Punguza makasiriko basi CAG
-Mkuu ww Ni accountant?Huko ndio maana watu wanapakomaliaga sana
Marketer-Mkuu ww Ni accountant?
Lakini Accounting basics umesoma?Marketer
Ndio mkuu naijuaLakini Accounting basics umesoma?
- kwenye basics hizo si mlijifunza masuala ya IFRS, IPSAS,IAS?Ndio mkuu naijua
Sijawahi kufanya kazi na wanajeshi mkuu! Ila mshua wangu mimi ni mwanajeshi (major general) mstaafu so alinijuza mengi kuhusu jeshi na kunifanya niwe na interest ya kufuatilia baadhi ya mambo kuhusu hiko chombo ila watu wanataka hadi tujiexpose hapa ndiyo waamini kwamba tunajua mambo kibao kuhusu jeshi ambayo raia wengi hawayajui wanadanganywa tu!Huenda umewahi kufanya kazi ngome saccos mkuu?so ni obvious mishahara ya wajeda utaijua tu.
Ofkoz, ila sio deep. Principles of financial Akaunting, Financial Management n.k- kwenye basics hizo si mlijifunza masuala ya IFRS, IPSAS,IAS?
-asante Sana Mkuu, kwa maana Kuna mtu anasema kasoma basics hizo za accounting lakini Hajui masuala ya IPSAS,IAS,IFRSOfkoz, ila sio deep. Principles of financial Akaunting, Financial Management n.k
Nimemsaidia kujibu sababu na mimi ni mtu wa masoko.
Atakuwa ameishia diploma. Diploma hawafiki mpaka huko IAS na IFRS. Na kama ni degree holder, pengine mwalimu ana mtaala wake anaofundishia.-asante Sana Mkuu, kwa maana Kuna mtu anasema kasoma basics hizo za accounting lakini Hajui masuala ya IPSAS,IAS,IFRS
Haha basi mada iishie tu kama hauna hoja mkuu! Na nilitaka nikuoneshe tu kuwa hii nchi SIYO KILA KITU kinaendeshwa na sheria ijapokuwa sheria zipo na zimewekwa ila walioziweka kuna situations ambapo hawazitumii au hujawahi sikia ule msemo wa "IN EVERY GENERAL RULE THERE IS ALWAYS AN EXCEPTION"?-hamna jipya yote ya zamani, sioni kipya,
-
- Una basic knowledge ya Uhasibu halafu hujui mifumo ya ukaguzi ya IPSAS,IAS,IFRS hivyo Ni vitu basic,
- Nani kakwambia Mimi Auditor? Mimi Ni registered land surveyor nimesajiliwa na bodi ya wapima ardhi Kama Land surveyor.
- Mada ishaisha hakuna hoja mpya
-hakuna jipya! Ulishashindwa kujibu wenzio wameshanijibuSasa wewe ni nani aliyekuambia siyajui hayo ya IFRS IPSAS na IAS infact hayo hayo yote ni almost kitu kile kile tu au kwa sababu sijataka kuyaongelea? Na wala hakuna sehemu nimesema kwamba bajeti ya jeshi ndiyo haikaguliwi mkuu!
Tofauti ni kwamba tu IAS yenyewe inawakilisha standards za zamani za uhasibu! Wakati IFRS yenyewe inawakilisha standards mpya za uhasibu na zote hizo pamoja na IPSAS zinakuwa issued na Boards maalum (IASB na IPSASB)!
Ila juu ya yote hayo mimi nikakuambia bajeti ya jeshi yote inakaguliwa kwa kufuata sheria kama ushahidi tu lakini SIYO YOTE inayochapishwa! Na huo tu ndiyo utofauti wa jeshi na taasisi za kiraia ila hakuna sheria inayosema hilo popote pale!
Ndiyo maana nikakuambia wewe si unasema hii nchi kila kitu kinaongozwa na sheria? Basi nipe sheria kwenye road traffic act inayoruhusu magari ya jeshi kupita upande wowote wa barabara au kwenye barabara ya mwendokasi unaleta siasa!
Na pia nipe sheria kwenye national defence act inayoruhusu mtu kwenda course ya uafisa bila kutumikia miaka miwili jkt au kuwa na taalamu ambayo jeshi linaihitaji kwa wakati huo! Na sheria inayoruhusu watu kuingia jeshini kwa kutoa fedha!
Sasa mbona mimi hoja zangu hujanijibu tangu mwanzo naona umekazana tu kuwa mimi sijui mambo ya uhasibu na sheria! Basi wewe unayeyajua hayo zilete hizo sheria zinazoongoza hayo kama ambavyo umenipa sheria zinazoongoza bajeti!
Na nikasema kama hazipo hizo sheria sema HAZIPO na kama hujui sema SIJUI na kama zipo na unazijua sema ZIPO na NAZIJUA kisha uzilete hapa ili tuzijadili mbona simple tu mkuu? Just go straight to the point acha kuzunguka basi!
- too late wenzio wamesema wanazijua, ulitakiwa ujibu kipindi nakuuliza.Teh naona hujiamini na conclusions zako umeamua kutafuta msaada kwa wengine! Kwa akili yako unafikiri kwa hoja zile hata kama ndiyo mtu angekuwa hajui chochote anategemea kuanzia kujifunza kutoka kwako angetoka na kitu kweli wakati picha linaanza hata full forms za hayo maneno tu hujazitaja kwamba IFRS ni International Financial Reporting Standards, IAS ni International Accounting Standards, IPSAS ni International Public Sector Accounting Standards halafu ndiyo unataka kudai kwamba umenifundisha mimi uhasibu? Wewe?! Hapa?!
- mbona ulishindwa kujibu Mara ya Kwanza! Too late wenzio washajibuHehe wewe unifundishe mimi uhasibu kwa hoja gani ulizoleta zaidi ya kujifanya mjuaji na kuleta yale yale tu ambayo nimekuambia hata mtu yeyote tu anaweza kuyagoogle akayapata na kuyajadili? Nimekuita CAG sababu it seems wewe ndiye unayekagua hiyo bajeti ya jeshi na ukahakikisha kuwa ni 2.3T teh!
-shuka kumekucha.Haha basi mada iishie tu kama hauna hoja mkuu! Na nilitaka nikuoneshe tu kuwa hii nchi SIYO KILA KITU kinaendeshwa na sheria ijapokuwa sheria zipo na zimewekwa ila walioziweka kuna situations ambapo hawazitumii au hujawahi sikia ule msemo wa "IN EVERY GENERAL RULE THERE IS ALWAYS AN EXCEPTION"?
- Mkuu una degree ya Uhasibu?Atakuwa ameishia diploma. Diploma hawafiki mpaka huko IAS na IFRS. Na kama ni degree holder, pengine mwalimu ana mtaala wake anaofundishia.
Mkuu, mtu mwenye basic ya uhasibu hawezi kujua kuhusu INTERNATIONAL ACCOUNTING STANDARDS (IAS), INTERNATIONAL FINANCIAL REPORTING STANDARDS (IFRS) wala INTERNATIONAL PUBLIC SECTOR ACCOUNTING STANDARDS (IPSAS)
- Uelewa wako mdogo kwenye Uhasibu, halafu unasema umesoma basics za Uhasibu ungekuwa umesoma usingeshindwa kujua IFRS, IPSAS,na IAS,
- Mimi mpima ardhi hayo ya UHASIBU basic nilisoma nikiwa ARIMO (ARDHI INSTITUTE MOROGORO)