye majini anavyoitwa kiti na Mkristo ni kiti cha Serikali ya Mungu. Hivyo hizo raha za kuingia mbinguni na makao mapya tutakayoishi naye zimeshaanza sasa kwa jinsi ya rohoni kwa kutembea ukiwa na convoy ya serikali ya mbinguni duniani. Kama ni mkristo na hauamini haya ni afadhali uwe atheist au mason maana utakuwa ni ukristo wa shida na taabu sana. Dini itakuwa ni mzigo mkubwa
 
Yeah na Wakristo Wote wamo kwenye Hiyo idadi sio?
Maana na wenyewe Ni waisraeli wa Kiroho au naongopa? 😅


Nakupa Scenario Moja Ndogo unaporudi Nyumbani ukitoka kazini wanao wanapokulaki, baada ya Kukulaki Huwa Unawachukua unawapandisha Kwenye gari Unarudi nao kazini au Unawachukua Mnaenda nao Ndanu nyumbani???

Namaanisha Baada ya sisi Kumlaki au Kumpokea Yesu Tutampokea galafu tutaenda juu au tutampkea naye atakuwa Imanuel (Kwa maana Makazi ya Mungu ni pamoja na wanadamu) kama Ufunuo inavyosema..

Ufunuo wa Yohana 3:12

Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.



mkuu Soma Ufunuo yako Na Biblia yako Vizuri Utaelewa tu..
Hakuna Mtu anaenda Mbinguni Mzee
Mimi ninachoona hapa kwenye hoja zako ni ukosaji wa mtiririko au mpangilio.

Maandiko yanasema vitu vyote viwili wewe unataka kuvimerge ili kukubwisha hoja yako kitu ambacho ni kosa la kimakusudi.

Tukizingatia biblia inasema kwa neno la mashahidi wawili shauri ninathibitika. Kuhusu watu wote kwenda mbinguni limesisitizwa kwa waandishi wa vitabu vya biblia zaidi ya kimoja akiwemo na Yesu mwenyewe atakayesimamia mchakato huo.

Pili Maandiko yamezungumzia jambo la pili katika mchakato wa kwenda mbinguni utafuatiwa na tukio la kuubwa upya maskani ya mwanadamu baada ya uteketezwaji wa huu uchafu dunia.

Mungu mmiliki wa dunia na sayari zaidi ya decillion katika ulimwengu kwa hiyari yake mwenyewe ataamua kuuunganisha maskani yake mbinguni na yale atakayowatengenezea wanadamu. Hii ni baada ya kuwachukua wote na makaburi kupasuliwa na watu wasiohesabika kwenda mbinguni aliko sasa Mungu.

Tena hawendi tu mbinguni wanaenda kukaa mahali pa hadhi ya juu sana ambapo hata malaika wa mbinguni hawajawahi kupaona hata kupafikia labda wale makerubi.
Kwenye kiti cha enzi na Baba yao.

Ufunuo wa Yohana 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Hoja yako imejengwa katika kuyafarakanisha maandiko na sio kuyaunganisha. Tukio ulilosimamishia hoja lako ni sehemu ya tukio la shamlashamla ya baada ya kuchukuliwa hapa duniani sio jumla kuu.


Yaani ni sawa na kipofu aliyeletewa tembo akashika sikio akaanza kubishia watu kuwa tembo anafanana na jani la gimbi au sinia. Kumbe anazungumzia sehemu ya tembo sio stori yote kuhusu mofolojia ya tembo. Mimi ninaposema mbinguni najumuisha package yote.

Kwa sasa huyu Mungu ikulu yake iko mbinguni na anaikulu ndogo katika subconscious mind yangu akitawala kutokea huko.
Yohana 14:23
Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Kama mtu mwenye majini anavyoitwa kiti na Mkristo ni kiti cha Serikali ya Mungu. Hivyo hizo raha za kuingia mbinguni na makao mapya tutakayoishi naye zimeshaanza sasa kwa jinsi ya rohoni kwa kutembea ukiwa na convoy ya serikali ya mbinguni duniani. Kama ni mkristo na hauamini haya ni afadhali uwe atheist au mason maana utakuwa ni ukristo wa shida na taabu sana. Dini itakuwa ni mzigo mkubwa
 
  • Thanks
Reactions: 511
Naomba nijibu maswali yangu haya matatu kwa wewe unavyoelewa mbinguni kuna nini sababu hio mbingu (kutokana na watu wanavyoelezea huenda ikawa kama Motoni kwa wengine)

  • Mbinguni kuna nini na watu wanafanya nini ?
  • Iwapo mimi wadau wangu wote niliokuwa ninaelewana nao duniani pamoja na ndugu zangu ambao tunakula nao bata wakiwa motoni wanachomwa na mimi nikajiunga na nyie mbao hata huku hatuelewani na naona tunazinguana, nitakuwaje na furaha ?
  • Nyie mtakuwa watu wa aina gani mnakula bata wakati wengine huko wanahangaika na mateso na nyie mnasherekea maisha yenu yote, huo si ni kama u-sadist ? Binafsi labda nibadilike na niwe robot lakini siwezi kuwa na furaha wakati wengine wana matatizo...
 
Mimi ninachoona hapa kwenye hoja zako ni ukosaji wa mtiririko au mpangilio.

Maandiko yanasema vitu vyote viwili wewe unataka kuvimerge ili kukubwisha hoja yako kitu ambacho ni kosa la kimakusudi.

Tukizingatia biblia inasema kwa neno la mashahidi wawili shauri ninathibitika. Kuhusu watu wote kwenda mbinguni limesisitizwa kwa waandishi wa vitabu vya biblia zaidi ya kimoja akiwemo na Yesu mwenyewe atakayesimamia mchakato huo.

Pili Maandiko yamezungumzia jambo la pili katika mchakato wa kwenda mbinguni utafuatiwa na tukio la kuubwa upya maskani ya mwanadamu baada ya uteketezwaji wa huu uchafu dunia.

Mungu mmiliki wa dunia na sayari zaidi ya decillion katika ulimwengu kwa hiyari yake mwenyewe ataamua kuuunganisha maskani yake mbinguni na yale atakayowatengenezea wanadamu. Hii ni baada ya kuwachukua wote na makaburi kupasuliwa na watu wasiohesabika kwenda mbinguni aliko sasa Mungu.

Tena hawendi tu mbinguni wanaenda kukaa mahali pa hadhi ya juu sana ambapo hata malaika wa mbinguni hawajawahi kupaona hata kupafikia labda wale makerubi.
Kwenye kiti cha enzi na Baba yao.

Ufunuo wa Yohana 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.

Hoja yako imejengwa katika kuyafarakanisha maandiko na sio kuyaunganisha. Tukio ulilosimamishia hoja lako ni sehemu ya tukio la shamlashamla ya baada ya kuchukuliwa hapa duniani sio jumla kuu.


Yaani ni sawa na kipofu aliyeletewa tembo akashika sikio akaanza kubishia watu kuwa tembo anafanana na jani la gimbi au sinia. Kumbe anazungumzia sehemu ya tembo sio stori yote kuhusu mofolojia ya tembo. Mimi ninaposema mbinguni najumuisha package yote.

Kwa sasa huyu Mungu ikulu yake iko mbinguni na anaikulu ndogo katika subconscious mind yangu akitawala kutokea huko.
Yohana 14:23
Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.

Kama mtu mwenye majini anavyoitwa kiti na Mkristo ni kiti cha Serikali ya Mungu. Hivyo hizo raha za kuingia mbinguni na makao mapya tutakayoishi naye zimeshaanza sasa kwa jinsi ya rohoni kwa kutembea ukiwa na convoy ya serikali ya mbinguni duniani. Kama ni mkristo na hauamini haya ni afadhali uwe atheist au mason maana utakuwa ni ukristo wa shida na taabu sana. Dini itakuwa ni mzigo mkubwa
Umeongea Vizuri Ila hujaonyesha Ushahidi wa Kwe da Mbinguni ulioandikwa kwenye biblia zaidi ya maneno yako mwenyewe..
Kwa mujibu wa Ufunuo kiti cha Enzi kitashuka na Mbingu mpya kwahyo kusema kuhusu Kiti cha enzi ni mbinguni bado kuna Ualakini
 
Back
Top Bottom