Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Punguza makasiriko basi CAG
  • nimekufundisha Uhasibu na Taxation Hadi uneniita CAG ulikuwa huelewi Sasa umeanza kuelewa
  • Sasa Mimi taaluma yangu ni Upimaji ardhi/ Land survey, kupima ardhi, Angle, distance,nakuandaa Plan/ Map, kufanya tafiti kwa registrar of title, kuangalia land use, kufanya Valuation ya ardhi kwa ajili ya compansation hiyo ndiyo Taaluma yangu, naona ukaanza kuniita Auditor, Mara wakili, kwa hiyo Mkuu Nina degree tatu? au sio
  • na ww Taaluma yako ni ipi au form six
 
Huenda umewahi kufanya kazi ngome saccos mkuu?so ni obvious mishahara ya wajeda utaijua tu.
Sijawahi kufanya kazi na wanajeshi mkuu! Ila mshua wangu mimi ni mwanajeshi (major general) mstaafu so alinijuza mengi kuhusu jeshi na kunifanya niwe na interest ya kufuatilia baadhi ya mambo kuhusu hiko chombo ila watu wanataka hadi tujiexpose hapa ndiyo waamini kwamba tunajua mambo kibao kuhusu jeshi ambayo raia wengi hawayajui wanadanganywa tu!
 
Ofkoz, ila sio deep. Principles of financial Akaunting, Financial Management n.k

Nimemsaidia kujibu sababu na mimi ni mtu wa masoko.
-asante Sana Mkuu, kwa maana Kuna mtu anasema kasoma basics hizo za accounting lakini Hajui masuala ya IPSAS,IAS,IFRS
 
-asante Sana Mkuu, kwa maana Kuna mtu anasema kasoma basics hizo za accounting lakini Hajui masuala ya IPSAS,IAS,IFRS
Atakuwa ameishia diploma. Diploma hawafiki mpaka huko IAS na IFRS. Na kama ni degree holder, pengine mwalimu ana mtaala wake anaofundishia.
 
Haha basi mada iishie tu kama hauna hoja mkuu! Na nilitaka nikuoneshe tu kuwa hii nchi SIYO KILA KITU kinaendeshwa na sheria ijapokuwa sheria zipo na zimewekwa ila walioziweka kuna situations ambapo hawazitumii au hujawahi sikia ule msemo wa "IN EVERY GENERAL RULE THERE IS ALWAYS AN EXCEPTION"?
 
-hakuna jipya! Ulishashindwa kujibu wenzio wameshanijibu
 
- too late wenzio wamesema wanazijua, ulitakiwa ujibu kipindi nakuuliza.
 
- mbona ulishindwa kujibu Mara ya Kwanza! Too late wenzio washajibu
 
-shuka kumekucha.
 
Atakuwa ameishia diploma. Diploma hawafiki mpaka huko IAS na IFRS. Na kama ni degree holder, pengine mwalimu ana mtaala wake anaofundishia.
- Mkuu una degree ya Uhasibu?
 
- Wapima ARDHI, Land valuers wa halmashauri ni TGS E.
 
  • Uelewa wako mdogo kwenye Uhasibu, halafu unasema umesoma basics za Uhasibu ungekuwa umesoma usingeshindwa kujua IFRS, IPSAS,na IAS,
  • Mimi mpima ardhi hayo ya UHASIBU basic nilisoma nikiwa ARIMO (ARDHI INSTITUTE MOROGORO)
Mkuu, mtu mwenye basic ya uhasibu hawezi kujua kuhusu INTERNATIONAL ACCOUNTING STANDARDS (IAS), INTERNATIONAL FINANCIAL REPORTING STANDARDS (IFRS) wala INTERNATIONAL PUBLIC SECTOR ACCOUNTING STANDARDS (IPSAS)
Acha kujikuta mjuaji wakati hujui lolote, kazi yako unakuja na kugoogle vitu ili ujioneshe unajua. Wewe ni kilaza mzee. Uhasibu una mambo mengi sana hivyo kwa mtu aliyesoma basics za uhasibu kujua hizo ni amejiongeza tu.
Huyo anayesema amesoma kuhusu IPSAS na IAS tena kwenye basics mwambie akutajie standards hata 7 tu na kwanini ziliwekwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…