Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Mkuu kuhusu mimi kuwa afisa wa TRA kwani nayo ni hoja maana naona unasema nimeshindwa hiyo hoja! Kuhusu kujibu maswali nimekushangaa kwa ile conclusion yako awali uliposema kuwa mimi siwezi kuwa afisa wa TRA kwa sababu kuna maswali nimeshindwa kujibu na wakati unajua kuwa kuna maswali waajiri wengine hawawezi kujibu isipokuwa wataalam tu so haibadilishi ukweli kuwa huyo mtu kaajiriwa sehemu husika hivyo uwezo wako wa kuconclude mambo ni mdogo!

Kuhusu sheria inayogovern utolewaji wa nyota kwa form six jeshini haihusiani hapa kwa sababu mwanzo ulikazana kuwa kuna maluteni walioishia form six mimi nikakuambia miaka hii hawapo! Kwahiyo hata kama kuna sheria inayoruhusu form six kuvishwa nyota bado haibadilishi ukweli wa jibu la kwamba hakuna tena form six wanaovalishwa nyota ni lazima wakasome kwanza degree wawe na professions kulingana na uhitaji wa jeshi sababu utaratibu kwa sasa umebadilika!

Kuhusu privileges za majenerali nilikuuliza unitajie exact privileges zote wanazopata sababu kule juu kuna comment ulisema privileges zote expenses zake zimejumuishwa kwenye bajeti hiyo ambayo inachapishwa ndiyo nikakuambia unitajie zote na uniambie zimeandikwa kwenye sheria gani! Na kuhusu bajeti ya jeshi kama umeamua kukataa na kusema ni uongo basi siwezi kukulazimisha uamini kwa sababu kukujibu nilishakujibu hivyo kutokuamini kwako siyo hoja mkuu!

Hao niliowauliza niliwauliza yale niliyohitaji kuyajua mimi tu mfano hayo ya bajeti na privileges wanazopata ila hayo ya sheria inayogovern utolewaji wa nyota niliambiwa tu "ukitaka kuyajua yote hayo kiundani zaidi ingia jeshini" na nikaambiwa kuwa kwa sasa hakuna tena maluteni walioishia form six jeshini! Sasa hapo hiyo National Defence Act ingenisaidia nini hata kama kuna sheria ingekuwa inasema form six wanapewa nyota wakati kiuhalisia siku hizi haiko hivyo tena hadi wakasome!

Suala la kusema hii nchi inaongozwa na sheria kiuhalisia halina mashiko kwa sababu kuwa na sheria ni jambo moja na kuzifuata hizo sheria ni jambo jingine! Mambo kwa ground ni tofauti bob pesa za umma haziheshimiwi kama unavyofikiri na ndiyo maana matraffic wana pesa za magumashi ilihali serikali inajua na bado watu kama ninyi mnaona sawa tu ukweli unaujua ila unajitoa ufahamu eti unatumia sheria sheria zipi hizi hizi ambazo nyuma ya pazia serikali yenyewe ndiyo inaongoza kuzivunja?
- Afisa wa TRA vipi mbona Bado unalia? Kwa hiyo unataka kusema hata basics za taxation zilikupitia pembeni, Kuhusu ww kuwa Afisa wa TRA ni hoja tena hoja mujarabu kabisa, kwa sabbu ww mwenyewe umejinasibu uko TRA japo Mimi nilipinga, Sasa nakutishia na Maswali ya Taxation ukafyata mkia Afisa vipi tena? Sasa hutaki ni Conclude kwamba ww ni 'Incompetent'? Unaposema wataalam kwani wewe si mtaalam? eti Afisa wa TRA? Ukiajiriwa TRA na degree/ Diploma etc ww ni mtaalam hivyo huwezi kukosa basics za taaluma unayofanyia kazi, na ndiyo maana kwenye hoja yangu nikasema kwamba sio Lazima upate 100% hata ukipata 60% inatosha au Uliogopa nilivyokutajia Chuo cha Kodi (ITA), Sasa Kati ya Mimi na ww Nani mwenye uwezo mdogo? Kwanza ww ni muoga, ukitingishwa unatingishika.
- Hoja yangu na ugomvi wangu ulikuwa kwenye hayo maneno"Miaka hii" eti Afisa wa TRA? Mimi nimeomba tena kwa faida ya wanajf utaje exactly walizuia mwaka gani? haya neno miaka hii nini maana yake? Kuhusu Sheria inayo-govern utolewaji wa kamisheni inahusika 100% kwa sabbu huo Ni utaratibu ambao umeandikwa kwenye Sheria au miundo ya utumishi jeshini (hebu jaribu kumuuliza Mkuu wa Utumishi Jeshini) utajibiwa, Sheria ndiyo inaongoza utaratibu wowote pale, hiyo Sheria ndiyo itasema hivi mfano. Ili upande kutoka Private Hadi Koplo unatakiwa ufanye Nini (uende kozi gani), ili upande uwe commissioned Officer unatakiwa uwe na sifa zipi, i.e Kunakuwa na kitu Kama scheme of service ambayo nayo ni Sheria, Sheria Kama ikizuia form 6 itasema kabisa mfano hivi "Ili upate kamisheni ni lazima uwe na Shahada ya kwanza ya Taaluma yoyote kutoka chuo kikuu kinachotambulika na hiyo ni baada ya kwenda kwenye Mafunzo kwenye Chuo cha Taaluma ya kijeshi (TMA)" hivyo basi Sheria ndiyo inatoa masharti ya upandaji wa vyeo
-
-Kuhusu privilege za Majenerali Mimi hiyo hoja siku raise kabisa, any way ngoja nikujibu ukienda kwenye Fungu 57 utakuta Posho za majenerali, zipo zimetajwa kwa jumla kuwa ni kiasi gani kwa ujumla,mfano mwaka 2020 fedha za Majenerali zilizopokewa zilikuwa bilioni 4,
  • Yani acha kudhalilisha wanajeshi aisee yani ofisa wa Jeshi asiijue Sheria ya 'The National Defense Act'? ni Kama Afisa wa police (nyota kwenda juu) ashindwe kujua Police and 'auxilliary police act' ni aibu kubwa, kwa hiyo unataka kuniambia hao maofisa hawajafundishwa wakiwa RTS? hoja ya kusema sijui uingie Jeshini ndiyo utayajua Haina msingi wowote ule,
  • Sheria ndiyo ingekuongoza kuelewa Muundo wa Jeshi, ungepata kujua Unapandaje kwenda Koplo,sajenti,staffu sajenti (sajini taji), Warranty Officer,etc
-
 
Hehe vipi mkuu mbona maelezo mengi halafu unarudia mambo yale yale hutaki mjadala uishe sababu unaogopa kuonekana utashindwa au nini mzee? Kuhusu kuwa afisa wa TRA mbona tangu mwanzo ulishaconclude kuwa mimi siyo afisa wa TRA nikakuambia sawa tufanye siko TRA ili ufurahi ukaona sijui utashindwa ukaja na hoja ya incompetence mkuu mbona hujiamini na conclusion yako mtaalam wa customs and taxation?

Unaposema hiyo hoja ya majenerali hukuraise hivi kwenye huu mjadala ni nani anayeongoza kwa hoja ambazo mwenzie hakuraise kama siyo wewe? Nimegundua wewe kila swali ninalokujibu ukishashindwa unaraise hoja nyingine ambayo wala haihusiki kitu kinachofanya hadi utoke kabisa nje ya mada na kufika kote huku mfano mwanzo ulisema kuna maluteni wa form six nikakuambia miaka hii hawapo utaratibu umebadilika!

Ulipogundua kwamba kweli hawapo ukaanza kucheza na kiswahili nilichotumia eti ninaposema miaka hii namaanisha nini na nitaje the exact year kwahiyo nisipotaja the exact year ndiyo inabadili ukweli kwamba hawapo? Ukaona haitoshi ukaja na hoja ya sheria inayogovern utolewaji wa nyota kwenye national defence act sasa hata tukiichambua hiyo sheria inabadili ukweli kuwa kwa sasa hakuna maluteni wa form six mbona siasa nyingi?
- Kama maelezo ni marefu basi achana nayo
  • Wapi nimeonyesha kutojiamini? hivi mimi na wewe nani hajiamini? Yani umeshindwa hata kusema wewe Ni Customs Officer, Sasa hapo Kati ya wewe na Mimi nani Muoga.
  • hivi mimi sijajibu hoja gani ambayo ww umeleta? Haya umeuliza hoja ya maslahi ya majenerali japo siku raise lakini nimekujibu kwamba mfano.mwaka 2020/2021 (Mwaka wa fedha) pesa zilizopelekwa ni 4 bilioni Tanzanian shiling au hujaona hiyo? eti Afisa wa TRA! , Hoja ya maluteni ilikuwa very simple kutaja tu mwaka gani walirekebisha muunda wa kwenda kamisheni through kufanya marekebisho ya Sheria.
  • Miaka hii' ni miaka gani? Hivi hujui Sheria ndio inayoongoza utaratibu mzima wa kupata kamisheni? eeh Sasa tutaiachaje Sheria lengo tujue Regulations' ( au kwa jina lolote linalotumika) zilirekebishwa lini? Mwaka gani? Kwa hiyo umeshindwa kuuliza hao maafisa waliokupa baadhi ya taarifa? Hebu ulizia maafisa wakujibu, ww si inaonekana una access na maafisa

 
Ndiyo umeonesha kutojiamini na conclusion yako kwa sababu tangu mwanzo ulisema umeconclude kwamba siko TRA kwa sababu nimegoma kutaja position yangu! Hivyo eti nimeogopa maswali (kitu ambacho ni assumptions zako)!

Nikakuambia okay fine tufanye siko TRA ili ufurahi bado ukaendelea kukazana nikutajie position yangu! Eti uniulize maswali ili upime uelewa wangu na competence yangu then hilo ndiyo litakufanya uconclude kama niko au siko TRA!

Mkuu kuhusu sheria za utaratibu wa kupewa kamisheni usione kwamba hatuandiki maneno mengi ukadhani hatujui ni vile tu kuna vitu kuhusu hiko chombo hatuwezi kuexpose! Ila utaratibu wa recruitment uliopo kwenye sheria uko hivi:

- Mtu yeyote kutoka uraiani mwenye elimu yoyote au fani yoyote ile anayetaka kujiunga na jeshi ni lazima kwanza apitie mafunzo ya awali ya kujitolea ya Jeshi la Kujenga Taifa

- Akishamaliza hayo mafunzo atapewa cheo cha Service Man/Girl kisha atakaa kikosini kwa miaka mwili akifanya kazi za kawaida za kikosini kama usafi na kilimo na nyinginezo

- Baada ya hapo wakihitaji watu kwa ajili ya kwenda mafunzo ya TPDF kwenye hizo Recruitment Training Schools zao watawachukua hao Service Men/Girls kutoka vikosini

- Wataenda kwenye hizo shule kuchukua mafunzo ya 'bakabaka' kisha wakitoka hapo ndiyo wanaandikishwa rasmi kuwa wanajeshi na ndiyo wanakuwa Private (shati tupu)

- Baada ya hapo Officers Selection Board watapita kwenye hizo RTS kuchukua baadhi ya maaskari wenye sifa kulingana na uhitaji wao kwa ajili ya kwenda kwenye mafunzo ya uafisa

- Huo ndiyo mlolongo ulivyo isipokuwa tu katika kile kipindi ambacho jeshi linahitaji watu wa taaluma fulani mfano madaktari au wahandisi kutoka uraiani kwa dharura

- Hao watapitia mafunzo ya awali ya jeshi la kujenga taifa kisha moja kwa moja wataenda TMA Monduli kupiga course ya uafisa kisha wanakuwa maafisa hivyo hawachukui muda

Lakini tangu Magufuli alipoingia madarakani alikataa hiyo system ya kuchukua taaluma kutoka uraiani akasema anataka jeshi lianze kuendeshwa kisasa na kitaalam! Kwamba wasichukue tena degree za uraiani wala kuvalisha nyota form six!

Kwahiyo to be exact hiyo system ilianzishwa rasmi 2016 muda mfupi baada ya Magufuli kuingia madarakani! Na 2017 rasmi wakaanzisha hiyo course inaitwa Bachelor of Military Science ambayo inatolewa kwenye vyuo vya kijeshi tu nchini!

Na humo ndani ya Military Science kuna fields nyingi kuna udaktari kuna uhandishi kuna uhasibu kuna urubani kuna mambo ya historia na sheria za jeshi nk! Kwahiyo itategemea mtu anayesoma hiyo atataka kubase kwenye field gani!.

Na hiyo bachelor niliambiwa minimum ni 4 years kwa fields zote isipokuwa kwa madaktari ambao wao ni 5 years kama kawaida kama tu wanavyosoma wengine uraiani! Na huwa wanasomeshwa na jeshi either hapa nchini au nje ya nchi!

Kwahiyo Magufuli akasema wawe wanachukua wale form six fresh from school walioenda jeshini kwa mujibu wa sheria! Pale wanapokaribia kupass out huwa wanaulizwa kama kuna wanaotaka kurudi ili hapo baadaye waje kuwa wanajeshi!

Baada ya hapo wanaenda uraiani kisha muda ukifika wanaitwa wanarudi jeshini wanaenda kupiga course huko kwenye hizo RTS kisha wanakuwa Private! Baada ya hapo sasa wanaenda kusoma hiyo Bachelor of Military Science!

Wakishamaliza na kutunukiwa degree zao za military science kulingana na fani walizosomea ndiyo wanaenda sasa TMA Monduli kupiga course ya uafisa! Then voila wanakamisheni kuwa maofisa wakiwa tayari na professions na si vinginevyo!

Lakini ukumbuke pamoja na hilo jeshi bado hapa katikati halikuacha kuchukua taaluma uraiani! Kwa sababu kama hiyo Military Science ilianza 2017 na minimum ni 4 years ukitoa madaktari which means intake ya kwanza ilimaliza 2021!

Na jeshi lisingeweza kuwasubiri hao wamalize maana karibu kila mwaka ni lazima jeshi liajiri wataalam ili wawe maofisa! Lakini lengo lao la kutaka degrees 'made from jwtz' liko pale pale na wanaendelea kuchukua form six fresh from school!.

Huo ndiyo utaratibu uliopo kwa sasa hivyo Magufuli alipowabadilishia huo utaratibu sijui kama walilibadili hilo na kwenye sheria zao wanajua wenyewe walivyoliendesha hilo! Lakini pamoja na hayo hawakosekani wa kuvunja utaratibu!

Kuna wale kina baba kanituma ambao wao hawapitii ule mlolongo wote niliokutajia mwanzo hapo juu! Hao baba zao au ndugu zao ndiyo wale wa "simu moja tu" kwahiyo hawa nao wapo na hawapitii mlolongo mrefu kama wengine!

Wengi wenye connection huwa hawacheleweshwi hata kama wana taaluma au elimu ambayo jeshi halijaihitaji kwa wakati huo ila wao wanapita vizuri tu! Mfano unakuta jeshi linahitaji madaktari ila mtu na taaluma yake ya sociology naye anapita!

Mimi nina ndugu yangu alikuwa na diploma ya sociology aliingia jeshini wakati jeshi lilikuwa linahitaji wenye degree za udaktari tu akaingia nao akapita JKT then akaenda TMA fasta ndani ya miaka miwili naye akawa ofisa na sasa ni luteni!

Na siyo yeye tu ni wengi wapo wanaokiuka huo utaratibu ila wasio na connection ndiyo wanafuata utaratibu kama ulivyo! Sasa niambie bwana wakili mjuzi na msimamizi wa sheria zote za nchi hii ni sheria gani ya jeshi iliyoruhusu huo utaratibu?

Ndiyo maana nakuambia hizo sheria zipo na zitaendelea kuwepo ila je walioziweka wanazifuata? Nyuma ya pazia wao wenyewe wanafanya mambo kinyume na sheria zao halafu unataka tujadili kuhusu hizo sheria badala ya uhalisia uliopo?

Mwaka jana yule Luteni Kanali mkurugenzi wa mawasiliano ya jeshi pale Ngome alitoa tamko kuhusu watu wanaoambiwa watoe hela ili waunganishiwe wapate nafasi jeshini akasema eti jeshi lina utaratibu wao wa kuajiri kwa MUJIBU WA SHERIA!

Ila kiuhalisia chini ya kapeti ni kweli kuna watu wanatoa pesa ili waunganishiwe wapate nafasi jeshini na wanapata na wakubwa wanalijua hilo! Hizo kauli za kusema eti jeshi linaajiri kwa MUJIBU WA SHERIA tunaambiwa sisi 'watoto wa wakulima'!

Ila wenye mambanga yao wanajua namna wanavyopata hizo nafasi! Na hizo njia ambazo wanatumia HAZIPO na wala HAZIJAAINISHWA popote pale kwenye sheria za jeshi wala hazifuati huo utaratibu ambao wameuweka kwenye sheria zao!

Ukiambiwa ukweli unakazana eti nchi na jeshi vinaongozwa na sheria na taratibu hatukatai lakini kuna baadhi wao wenyewe wanazikiuka! Hivyo mimi siwezi kuishia kuzijadili sheria tu wakati underground mambo yanavyoendeshwa ni tofauti!
-Umeogopa kutaja position, huo ni Uoga, kwa sabab uliogopa mishale ambayo ingekujia baada ya kutaja, and infact umeniogopa kwa sabbu ya Maswali, unasema ni assumption zangu assumption wapi? Wakati ni kweli muoga umeonesha hujui 'Public Finance and Taxation' ungekuwa unajua vizur Public Finance and Taxation, usingeshindwa kujua Sheria zinazohusu bajeti mfano. Public finance Regulations',Katiba, Appropriation Act, Public finance Act, hivyo siyo assumption ni kweli umeonesha huna uwezo/ uelewa wa hizo Sheria, and infact Competence yako inatia shaka, endapo ungeonyesha basi uelewa wa hizo Sherria ambazo nimeziorodhesha hapo juu, ningeacha labda pengine ya kutaka kujua cheo chako huko TRA
  • Ofisa gani wa TRA hajui public finance? Au umesoma Sociology
  • Umeeleza mlolongo wa vitu ambavyo vingine Ni 'redundancy' Sasa ulipaswa ikiwezekana utaje Sheria, kwa Maana Mimi raia hizo Sheria nikizisoma mwenyewe ndiyo nitaelewa,
  • Kama walibadii utaratibu lazima walifanyia marekebisho ya Sheria Jeshi haliwezi kwenda kiholela
-kumbe baba kanituma wapo humo aibu
  • kwani kuingia kwa magumashi, hata kazi za kiraia magumashi yapo, ila Kama awali nilivyokwambia wanatofautiana viwango vya Uwazi taasisi Kama PSRS walau wanajitahidi kwa Uwazi, kuhusu kuvurugwa kwa utaratibu mbona hata sometimes sekta za kiraia wanavuruga utaratibu, mfano interview ya mwaka Jana ile ya TRA iliyosimamiwa na PSRS, utaratibu ulivurugwa, mithani ilivuja, kwenye ile interview kulikuwa na mtoto wa Prof kabudi, Mtoto wa Kamishna wa Maadili Jaji Mwangesi, Sasa kutokana na aibu ya mtihani kuvuja PSRS kujisafisha wakabatilisha ule usaili wakaitisha tena(nafasi nyingi) kile kitendo walau kilionesha uwazi kwenye utendaji
  • Lazima ujadili Sheria kwa sababu Sheria ndiyo zinakulinda, hata hiyo ajira yako uliyonayo inalindwa na Sheria, employer hawezi kukufukuza bila kufuata Sheria za utumishi wa umma (Kama uko sekta za kiraia),

 
Haha basi tufanye kuwa siko TRA na sina competence mbona hujiamini na conclusion yako? Wewe si umesema kuwa nimegoma kutaja position yangu sababu naogopa maswali hivyo sina competence na sijui mambo ya public finance mtaalam basi jiamini na conclusion uliyoifanya ili ujifurahishe au unasemaje?

Nimeshakuambia nimegundua wewe ukiishiwa majibu unakimbilia kuzalisha mada nyingine ili utafute sababu ya kusema umeniburuza sasa kwa vile mimi nimegoma kwenda huko unapopataka umeamua uconclude kwamba sijui teh! Bado hujanitisha kiasi cha kunifanya nitaje position yangu!

Halafu ulivyo hujui unachosimamia unasema eti interviews za TRA ni ngumu na kwamba kuna uwazi while unaniambia mimi afisa gani wa TRA nisiye na competence! Kumbe interviews za TRA ndiyo nyepesi sana kiasi hiki hadi wengine tusio na competence tumeweza kupita na kuajiriwa tu kiholela?

Kuhusu sheria na taratibu nimegundua bado unalazimisha kutoka nje ya mada na unalazimisha tujadili assumptions kitu ambacho siwezi kukaa nakijadili! Na mimi kutokuzijadili hizo sheria haimaanishi kwamba sizijui ila willingly ni kwamba sijataka kuzijadili hizo sheria nimetaka kujadili hali halisi iliyopo!

Kwa mfano hapo suala la bajeti na kutokuwepo na maluteni wa form six nilishakujibu nikakuelezea na utaratibu uliopo bado ukapinga kwa kisingizio kwamba huwezi kukubaliana na 'uongo' wangu! And oh i thought wewe unazijua hizo sheria za kwenye National Defence Act sasa mbona unataka nikutajie?

Umeleta porojo kibao ambazo sijaziraise pamoja na kwamba na mimi nilikuuliza unitajie privileges zote za general officers zilizoandikwa kwenye sheria ukanipiga chenga ukasema hiyo hoja hujairaise ukaishia kunitajia bajeti yao! Acha siasa mkuu mimi nilishakujibu wewe kutokukubali ni juu yako na siyo hoja!

Kuhusu baba kanituma hakuna sehemu nilisema jeshini hawapo mimi nilisema wapo na hata kwenye taasisi ambazo ajira zao zinapitia PSRS nako pia wapo! Ukaraise hoja ya kutaka kuwalinganisha eti wapi kuna uwazi kama ulivyoraise hoja ya kuwalinganisha jeshi na usalama wa taifa kwenye usiri!
- Kama ni Uoga umeonesha hata Wasomaji wenyewe wameona, Mimi najiamini kwa lolote lile, Ndiyo mana nakuruhusu kuleta hoja yoyote ile
  • Unasema nimeishiwa majibu majibu kwenye hoja gani? Mfano.umeuliza maslahi ya Majenerali nikakwambia kabisa kwa kukupa mfano kwamba 2020/2021 ilikuwa kiasi gani? au hukuuliza hili swali? japo Mimi kwenye hoja zangu siku li - raise Sasa wapi sijiamini, hivyo hoja ya kuishiwa majibu nayo imefeli
  • Kuhusu interviews za TRA (PSRS) yeah Kwenye post iliyopita nilisema walau, wanajitahidi kwa Uwazi, Ndiyo mana Mimi nime doubt ww kuwepo TRA, and infact umeogopa hata kutaja position yako, (Mimi sijakuuliza unafanya kazi TRA mkoa gani au H.Q hapana,) na kiuhalisia umelikimbia hili swali kabisa na umekiri
  • Unasema unajua Sheria Mkuu, swali ww unajua Sheria kweli? From the beginning ulishaonekana kwamba huna uelewa, mfano nakuuliza basics tu utaje General (jina la Sheria) hujataja, hakuna sehemu yoyote ile ambayo umeweza kujua Sheria zinazotumika hadi Mimi nikutajie, halafu wakati huo huo Unasema unauliza kwa Wahusika, Yani nakupa assignment ukatafute majibu lakini Bado unashindwa.
  • Kuhusu Privilege za majenerali narudia Tena kasome vitabu vya bajeti,zimewekwa Ni bilioni4 Tsh (zilizopokelewa),nimegundua huna uzoefu na masuala ya Bajeti, bajeti huwezi kukuta imeandika mshahara wa mfanyakazi mmoja mmoja, itachukua makaratasi zaidi ya maelfu, Ndiyo mana unakuta Bajeti sehemu imeandikwa 'Mishahara' ni let's say bilioni 10 Tsh,miradi ya mendeleo bilioni 2, and infact hiyo hoja ya maslahi ya Majenerali siku raise lakini majibu nimekupa, (Mimi nilicho raise ni Meja vs Kamishna wa Forodha na lilikuwa swali la mtego na ww ukalijibu bila umakini kwa kusema Meja Yuko juu ya Kamishna baadae ukagundua uka - retract), kwa hiyo nikikutajia bajeti yao ni sahihi kwa sababu Ndiyo stahiki zao hizo na narudia Tena hiyo hoja siku raise Kama unaweza onyesha
-
- yeah PSRS wanajitahidi kwenye Uwazi walau, huwezi kulinganisha na Majeshi,
 
Ndiyo maana nikakuambia tufanye siko TRA kwa sababu umehisi nimekimbia maswali kwa kutotaja position yangu! Na ni kwa sababu umeshakariri kwamba kila mtu aliyeajiriwa TRA basi lazima ni mhasibu na ana elimu deep kuhusu finance! Kwa sababu tangu mwanzo hii mada ilikuwa kulinganisha TRA na jeshi na mimi nikawa naongelea bajeti ya jeshi kwamba kuna nyingine inafichwa which is true! Haya kilichofanya useme sina uelewa na mambo ya bajeti katika muktadha huo ni kipi?

Wewe mwenyewe tu pamoja na kuzijua hizo sheria ila kuna vitu huvijui kuhusu hizi taasisi hususan kuhusu majeshi! Wewe umesema unaijua National Defence Act sasa uliniuliza mimi sheria za jeshi ili iweje wewe si tayari unazijua bhana? Vitu vingi nimeshakujibu na ilibidi baada ya mimi kukujibu iishie hapo ila hutaki kuonekana kwam upba umejibiwa unataka uendelee kuonekana una hoja! Mfano ule mjadala wa kusema kwamba miaka hii hakuna tena maluteni wa form six jeshini!

Nilishakujibu kwamba hawapo ukaona hapo utashindwa ukaleta porojo za kutaka nikutajie mwaka nikakutajia! Nikakupa na utaratibu wa namna wanavyofanya recruitment uliopo kwenye sheria ukaleta porojo za mambo ya redundancy! Kuhusu uwazi mimi sikuraise hoja ya kulinganisha wapi kuna uwazi zaidi mimi nilichotaka ujue ni kwamba kote kina baba kanituma wapo! Na wanapata kazi kinyume na taratibu zinazojulikana kwenye sheria na wakubwa wanajua hilo sasa nijadili hizo sheria ili iweje?

Kuhusu mshahara wa Kamishna na Meja NILIMAANISHA nilichokisema kwamba Meja anaweza kumzidi Kamishna inategemea tu yuko kitengo gani! Uzuri ukasema kabisa kuwa Kamishna ana uwezo wa kupata hadi 30M kwa magumashi! Nikakuambia hata Meja ana uwezo wa kupata hiyo! Na wala sikuretract wala kubadili gia angani bali nikaongezea tu kwamba kwanini pia usimlinganishe na wenzie anaofanana nao vyeo kama Mameja Jenerali ambao i am sure wamemuacha mbali!

Mkuu usilazimishe kuraise hoja ambazo hazipo nimekupa utaratibu wa ajira za jeshi uliopo kwenye sheria zao umetaka nikupe sheria na nikikataa kukupa utasema sizijui kisa tu nimekataa kukupa! Wewe unayezijua ziweke hapa mkuu! Nimegundua unafanya conclusions kutokana na kuassume kwamba huyu mtu kwa sababu amegoma kutaja hiki basi hakijui! Wakati mimi nimegoma kutaja vile ambavyo naona havihusiani na mada ila unalazimisua kuviingiza ili uonekane una hoja!
- Kwanza kabisa inaonekana, husomi ninachoandika kwa ufasaha, wapi Mimi nimesema kuwa kila mtu anayefanya kazi TRA anajua finance? Ukinisoma vizuri utakuta Kuna sehemu nimeuliza/ nimejenga hoja kwamba pengine labda umesomea Sociology (rudia kusoma post ya juu), Kuhusu bajeti/ kuzuka mijadala ya Bajeti imezuka kutokana na ubishani kwamba bajeti ya Jeshi haijadiliwi ( na hapa uoionesha kwamba una kasoro Kwenye uelewa) halafu hii mada (mada kuu) ni Taasisi zenye mishahara minono TANZANIA au kichwa cha Habari hujakisoma?,
- Kinachofanya uonekane huna uelewa wa bajeti ni hivi mosi umeonesha wazi wazi kutokujua Sheria zinazotumika kwenye masuala ya bajeti na hii inathibitishwa na ww kutokujua Sheria zinazotumika kwenye Bajeti eg.appropriation Act, Katiba, public finance act, public finance Regulations', (hata Mbunge msukuma anazijua aibu), pili kitendo cha kusema bajeti inafichwa ndiyo imezidisha kuonesha kwamba wewe hujui kitu Kuhusu bajeti au (elimu yako Form 6), kwa hiyo unataka kusema bajeti ya Jeshi Ni trilioni 10? eti afisa wa TRA? Kwa taarifa yako mfano kwenye Bajeti ya 2020/2021 Mishahara/ Stahiki za majenerali zilizoombwa Ni Bilioni 6 walizopewa Ni Bilioni 4 au hulijui Hilo afisa wa TRA? ingekuwa hivyo unavyodhani wangepewa zote bilioni 6, hivyo hoja ya kusema Kuna bajeti ya Siri imefeli.
-Nakuuliza kuhusu Sheria kwa sababu Sheria ndiyo inayoongoza, ndiyo maana hata ww Afisa wa TRA, ukifukuzwa Kazi kinyume hoja utakayojenga ni kwamba muajiri hajafuata Sheria,
-Meja hawezi kumzidi Kamishna wa Forodha na ushuru wa bidhaa, (labda Meja wa US army,) hata awe kitengo gani Nilishakwambia kuwa Kamishna wa Forodha ni mkuu wa department ya Forodha nchi nzima, hivyo hata Meja awe kitengo gani hawezi hata kumfikia kwa nusu Kamishna wa Forodha, kumbe unakubali Kamishna wa Forodha siyo level ya Meja, halafu mwanzoni ulisema kanali halafu ukaongeza Meja jenerali unasahau sahau hovyo, Kama ni Magumashi Forodha na Ushuru wa bidhaa ndiyo penyewe makusanyo yake siyo mchezo hivyo hata magumashi yake siyo ya nchi hii.
  • Umekubali kuwa Sheria huzijui, hata a,b,c,d hunazo,
  • Nafanya conclusion baada Kukuuliza swali kwa mfumo wa assignment, nakupa muda wa kwenda kuuliza, ku-google,kufanya observation nk i.e nakupa haki ya kusikiliza halafu ukishindwa kujibu ndiyo nafanya conclusion sifanyi Conclusion kwa kukuonea kabisa Mkuu Mimi muungwana nakupa muda kabisa masaa kadhaa ya kufanya utafiti,
  • Hivyo vitu naviingiza / naviuliza kwa lengo la kupata majibu Afisa wa TRA?

 
Nikuwekee salary slip yangu?? Sina uhakika wa baadhi ya maeneo ila najua mishahara ikoje. Mshahara wangu unafanana wa cheo kama changu, hivyo naangalia walionizidi na niliowazidi mishahara yao ndio nimeweka hapo.
Mishahara ya Maofisa wa TRA inacheza hapo. Iwe HR, Mhasibu, IT, wale Customs, Domestic nk. Elimu yako hukubeba kwenye ajira zinazohitaji kiwango fulani cha elimu nk nk nk.
JF bhna mtu anabishana na mtu ambaye yupo hapo for years kituko kweli. I stand to be corrected nimemaanisha kama siko sawa mtu aje aweke detail zake sahihi. Ila najua sana hivyo viwango. Extra Duty ndio hutubeba tena baadhi ya mikoa ni michosho tu. Kwa mwezi unaweza pata 400k, 300k, 200k, 100k kutegemeana na Level yako na siku ulizofanya kazi.
Mbona jamaa amekuelewesha tu. Au kusema hana uhakika kati ya Meja wa JWTZ na Kamishna wa forodha ndio kigezo cha yeye kutokuwa TRA?? TRA kuna, HR, UGAVI, IT, nk hivyo sio kila mmoja ana access ya kujua kila kitu.

JIONGEZE MZEE.
Ila pia kinachowafanya Hawa jamaa wa survive Ni rushwa
 
Nikuwekee salary slip yangu?? Sina uhakika wa baadhi ya maeneo ila najua mishahara ikoje. Mshahara wangu unafanana wa cheo kama changu, hivyo naangalia walionizidi na niliowazidi mishahara yao ndio nimeweka hapo.
Mishahara ya Maofisa wa TRA inacheza hapo. Iwe HR, Mhasibu, IT, wale Customs, Domestic nk. Elimu yako hukubeba kwenye ajira zinazohitaji kiwango fulani cha elimu nk nk nk.
JF bhna mtu anabishana na mtu ambaye yupo hapo for years kituko kweli. I stand to be corrected nimemaanisha kama siko sawa mtu aje aweke detail zake sahihi. Ila najua sana hivyo viwango. Extra Duty ndio hutubeba tena baadhi ya mikoa ni michosho tu. Kwa mwezi unaweza pata 400k, 300k, 200k, 100k kutegemeana na Level yako na siku ulizofanya kazi.
Mbona jamaa amekuelewesha tu. Au kusema hana uhakika kati ya Meja wa JWTZ na Kamishna wa forodha ndio kigezo cha yeye kutokuwa TRA?? TRA kuna, HR, UGAVI, IT, nk hivyo sio kila mmoja ana access ya kujua kila kitu.

JIONGEZE MZEE.
Mwaka Kat ya 2012 nilikuwa field Happ tra Arusha principal tax officer alipata nyongeza ya mshara wa laki tano na alkuwa analalamika nikamuuliza ssa hyo wakt mwalimu graduate hat Mia tano abebi kwa mwezi alicheka tu akanimbia pambana hz mamb itaikuta mbele
 
Mwaka Kat ya 2012 nilikuwa field Happ tra Arusha principal tax officer alipata nyongeza ya mshara wa laki tano na alkuwa analalamika nikamuuliza ssa hyo wakt mwalimu graduate hat Mia tano abebi kwa mwezi alicheka tu akanimbia pambana hz mamb itaikuta mbele
Ikawaje,ulizikuta kweli?
 
Ulionesha hilo baada ya kutaka kulazimisha kuuliza maswali ambayo kwa asilimia kubwa yanahusiana na finance na ndiyo maana ukasema kuna mengine hata muajiriwa wa kawaida hawezi kujibu hadi yapelekwe chuo cha kodi kwa wataalam tena nao baadhi wangeshindwa kujibu! So unakubaliana na mimi kwamba siyo suala la competence bali ni utaalam tu?

Oohh sasa kama unajua kuwa kichwa cha mada kinasema taasisi zenye mishahara minono mbona tangu mwanzo ulitoka nje ya mada? Kuhusu bajeti ya jeshi nilishakujibu ukasema hutaki kukubaliana na 'uongo' wangu na wala hakuna sehemu nimesema kuwa bajeti yao ni 10T na pia hiyo bajeti ya general officers ya 4B hizo ni za posho tu na siyo privileges!

Kuhusu acts ulizozitaja hakuna mtu anayeweza kuzijua sheria zote zilizopo kwenye acts zote ila wewe kusema kwamba sijui hata abc ni assumptions zako! Nilichoshangaa ni kitendo cha wewe kulazimisha kwamba eti bajeti yote ya jeshi inawekwa wazi ni hizo sheria ndiyo zinakudanganya kwamba kila kinachopelekwa jeshini kinawekwa kwenye maandishi?

Takwimu zinazoandikwa ni tofauti na Kiasi kinachopelekwa jeshini ndiyo maana nikakuambia huna uelewa kuhusu mambo ya jeshi na namna linavyoendeshwa wewe umejificha kwenye sheria! Na wakati nilishakupa mifano ya mambo ambayo yamefanyika ilihali hakuna sheria iliyoyaruhusu na wakubwa wanajua na wamelibariki hilo ila hawajaweka sheria!

Nilikupa mfano wa wanajeshi kuendesha upande wowote wa barabaraba ni kitu ambacho kinafanyika serikali inajua na matraffic wanaona ila hawafanyi chochote je ni sheria gani imeruhusu hilo? Ukabadili gia angani eti nisifananishe sheria za public finance na road act wakati mwanzo ulisema hii nchi kila kitu kinaendeshwa na sheria so ukajicontradict mwenyewe!

Hilo la kusema mimi nikikufukuzwa kazi nitahoji kwa kutumia sheria siyo hoja mimi kufanya hivyo haimaanishi kwamba hizo sheria ndiyo haziwezi kukiukwa! Hata wewe ukitaka unaweza ukaenda kuwahoji wanaoficha baadhi ya taarifa kuhusu bajeti ya jeshi kuwa kwanini wanafanya hivyo unao huo uwezo ila hilo halizuii ukweli kuwa wamepindisha sheria!

Kwahiyo katika scenario kama hiyo hauwezi kunilazimisha nijadili sheria kujibu hizi hoja zilizoko mezani kwa kisingizio kwamba sizijui wakati kuna mambo yanayofanywa kuhusiana na haya ambayo yanakiuka hizo sheria kwahiyo kujadili sheria itakuwa ni kujidanganya! Mimi katika mada hii nimechagua kujadili utaratibu uliopo na siyo sheria zinazoongoza huo utaratibu!

Kuhusu Kamishna na Meja kwanza uliuliza nani ana mshahara mkubwa nikakuambia Meja ukakurupuka kusema kwamba sijui cheo cha Kamishna ndiyo maana nilisema hivyo! Nikakuambia mtu kuwa na cheo kikubwa kwenye taasisi fulani siyo sababu ya kumzidi mshahara mtu mwingine ambaye naye ana cheo kikubwa kwenye taasisi nyingine ila tu wamezidiana!

Hapo kwenye posho ulikuja kuongezea baadaye kisha nami ndiyo nikakuambia kwanini pia usimlinganishe na Mameja Jenerali ambao ndiyo wenzie kicheo na wala sikusema Kanali acha kubadilisha maneno! Hiyo ya Kanali I ilikuwa ni kwenye privileges nilisema privileges anazopata kuanzia cheo cha Kanali jeshini nina uhakika Kamishna wa forodha hafikii!

-Mkuu kutokujua baadhi ya vitu siyo dhambi hata wewe mwenyewe kuna vitu hujui ila unajaribu kukwepakwepa kwamba sijakujibu wakati nimekujibu ila umekataa majibu! Na kuna hoja ambazo nikikujibu hausemi kama hujui badala yake unaanzisha hoja nyingine kutoka kwenye hayo hayo majibu ili utafute pa kutokea hadi kufikia kuuliza maswali personal yasiyohusiana!
  • Afisa umekunywa chai lakini? Okay kwende kwenye mada, Mimi swali langu nililiuliza vizuri tu kwamba Kama hujasoma Mambo ya finance pengine umesomea let say sociology, kitu ambacho sio kibaya, lakini kweli hata Kama umesomea Sociology ukose a,b,c,d za bajeti eti Afisa wa TRA? Kuhusu utaalam kwani ww muajiriwa wa TRA sio mtaalam? au utaalam wako una kasoro ndani yake?
  • Afisa vipi? Mbona unayumba, unajua Genesis ya kujadiliwa bajeti? hebu nenda kanisome vhhizur utanielewa and infact majibu yapo kwenye Post zilizopita, unaposema bajeti ya Jeshi siyo trilioni 2 inamaanisha ni trilioni 10? Hapo lengo langu ni ku - disprove hoja ya kusema bajeti ni zaidi ya hiyo waliyopewa, Bajeti ya majenerali nishakujibu walipewa bilioni 4 na Tena waliomba bilioni 6 wakapewa Bilioni 4, hiyo Ndiyo bajeti yao au unataka kusema bajeti ya majenerali ni Bilioni 200? eti Afisa wa TRA?
  • umechagua kujadili utaratibu halafu utaratibu wenyewe huujui, Sheria pia huzijui kote haupo
  • kuhusu wanajeshi kuendesha upande wowote ukishapata ajali na kun'goka meno Ndiyo utakuja kujua madhara yake, unaambiwa usitumie njia ya mwendokasi ww unatumia matokeo yake ni Kupata ajali, na kuleta madhara yako binafsi ya kuumia na madhara kwa Jeshi pia kwa maana hili suala sio la Mchezo,
  • Mimi sijawahi kuji contradict hata sehemu moja ,na nikiandika kitu huwa sibadilishi, huu mjadala ulifikia kwenye Bajeti ukasema kwamba bajeti yao haijadiliwi (kitu ambacho ni Uongo na ubabaishaji), ukaingiza suala la wanajeshi kuvunja Sheria za Usalama barabarani hivi mkuu huoni hapo hayo masuala ni mawili ambayo kila moja lina Sheria zake au nalo pia hujui? Haya Kama ni kuji contradict ww ndiye mwenye kujichanganya Mara useme haijadiliwi, Mara haipingwi, Mara useme Meja ana mzidi Kamishna wa Forodha mara ubadili useme kanali vipi Afisa unacho simamia Ni kipi?
- Meja hawezi kulingana kwa mshahara na Kamishna, Meja ni wa kumlinganisha na Meneja wa TRA Wilaya, ukiwa Mkuu wa kitengo cha Forodha ni boss mkubwa Sana huwezi kumlinganisha na Meja, hivyo basi kuwa Kamishna wa Forodha kuwa na
cheo kikubwa TRA Ndiyo sababu ya kumzidi Meja
  • privilege za kanali unamlinganisha na Kamishna wa Forodha? Kamishna wa Forodha ni big boss responsibility allowance ya Kamishna wa Forodha inalingana na ya kanali? ww si uko TRA hebu taja (Kama unajua Kama hujui acha)
  • Hebu taja hayo maswali yasiyohusiana?

 
Kuna traffic huku chanika alifariki bhaana, ile kwenda kwake kabisa watu hawakuamini nyumba alokuwa akiishi. Pale kaweka kama 150,000,000 na unaambiwa ana nyumba 3.
Ndio maan amefariki kwa ulaji rushwa na kilazimisha makosa sas kaacha hyo nyumba
 
Ndiyo umeonesha kutojiamini na conclusion yako kwa sababu tangu mwanzo ulisema umeconclude kwamba siko TRA kwa sababu nimegoma kutaja position yangu! Hivyo eti nimeogopa maswali (kitu ambacho ni assumptions zako)!

Nikakuambia okay fine tufanye siko TRA ili ufurahi bado ukaendelea kukazana nikutajie position yangu! Eti uniulize maswali ili upime uelewa wangu na competence yangu then hilo ndiyo litakufanya uconclude kama niko au siko TRA!

Mkuu kuhusu sheria za utaratibu wa kupewa kamisheni usione kwamba hatuandiki maneno mengi ukadhani hatujui ni vile tu kuna vitu kuhusu hiko chombo hatuwezi kuexpose! Ila utaratibu wa recruitment uliopo kwenye sheria uko hivi:

- Mtu yeyote kutoka uraiani mwenye elimu yoyote au fani yoyote ile anayetaka kujiunga na jeshi ni lazima kwanza apitie mafunzo ya awali ya kujitolea ya Jeshi la Kujenga Taifa

- Akishamaliza hayo mafunzo atapewa cheo cha Service Man/Girl kisha atakaa kikosini kwa miaka mwili akifanya kazi za kawaida za kikosini kama usafi na kilimo na nyinginezo

- Baada ya hapo wakihitaji watu kwa ajili ya kwenda mafunzo ya TPDF kwenye hizo Recruitment Training Schools zao watawachukua hao Service Men/Girls kutoka vikosini

- Wataenda kwenye hizo shule kuchukua mafunzo ya 'bakabaka' kisha wakitoka hapo ndiyo wanaandikishwa rasmi kuwa wanajeshi na ndiyo wanakuwa Private (shati tupu)

- Baada ya hapo Officers Selection Board watapita kwenye hizo RTS kuchukua baadhi ya maaskari wenye sifa kulingana na uhitaji wao kwa ajili ya kwenda kwenye mafunzo ya uafisa

- Huo ndiyo mlolongo ulivyo isipokuwa tu katika kile kipindi ambacho jeshi linahitaji watu wa taaluma fulani mfano madaktari au wahandisi kutoka uraiani kwa dharura

- Hao watapitia mafunzo ya awali ya jeshi la kujenga taifa kisha moja kwa moja wataenda TMA Monduli kupiga course ya uafisa kisha wanakuwa maafisa hivyo hawachukui muda

Lakini tangu Magufuli alipoingia madarakani alikataa hiyo system ya kuchukua taaluma kutoka uraiani akasema anataka jeshi lianze kuendeshwa kisasa na kitaalam! Kwamba wasichukue tena degree za uraiani wala kuvalisha nyota form six!

Kwahiyo to be exact hiyo system ilianzishwa rasmi 2016 muda mfupi baada ya Magufuli kuingia madarakani! Na 2017 rasmi wakaanzisha hiyo course inaitwa Bachelor of Military Science ambayo inatolewa kwenye vyuo vya kijeshi tu nchini!

Na humo ndani ya Military Science kuna fields nyingi kuna udaktari kuna uhandishi kuna uhasibu kuna urubani kuna mambo ya historia na sheria za jeshi nk! Kwahiyo itategemea mtu anayesoma hiyo atataka kubase kwenye field gani!.

Na hiyo bachelor niliambiwa minimum ni 4 years kwa fields zote isipokuwa kwa madaktari ambao wao ni 5 years kama kawaida kama tu wanavyosoma wengine uraiani! Na huwa wanasomeshwa na jeshi either hapa nchini au nje ya nchi!

Kwahiyo Magufuli akasema wawe wanachukua wale form six fresh from school walioenda jeshini kwa mujibu wa sheria! Pale wanapokaribia kupass out huwa wanaulizwa kama kuna wanaotaka kurudi ili hapo baadaye waje kuwa wanajeshi!

Baada ya hapo wanaenda uraiani kisha muda ukifika wanaitwa wanarudi jeshini wanaenda kupiga course huko kwenye hizo RTS kisha wanakuwa Private! Baada ya hapo sasa wanaenda kusoma hiyo Bachelor of Military Science!

Wakishamaliza na kutunukiwa degree zao za military science kulingana na fani walizosomea ndiyo wanaenda sasa TMA Monduli kupiga course ya uafisa! Then voila wanakamisheni kuwa maofisa wakiwa tayari na professions na si vinginevyo!

Lakini ukumbuke pamoja na hilo jeshi bado hapa katikati halikuacha kuchukua taaluma uraiani! Kwa sababu kama hiyo Military Science ilianza 2017 na minimum ni 4 years ukitoa madaktari which means intake ya kwanza ilimaliza 2021!

Na jeshi lisingeweza kuwasubiri hao wamalize maana karibu kila mwaka ni lazima jeshi liajiri wataalam ili wawe maofisa! Lakini lengo lao la kutaka degrees 'made from jwtz' liko pale pale na wanaendelea kuchukua form six fresh from school!.

Huo ndiyo utaratibu uliopo kwa sasa hivyo Magufuli alipowabadilishia huo utaratibu sijui kama walilibadili hilo na kwenye sheria zao wanajua wenyewe walivyoliendesha hilo! Lakini pamoja na hayo hawakosekani wa kuvunja utaratibu!

Kuna wale kina baba kanituma ambao wao hawapitii ule mlolongo wote niliokutajia mwanzo hapo juu! Hao baba zao au ndugu zao ndiyo wale wa "simu moja tu" kwahiyo hawa nao wapo na hawapitii mlolongo mrefu kama wengine!

Wengi wenye connection huwa hawacheleweshwi hata kama wana taaluma au elimu ambayo jeshi halijaihitaji kwa wakati huo ila wao wanapita vizuri tu! Mfano unakuta jeshi linahitaji madaktari ila mtu na taaluma yake ya sociology naye anapita!

Mimi nina ndugu yangu alikuwa na diploma ya sociology aliingia jeshini wakati jeshi lilikuwa linahitaji wenye degree za udaktari tu akaingia nao akapita JKT then akaenda TMA fasta ndani ya miaka miwili naye akawa ofisa na sasa ni luteni!

Na siyo yeye tu ni wengi wapo wanaokiuka huo utaratibu ila wasio na connection ndiyo wanafuata utaratibu kama ulivyo! Sasa niambie bwana wakili mjuzi na msimamizi wa sheria zote za nchi hii ni sheria gani ya jeshi iliyoruhusu huo utaratibu?

Ndiyo maana nakuambia hizo sheria zipo na zitaendelea kuwepo ila je walioziweka wanazifuata? Nyuma ya pazia wao wenyewe wanafanya mambo kinyume na sheria zao halafu unataka tujadili kuhusu hizo sheria badala ya uhalisia uliopo?

Mwaka jana yule Luteni Kanali mkurugenzi wa mawasiliano ya jeshi pale Ngome alitoa tamko kuhusu watu wanaoambiwa watoe hela ili waunganishiwe wapate nafasi jeshini akasema eti jeshi lina utaratibu wao wa kuajiri kwa MUJIBU WA SHERIA!

Ila kiuhalisia chini ya kapeti ni kweli kuna watu wanatoa pesa ili waunganishiwe wapate nafasi jeshini na wanapata na wakubwa wanalijua hilo! Hizo kauli za kusema eti jeshi linaajiri kwa MUJIBU WA SHERIA tunaambiwa sisi 'watoto wa wakulima' tu!

Ila wenye mambanga yao wanajua namna wanavyopata hizo nafasi! Na hizo njia ambazo wanatumia HAZIPO na wala HAZIJAAINISHWA popote pale kwenye sheria za jeshi wala hazifuati huo utaratibu ambao wameuweka kwenye sheria zao!

Ukiambiwa ukweli unakazana eti nchi na jeshi vinaongozwa na sheria na taratibu hatukatai lakini kuna baadhi wao wenyewe wanazikiuka! Hivyo mimi siwezi kuishia kuzijadili sheria tu wakati underground mambo yanavyoendeshwa ni tofauti!


Ndiyo maana tangu mwanzo nakuambia hizo sheria mbona zinajulikana si ni suala la mtu tu kutafuta katiba au source nyingine akazipata na kuzisoma! Mimi najadili utaratibu ambao wewe unalazimisha kuwa upo kwenye sheria wakati haupo!
samahani ww ni mwanajeshi? nmeuliza tu mana unatema madini kama msemaji wa jeshi
 
samahani ww ni mwanajeshi? nmeuliza tu mana unatema madini kama msemaji wa jeshi
Haha mimi ni raia kama wewe tu mkuu! Sema ninafuatilia sana na nina uelewa wa mambo yanayohusiana na jeshi!
 
Back
Top Bottom