last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Ukipata nishtue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashirika ya Umma usidhani wanalipwa mshahara tu, Bali wanalipwa extraduty, Incentives, kuna vikao, kuna safari, akijumlisha vyote anaweza kufika 5mDuuh yaani mimi siku zote wanavyosemaga mishahara minono, huwa nadhani labda hizo taasisi zote ofisa anayeanza kazi anachezea kuanzia 2.5M-3M!
Kumbe wengi hata 2M hawafiki, kama ni hivyo basi TPDF linalipa vizuri asee maana jeshini hizo 1.8M-2M ni mishahara ya makoplo na masajenti ambao wengi wameishia la saba na form four!
Bado hujazungumzia wenye degree maofisa kuanzia maluteni, halafu kuna watu wanadharau eti jeshini hamna kitu eti pesa ziko TRA na BOT kumbe pesa zenyewe ndiyo hizo wabongo bhana!
Sasa mbona hata wanajeshi nao wanalipwa hizoMashirika ya Umma usidhani wanalipwa mshahara tu, Bali wanalipwa extraduty, Incentives, kuna vikao, kuna safari, akijumlisha vyote anaweza kufika 5m
Kwa hiyo malipo yote ya jumla ya afisa wa tra (salary, overtime, extradurty, incentive, )yanalingana na ya sajenti?Sasa mbona hata wanajeshi nao wanalipwa hizo
Kama ndio mtiririko basi ni uongo Tena uongo mkubwa sanaWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TAWA wako juu sana.Hivi TFS vs TAWA nani yuko vizuri kuzidi mwenzake kwa upande wa diploma
Yaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapangaTanapa + posho wanakimbiza. Posho ya tawa na tfs bado hawafikii moto wao
for the record askari wa tanapa, private anakimbiza polisi, tpdf kwa basic salary
Mkuu unawajua vizuri TFS au unasema tu.?TAWA wako juu sana.
TFS ni kauchafu kalikochangamka
Kaka kwani hapo TFS au TAWA kwa level ya diploma take home zao zinaenda paka ngap..? Au tu mtu wa diploma TFS au TAWA posho zake zinaenda paka Tsh ngap..? Then ndio tuone nani yupo juu kuliko mwenzieMkuu unawajua vizuri TFS au unasema tu.?
Kaka Maana basic zao kwa mtu wa diploma wote ni 1.2M, Je posho zao zinaendaje kwa level zao za diplomaTAWA wako juu sana.
TFS ni kauchafu kalikochangamka
Hivi kaka kuna utofaut mkubwa wa malipo kati ya hao Tanapa, tawa na tfs kama watu wanavyozungumzia au hawapishan sanaYaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapanga
Hivi kaka kuna utofaut mkubwa wa malipo kati ya hao Tanapa, tawa na tfs kama watu wanavyozungumzia au hawapishan sanaYaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapanga
Weka Salary slip tuione mkuuKaka Maana basic zao kwa mtu wa diploma wote ni 1.2M, Je posho zao zinaendaje kwa level zao za diploma
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TAZAMA PIPELINEWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Wanalipa ngapi?TAZAMA PIPELINE
Vipi kuhusu TCRAWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Koplo/sajenti yupi nchi hii ana mshahara wa 1.8+M? Acha uongo mzee.Duuh yaani mimi siku zote wanavyosemaga mishahara minono, huwa nadhani labda hizo taasisi zote ofisa anayeanza kazi anachezea kuanzia 2.5M-3M!
Kumbe wengi hata 2M hawafiki, kama ni hivyo basi TPDF linalipa vizuri asee maana jeshini hizo 1.8M-2M ni mishahara ya makoplo na masajenti ambao wengi wameishia la saba na form four!
Bado hujazungumzia wenye degree maofisa kuanzia maluteni, halafu kuna watu wanadharau eti jeshini hamna kitu eti pesa ziko TRA na BOT kumbe pesa zenyewe ndiyo hizo wabongo bhana!