Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Uongo mtupu,kuna jamaa namjua aliacha Tanesco alikuwa analipwa kilo 8 per month ,na kuna jamaa niliona slip yake kwa mwezi anakula 35m kampuni binafsi na pia kuna mabwana wadogo kibao wanalamba 6m mpaka 15m kwa mwezi kwenye makampuni binafsi na haujayataja kabisa.
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Mizigo gani mkuuTRA 2.3M plus madili kama yote na huyo ni junior....... Acheni fix za kuomgopea TPA wana mzigo mzito hivyo
Mkuu hao TPDC ni mwisho kuna mdau yupo pale mwaka mmoja tu ila loan bord kashamalizana nao mapema na mijengo ya maaana
Su kwelu,Kama hujui Bora ukae kimya,mashirika na taasisi Zina scale zake tofauti,halmashauri wanalipwa mishahara ya serikali kuu ambayo Ni midogo kiukweli,i'la hiyo amount ulitotaja Hapo inaeeza kuwa Ni mshahara wa mtu anayeanza kazi sehem Kama tasac au Tpdc,Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
2.340M ni entry level kwa mtu mwenye Degree na overtime ya 234000 ambayo hutalipwa kama upo likizo tuuu so entry level ni kama 2.6M kwa bachelor Diploma ni 1.856M Mama Junior akiongeza May inaweza kuwa taasisi inayolipa vizuri zaidi.TRA 2.3M plus madili kama yote na huyo ni junior....... Acheni fix za kuomgopea TPA wana mzigo mzito hivyo
Wako vizuri2.340M ni entry level kwa mtu mwenye Degree na overtime ya 234000 ambayo hutalipwa kama upo likizo tuuu so entry level ni kama 2.6M kwa bachelor Diploma ni 1.856M Mama Junior akiongeza May inaweza kuwa taasisi inayolipa vizuri zaidi.
Tajiri mapesa nna shida na weweWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
naomba jamaa utusaidie kwenye mamlaka za maji ict afisa II ni kiasi gani kwa mwenzi tunasaidiana na kuelimishana piaNa wewe mbona hujayataja vile vile chief
kweli kabsa aisee na TRA 2.3 ukiwa unaanza, vip mamlaka za maji kama moruwasa, dawasa, mbeuwasa na zingine ICT afisa II anaanza na ngapi chief?ega ni 2.6m ict bachelor anayeanza
Mkuu vip kuhusu mamlaka za maji kama dawasa, mbeuwasa, Moruwasa mishahara Yao vip ni shilling ngapi, na je ? Iko sawa au ni tofauti katika kila mamlaka?Vipi Uhamiaji Mkuu
Level
Form six?
Diploma?
Bachelor?
artisanElectrical artesian, Tanesco anakula ngapi?