Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Uongo mtupu,kuna jamaa namjua aliacha Tanesco alikuwa analipwa kilo 8 per month ,na kuna jamaa niliona slip yake kwa mwezi anakula 35m kampuni binafsi na pia kuna mabwana wadogo kibao wanalamba 6m mpaka 15m kwa mwezi kwenye makampuni binafsi na haujayataja kabisa.
Zitaje hzo campuni sio kwa utawala wa jiwe, mishahara ilishuka sana ukitegemea kampuni nyingi tz zina operate kwa kutegemea biashara tofauti na gvt.