Hizi ndio sababu zinazofanya Makocha na Wachezaji wengi kuondoka Yanga

Hizi ndio sababu zinazofanya Makocha na Wachezaji wengi kuondoka Yanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Wachezaji hawakuwa Mali yao bali ni wa Mkopo kutoka kwa Wakata Congo.

2. Kukopwa sana Pesa na Viongozi na kulipwa kwa kusumbuana mno.

3. Kilichomtokea mwenzao mmoja kuhusu Mkataba wake, kunyanyasika na kudhalilika kumewachukiza wengi.

4. Wachezaji hawataki tena kuwa sehemu ya kushuhusdia dhambi ya ununuaji wa mechi na matokeo kama uliofanyika kwa Misimu miwili iliyopita.

5. Vitendo vya Sodoma na Gomorah vimeanza kwa baadhi yao na Wakubwa.

Hapa GENTAMYCINE naikumbuka Meseji ya Dogo Kipa Ramadhan Kabwili alipomwambia Dogo wa Azam FC 'B' kuwa asishangae sana kwani mambo ya Sodoma na Gomorah katika Vilabu Vikubwa ni ya Kawaida.

6. Wachezaji wanaoondoka wameshasoma Alama za Nyakati kuwa Kocha ajae huenda akawa si Mzungumzaji Kifaransa mwenzao yule mpole wa Sudan na akaja Yyle Fyatu wa Uganda na wasipate namba na wazawa ndiyo wakapata namba.

7. Timu imetumia hela nyingi kuyapata mafanikio waliyoyapata ila ilichoingiza ni kiduchu hivyo Mstaafu aliyekuwa nae akitoa pesa zake nyingi na yule tajiri aliyeko hadi nchini Kenya kibiashara sasa wanataka kujitoa na Mdhamini mkubwa aliyeko nae anataka kukaa pembeni kwani alidhani umati uliokuwa ukijitokeza viwanjani kwa uwingi wao ule ule ungekuwa unalalia katika 'Masponji' yao yaliyotapakaa kumbe wengi wao wanalalia mikeka tu kama siyo na maboksi.

Cc: Dr Matola PhD, SAGAI GALGANO, Frank Wanjiru

ANGALIZO

Humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani afe halafu humuamini pamoja na kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni kutosoma mada zake, kumbloku (Ignore) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda kinyume na ukaendelea kumsoma, kumjibu na kuchangia mada zake unathibitisha kuwa mnampenda, anakuvutia na unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu watu(Members) hapa JamiiForums.
 
Unatoa Angalizo ili usikosolowe??

Umeandika utumbo tu hapo.

ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.

Cc: Ulimakafu
 
images.jpeg
 
Mwanaume kuwa m-mbeya haipendezi, utavishwa kanga

ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
 
ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.

Cc: Ulimakafu
 

Attachments

  • st,small,507x507-pad,600x600,f8f8f8.jpg
    st,small,507x507-pad,600x600,f8f8f8.jpg
    12.9 KB · Views: 4
1. Wachezaji hawakuwa Mali yao bali ni wa Mkopo kutoka kwa Wakata Viuno Nation.

2. Kukopwa sana Pesa na Viongozi na Kulipwa kwa Kusumbuana mno.

3. Kilichomtokea Mwenzao Mmoja kuhusu Mkataba wake, Kunyanyasika na Kudhalilika Kumewachukiza wengi.

4. Wachezaji hawataki tena kuwa sehemu ya Kushuhusdia dhambi ya Ununuaji wa Mechi na Matokeo kama uliofanyika kwa Misimu miwili iliyopita.

5. Vitendo vya Sodoma na Gomorah vimeanza kwa baadhi yao na Wakubwa.

Hapa GENTAMYCINE naikumbuka Meseji ya Dogo Kipa Ramadhan Kabwili alipomwambia Dogo wa Azam FC 'B' kuwa asishangae sana kwani Mambo ya Sodoma na Gomorah katika Vilabu Vikubwa ni ya Kawaida.

Na GENTAMYCINE nina Taarifa za Mmoja wa Viongozi wa Nakimbiwa Sina Hela FC kutoka kwa Rafiki yake wa Utotoni wakiwa Wanaishi maeneo ya Fire jirani na Nyumba za NHC kuwa Jamaa ( Kiongozi huyo ) ni Bingwa wa Michezo hiyo isiyotakiwa na mpaka sasa anayo ndiyo maana Wanawake wengi wa Mjini wanamkwepa na anakimbilia Wanawake wa Kigeni.

6. Wachezaji wanaoondoka wameshasoma Alama za Nyakati kuwa Kocha ajae huenda akawa si Mzungumzaji Kifaransa Mwenzao Yule Mpole wa Sudan na akaja Yule Fyatu wa Uganda na wasipate namba na Wazawa ndiyo wakapata namba.

7. Timu imetumia Hela nyingi kuyapata Mafanikio waliyoyapata ila ilichoingiza ni Kiduchu hivyo Mstaafu aliyekuwa nae akitoa Pesa zake nyingi na Yule Tajiri aliyeko hadi nchini Kenya Kibiashara sasa wanataka Kujitoa na Mdhamini mkubwa aliyeko nae anataka kukaa pembeni kwani alidhani Umati uliokuwa ukijitokeza Viwanjani kwa Uwingi wao ule ule ungekuwa Unalalia katika 'Masponji' yao yaliyotapakaa kumbe Wengi wao wanalalia Mikeka tu kama siyo na Maboksi.

Cc: Dr Matola PhD, SAGAI GALGANO, Frank Wanjiru

ANGALIZO

Humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
Ukaokote kondomu ili mabao ya Humo ulie ugali
 
Mjomba una kipaji .
Ndiyo maana nina Utajiri mkubwa wa Great Thinker Followers 156 hapa JamiiForums na ni Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums na naahidi nikiwa tu Nominated tena Washindani wangu waandike Maumivu ya Kushindwa kwani sina baya kwa Wapendwa Wapiga Kura wangu ( Members ) hapa JamiiForums.
 
Ukaokote kondomu ili mabao ya Humo ulie ugali

ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
 
ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums. Ili nikambandue.
 
Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums. Ili nikambandue.

ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
 
ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.


Ndo maana nasema,anenivutia kweli nataka nikambandue.Halafuu! Au basiii
 
Ndiyo maana nina Utajiri mkubwa wa Great Thinker Followers 156 hapa JamiiForums na ni Mshindi wa Shindano la Kwanza la Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums na naahidi nikiwa tu Nominated tena Washindani wangu waandike Maumivu ya Kushindwa kwani sina baya kwa Wapendwa Wapiga Kura wangu ( Members ) hapa JamiiForums.
Sasa kama una ID zaidi ya 20, huku ukipata sapoti ya kutosha kutoka kwa mapopoma wenzako wanaokujaza upepo kwa hizi mada zako za kipopoma! Mbona saa 2 tu asubuhi unatangazwa mshindi.
 
Back
Top Bottom