Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wana viwango vidogo namjua jamaa ana masters hapo analipwa 2.2mil ana miaka zaidi ya 14 kazini .

Pia sio pazuri kwa vile ni shirika la mda sana, hawana field wala nn ,hata training unaweza kosa mwaka mzima .
Ukiona jina lake waweza jua umeula kumbe balaa tupu.
 
TOP WA SALARY
1. TCRA
2. eGA
3. CSMA
4. SSRA
5. TMA
TOP WA MADILI
1. TRA
2. TPA
3. TBS
4. CAG
5. TAKUKURU
6. TANAPA
7. MSD
HAWAVUMI LAKINI WAMO
1. WCF
2. NHIF
3. NSSF
4. PSSSF
5. ATCL
Ofisi ya wakili mkuu wa serikali kwa sasa iko vizuri sana
 
Wadau hivi Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission) hali ikoje nataka nifanye mpango mdogo wangu aingie kule.

Nisije nikamsogeza kumbe njaa ataendelea kunisumbua.
 
Wadau hivi Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission) hali ikoje nataka nifanye mpango mdogo wangu aingie kule.

Nisije nikamsogeza kumbe njaa ataendelea kunisumbua.
Unataka ufanye mpango gani wakt utumishi ndio wanasimamia na anatakiwa kushindanishwa na wenzake?
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Hao TAA sio kweli kuwepo hapo
 
Kama ni Mimi naangalia terms za Mkataba wa hapo DPW.. shida ni kwamba hakuna guarantee ya wao kumaliza 30yrs... SIASA za TZ ni shida sana anaweza kuja KIONGOZI MWINGINE akawatimua DPW. au DPW wasifike zile target wakaondolewa kisheria.. sasa hao wafanyakaz watakuwa hawana pa kwenda.. muda huo Bandar inarud kwa TPA.
Halafu utakapoomba kurudi TPA inakuwa ngumu, hivyo basi wanaamua kukupeleka NECTA, TIE au RITA ukastaafie huko😀
 
Back
Top Bottom