Hizi ndio sababu zinazofanya Makocha na Wachezaji wengi kuondoka Yanga

Nifanyeje kuwa na analytical skills kama za GENTAMYCINE
 
hadithi za hivi tulishazizoea kabisa
 
Achana na hilo angalizo lako


Lkn hayo ya juu yake dizain km kwel


We jamaa unadalil zote kuwa ni muhayya
 
Sasa kama una ID zaidi ya 20, huku ukipata sapoti ya kutosha kutoka kwa mapopoma wenzako wanaokujaza upepo kwa hizi mada zako za kipopoma! Mbona saa 2 tu asubuhi unatangazwa mshindi.
Pumbavu sasa kama kumbe unajua kuwa GENTAMYCINE nina IDs hizo 10 hapa JamiiForums kwanini usizipeleke kwa Uongozi ili Waniadhibu?

Na inakuwaje na Wewe usiye na Multiple ID wala hujawahi kuwa Nominated katika Shindano hapa na hata tu Kushinda?

Usichokijua Juha ( Fool ) Wewe ni kwamba huku Kunichukia Kwenu bila sababu ndiyo kunafanya Watu ( Members ) wanifuatilie na wapende kusoma Threads zangu 24/7 hapa JamiiForums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Nifanyeje kuwa na analytical skills kama za GENTAMYCINE
Majibu.....

1. Zaliwa na Wazazi Werevu Kiasili

2. Penda mno Kusikiliza Taarifa za Habari na sana Kutizama Habari Runingani

3. Penda zaidi Kusoma Vitabu mbalimbali.

4. Penda Kusikiliza na Kujadili Mijadala ili Kukujenga Kujiamini Kiakili

5. Kuwa Mdadisi wa Masuala Mtambuka

6. Usiwe Mpuuzi na Mswahili kama Tate Mkuu

7. Mtumainie kwa kila Kitu Mwenyezi Mungu
 
IPS...internationali Pumba Spika

ANGALIZO

Kama humpendi GENTAMYCINE na Unamchukia hadi kutamani Afe halafu Humuamini pamoja na Kumdharau mno jambo jepesi la kufanya ni Kutosoma Mada zake, Kumbloku ( Ignore ) kabisa hapa JamiiForums.

Na ukienda Kinyume na ukaendelea Kumsoma, Kumjibu na Kuchangia Mada zake unathibitisha kuwa Unampenda, Anakuvutia na Unamkubali hakuna mfano hapa JamiiForums.

Kiasi kwamba Unatamani hata awe Baba yako wa Kambo katika Familia yako au awe Mumeo, ila Kumchukia Kwako ni Kuzuga tu Watu ( Members ) hapa JamiiForums.
 
Achana na hilo angalizo lako


Lkn hayo ya juu yake dizain km kwel


We jamaa unadalil zote kuwa ni muhayya
Acha kunipangia Jambo hapa JamiiForums sawa? Huna Mamlaka hayo na kamwe hutokuja kuwa nayo.

Sijawahi Kuandika Mambo / Taarifa hapa JamiiForums halafu kwa 99.9999% isiwe ni Kweli / ya Kweli.

Mimi siyo Muhaya kama usemavyo bali ni Mzanaki, Mmakuwa, Mtutsi na Myahudi sawa?
 
Sawa dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…