Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kwa hiyo malipo yote ya jumla ya afisa wa tra (salary, overtime, extradurty, incentive, )yanalingana na ya sajenti?
Hebu elewa mada basi acha kukaza fuvu hilo, kwahiyo kwa akili yako huyo afisa wa tra analingana elimu na sajenti wa jeshi, mlinganishe afisa wa tra na afisa wa jeshi kuanzia captain huko
 
Hebu elewa mada basi acha kukaza fuvu hilo, kwahiyo kwa akili yako huyo afisa wa tra analingana elimu na sajenti wa jeshi, mlinganishe afisa wa tra na afisa wa jeshi kuanzia captain huko
Hoja yako ilikuwa makoplo na masajenti--
Huwezi kulinganisha ofisa wa tra anaenza kazi na kapteni ambaye amepandishwa tayari vyeo vingi.
Linganisha ofisa wa tra anaenza na Luteni usu, hao vyeo vyao vinalingana.
 
Mkuu
Mkuu mimi Niko sensitive sana na mshahara, kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa laki nane na nusu take home, huku nimepewa nyumba, gharama za umeme plus maji lakini nilifanya kazi mwaka mmoja tu nikaandika barua ya kuacha kazi nikaomba kazi mahali pengine
Kisa 🙄🙄🙄
 
Hoja yako ilikuwa makoplo na masajenti--
Huwezi kulinganisha ofisa wa tra anaenza kazi na kapteni ambaye amepandishwa tayari vyeo vingi.
Linganisha ofisa wa tra anaenza na Luteni usu, hao vyeo vyao vinalingana.
Kwan usu anakula ngapi?
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54
Mkuu nipe connection ya Transport and Logistics officer
 
Wafanyakazi wa umma labda watambiane wizi na deals na si mishahara, mishahara ni vichekesho isipokuwa kwa nafasi chache sana kwenye hizo mamlaka, taasisi na mashirika ya umma.

Huwa nikiona salary scales za serikali ndipo huwa nakumbuka ni kwa kiasi gani nchi yetu ni masikini bado.
Mama anafanya jambo
 
Wakuu intertek inajihusisha na nini? Vipi masilahi yake kipesa yan mshahala ukoje?
 
Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC​
1.8m​
2. TCRA​
3.5m​
4. Ngorongoro​
1.8m​
3. Ewura​
1.8m​
4. WCF​
2.0m​
5. TBS​
1.8m​
5. TANAPA​
1.8m​
5. Tume ya madini​
hawa below 1.5m​
6. Mamlaka ya chakula na dawa​
1.7m​
7. SSRA​
2m​
8. NSSF/PSSSF​
2m​
9. BOT​
1.8m​
9. Bunge​
Hawa below 1m​
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali​
Hawa sijajua​
10. TASAC​
2m​
10. TRA​
2.3m​
11. MSD​
1.8m​
11. TAKUKURU​
Sijajua bado​
11. EGA​
3.07m​
12. NHIF​
1.7m​
13. TPA​
1.6m​
13. TIC​
Sijui bado​
14. KADCO​
hawa below 1.5m​
15. TANESCO​
1.2m​
16. TANROAD​
Sijui bado​
17. TAA​
1.35m​
Level ya degree or diploma.
 
Back
Top Bottom