Nimetolea mfano tu mkuu.Mh ila hy TBCS 1 & 2 naona mara nyingi inatumika kwa certificates.
TBCS 3 & 4 inatumika kwa diploma.
TBCS 5 & 6 inatumika kwa degree.
Sasa mhh! TBCS 1 sidhan kama itakuwa 850k labla kwa TBCS 4 & 5 ndo wanaweza kuvuta hy 850k
CC joooh12
🤝Nimetolea mfano tu mkuu.
kikubwa nipate kazi hapaTaasisi yangu ninayofanya kazi ipo hapo top 5, naomba nipiteshe kura ya HAPANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
InaitwajeTaasisi yangu ninayofanya kazi ipo hapo top 5, naomba nipiteshe kura ya HAPANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Madeleka alipondishwa cheo hicho aliaambiwa atakula 990k, hapo ni mwaka 2016. Tusema hadi sasa kwa cheo hicho huenda imepanda imefika 1.1M+Hivi polisi hawa wakiwango cha chini wanakula shilingi ngapi ? [emoji34][emoji34][emoji34]Si kwa makasiriko waliyonayo
Wanakula maisha, hapo bado posho (ration), drinks, professional nkKama Madeleka alipondishwa cheo hicho aliaambiwa atakula 990k, hapo ni mwaka 2016. Tusema hadi sasa kwa cheo hicho huenda imepanda imefika 1.1M+
Jee wa cheo cha chini tunaweza kumkadiria ngapi?View attachment 3127353
Hapo ni ana nyota?Kama Madeleka alipondishwa cheo hicho aliaambiwa atakula 990k, hapo ni mwaka 2016. Tusema hadi sasa kwa cheo hicho huenda imepanda imefika 1.1M+
Jee wa cheo cha chini tunaweza kumkadiria ngapi?View attachment 3127353
Sijajua ila cheo si habaHapo ni ana nyota?
Kikubwa ila salary ndogo,je askali wakawaida itakuw lak 3Sijajua ila cheo si haba
Vijana mkajiajiri,msiwaze mishaharaWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Afsa uchunguz ndo afsa usalama au nani??maafisa uchunguzi huku chini kabisa wanaanza na Mil 1.8,,hapo bado vyeo na madili mengine
Mshahara muhimu sana maana sisi sote Watanzania, wengine wale asali ya nyuki wadogo wengine makapi.Mnatutisha na mada za mishahara
Upo sawa.Mkuu nafahamu zipo taasisi zenye mishahara hiyo ila kwangu mimi 3M siyo mshahara mzuri sijui kwa wengine, mimi naandika kulingana na mitazamo niliyoiona kwa watu wengi humu, watu wakitaka kusikia mishahara mizuri kwa entry level, basi wakaulizie kwenye makampuni ya kuchimba madini au baadhi ya NGOs za wazungu, ila serikalini tunadanganyana tu
DAWASA wanaanza na 2.1MKama unafanya kazi kwenye taasisi ambayo haiingizi pesa serikalini kazi yake inategemea kupewa pesa kutoka serikalini kamwe haiwezi lipa wafanyakazi wake mshahara mnono ,mfano angalia
TRA
TPA
TANAPA
DAWASA
Hawa wote wanaiingizia mapato serikali ndio maana mtaani wanavimba kwa kulipwa mishahara mikubwa,sasa wewe kajichanganye ufanye kazi kwenye taasisi za kutegemea mpaka wapewe fungu kutoka serikali kuu kudadadek utabaki kulia njaa hivyo hivyo na mikopo ya kausha damu juu kama
Temesa
Halimashauri
Sido
Hawa wanalipwa 760K. Mwenye degree sema posho kama zote. Huo ni mshahara kabla ya ongezeko la Samia. Pia Samia kawaongezea teaching allowance, house allowance walimu wanakula maisha jaman🤣🤣Umesahau Ualimu😂😂