Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Uongo mtupu,kuna jamaa namjua aliacha Tanesco alikuwa analipwa kilo 8 per month ,na kuna jamaa niliona slip yake kwa mwezi anakula 35m kampuni binafsi na pia kuna mabwana wadogo kibao wanalamba 6m mpaka 15m kwa mwezi kwenye makampuni binafsi na haujayataja kabisa.

Zitaje hzo campuni sio kwa utawala wa jiwe, mishahara ilishuka sana ukitegemea kampuni nyingi tz zina operate kwa kutegemea biashara tofauti na gvt.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA

Mkuu hao TPDC ni mwisho kuna mdau yupo pale mwaka mmoja tu ila loan bord kashamalizana nao mapema na mijengo ya maaana
 
Mtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo

Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Su kwelu,Kama hujui Bora ukae kimya,mashirika na taasisi Zina scale zake tofauti,halmashauri wanalipwa mishahara ya serikali kuu ambayo Ni midogo kiukweli,i'la hiyo amount ulitotaja Hapo inaeeza kuwa Ni mshahara wa mtu anayeanza kazi sehem Kama tasac au Tpdc,

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
TRA 2.3M plus madili kama yote na huyo ni junior....... Acheni fix za kuomgopea TPA wana mzigo mzito hivyo
2.340M ni entry level kwa mtu mwenye Degree na overtime ya 234000 ambayo hutalipwa kama upo likizo tuuu so entry level ni kama 2.6M kwa bachelor Diploma ni 1.856M Mama Junior akiongeza May inaweza kuwa taasisi inayolipa vizuri zaidi.
 
2.340M ni entry level kwa mtu mwenye Degree na overtime ya 234000 ambayo hutalipwa kama upo likizo tuuu so entry level ni kama 2.6M kwa bachelor Diploma ni 1.856M Mama Junior akiongeza May inaweza kuwa taasisi inayolipa vizuri zaidi.
Wako vizuri
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Tajiri mapesa nna shida na wewe
 
Na kwa sasa wanaweza kuwa na hali nzuri zaidi si unajua hali ya awamu hii.na namba 1 keshasema kodi inaweza kupungua kwa miezi 3,4,5.so watu watatumia mianya hiyo vizuri[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom