Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Duuh yaani mimi siku zote wanavyosemaga mishahara minono, huwa nadhani labda hizo taasisi zote ofisa anayeanza kazi anachezea kuanzia 2.5M-3M!

Kumbe wengi hata 2M hawafiki, kama ni hivyo basi TPDF linalipa vizuri asee maana jeshini hizo 1.8M-2M ni mishahara ya makoplo na masajenti ambao wengi wameishia la saba na form four!

Bado hujazungumzia wenye degree maofisa kuanzia maluteni, halafu kuna watu wanadharau eti jeshini hamna kitu eti pesa ziko TRA na BOT kumbe pesa zenyewe ndiyo hizo wabongo bhana!
Mashirika ya Umma usidhani wanalipwa mshahara tu, Bali wanalipwa extraduty, Incentives, kuna vikao, kuna safari, akijumlisha vyote anaweza kufika 5m
 
Mashirika ya Umma usidhani wanalipwa mshahara tu, Bali wanalipwa extraduty, Incentives, kuna vikao, kuna safari, akijumlisha vyote anaweza kufika 5m
Sasa mbona hata wanajeshi nao wanalipwa hizo
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Kama ndio mtiririko basi ni uongo Tena uongo mkubwa sana
 
Tanapa + posho wanakimbiza. Posho ya tawa na tfs bado hawafikii moto wao
for the record askari wa tanapa, private anakimbiza polisi, tpdf kwa basic salary
Yaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapanga
 
MTOA MADA UNGESEMA TU TAASISI ZINAZO ONGOZA KWA WATU KUIBA SANA HAPO TUNGEKUELEWA.
 
Mkuu unawajua vizuri TFS au unasema tu.?
Kaka kwani hapo TFS au TAWA kwa level ya diploma take home zao zinaenda paka ngap..? Au tu mtu wa diploma TFS au TAWA posho zake zinaenda paka Tsh ngap..? Then ndio tuone nani yupo juu kuliko mwenzie
 
Yaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapanga
Hivi kaka kuna utofaut mkubwa wa malipo kati ya hao Tanapa, tawa na tfs kama watu wanavyozungumzia au hawapishan sana
 
Yaani mi mwenyewe Tanapa lakini nashangaa unayoandika duuh! Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa Giza,endelea kuwapanga
Hivi kaka kuna utofaut mkubwa wa malipo kati ya hao Tanapa, tawa na tfs kama watu wanavyozungumzia au hawapishan sana
 
Wakuu nipeni connection ya Taasisi yoyote ya mambo ya Kilimo huko Lindi au Mtwara... Nataka nikalime na korosho kabisa.
 
TRA ilitakiwa iwe top 5
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TAZAMA PIPELINE
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Vipi kuhusu TCRA
 
Duuh yaani mimi siku zote wanavyosemaga mishahara minono, huwa nadhani labda hizo taasisi zote ofisa anayeanza kazi anachezea kuanzia 2.5M-3M!

Kumbe wengi hata 2M hawafiki, kama ni hivyo basi TPDF linalipa vizuri asee maana jeshini hizo 1.8M-2M ni mishahara ya makoplo na masajenti ambao wengi wameishia la saba na form four!

Bado hujazungumzia wenye degree maofisa kuanzia maluteni, halafu kuna watu wanadharau eti jeshini hamna kitu eti pesa ziko TRA na BOT kumbe pesa zenyewe ndiyo hizo wabongo bhana!
Koplo/sajenti yupi nchi hii ana mshahara wa 1.8+M? Acha uongo mzee.
 
Back
Top Bottom