Perrez Amanaya7
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 201
- 208
Kwa shirika kama lile kutumia scale kama za tamisemi hapo sio sawa kwakweli.Kweli.
TAA njaa tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa shirika kama lile kutumia scale kama za tamisemi hapo sio sawa kwakweli.Kweli.
TAA njaa tupu
Ukiona jina lake waweza jua umeula kumbe balaa tupu.Wana viwango vidogo namjua jamaa ana masters hapo analipwa 2.2mil ana miaka zaidi ya 14 kazini .
Pia sio pazuri kwa vile ni shirika la mda sana, hawana field wala nn ,hata training unaweza kosa mwaka mzima .
Ofisi ya wakili mkuu wa serikali kwa sasa iko vizuri sanaTOP WA SALARY
1. TCRA
2. eGA
3. CSMA
4. SSRA
5. TMA
TOP WA MADILI
1. TRA
2. TPA
3. TBS
4. CAG
5. TAKUKURU
6. TANAPA
7. MSD
HAWAVUMI LAKINI WAMO
1. WCF
2. NHIF
3. NSSF
4. PSSSF
5. ATCL
Ni milioni tatu na ushee kwa afisa au Engineer kwa anaeanza mkuu.Scale Yao ikoje boss?
Unataka ufanye mpango gani wakt utumishi ndio wanasimamia na anatakiwa kushindanishwa na wenzake?Wadau hivi Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission) hali ikoje nataka nifanye mpango mdogo wangu aingie kule.
Nisije nikamsogeza kumbe njaa ataendelea kunisumbua.
Kwa akili yako unaamini watu wote ni sawa.Unataka ufanye mpango gani wakt utumishi ndio wanasimamia na anatakiwa kushindanishwa na wenzake?
Kwani wewe una vichwa viwili au macho matatu ili useme hatuko sawa?Kwa akili yako unaamini watu wote ni sawa.
Haina haja ya kuendelea kukujibu.Kwani wewe una vichwa viwili au macho matatu ili useme hatuko sawa?
Kumbe hadi psrs kuna mipangoUnataka ufanye mpango gani wakt utumishi ndio wanasimamia na anatakiwa kushindanishwa na wenzake?
Mwambie ajiongeze😁Kwa akili yako unaamini watu wote ni sawa.
Hao TAA sio kweli kuwepo hapoWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Halafu utakapoomba kurudi TPA inakuwa ngumu, hivyo basi wanaamua kukupeleka NECTA, TIE au RITA ukastaafie huko😀Kama ni Mimi naangalia terms za Mkataba wa hapo DPW.. shida ni kwamba hakuna guarantee ya wao kumaliza 30yrs... SIASA za TZ ni shida sana anaweza kuja KIONGOZI MWINGINE akawatimua DPW. au DPW wasifike zile target wakaondolewa kisheria.. sasa hao wafanyakaz watakuwa hawana pa kwenda.. muda huo Bandar inarud kwa TPA.
Labda wabadilike sasa. Miaka ya 2011, 2012 basic salary ilikuwa 350k kwa bachelor degree holderSalary scale yao ni sh ngapi?
UongoLabda wabadilike sasa. Miaka ya 2011, 2012 basic salary ilikuwa 350k kwa bachelor degree holder
Nina uhakika kwa kurejerea matangazo ya ajira kwa wakati huo tajwa. Sijajitungia.Uongo