Hizi ndio sababu zinazofanya Makocha na Wachezaji wengi kuondoka Yanga

Mdhamini mkubwa aliyeko nae anataka kukaa pembeni kwani alidhani Umati uliokuwa ukijitokeza Viwanjani kwa Uwingi wao ule ule ungekuwa Unalalia katika 'Masponji' yao yaliyotapakaa kumbe Wengi wao wanalalia Mikeka tu kama siyo na Maboksi.
🀣🀣🀣
 
Miye natamani niwe mumeo wa ndoa
 
Wewe ni Mzee wa multiple ID's! Hivyo usikute na hiyo ID iliyokujaza upepo hapo juu nayo ikawa ni ya kwako.

Si ndiyo wewe kila unapokula umeme, basi MINOCYCLINE lazima aje haraka jukwaani kuendeleza harakati za kipopoma! Mwisho wa siku wenye akili tunakugundua mapeema!!
 
Charismatic fella πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.... Popoma for president
Huyu mkimpa urais, anaweza kuiuza hata jamii forums kwa ndugu zake wa Rwanda, halafu hela yote akaenda kuhongea wamama wa vicoba walioshindwa kutoa marejesho kwa wakati.

Kijana hana maana hata kidogo.
 
Unapo kuwa muongo usiwe msaalifu, angalia ulicho kiandika mara sodoma na gomola , we ulijuwaje haya kama si mshirika.halafu kumbuka hao ndiyo mabingwa wako wa mashindandano yote. Pale kwako huna mchezaji wa kuuza sisi wapo weng tu na hata huyo fei bado alijifelisha tu angefuata kanuni angeenda hata man u . Una wangapi wanao ondoka.
 

Hadi CAF Confederations Cup wame nunua mechi

Wewe zuzu kweli na uongo wako
 
Bangi si mzuri kuvutia chooni comrade
 
Nabi Feitoto wameshasoma alama za nyakati wanajua wazi kabisa msimu ujao utakuwa mgumu Simba tutaanza tulipoishia 😁 😁 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…