Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania


Sasa mkuu nakuomba pm
 

Nakuomba pm
 

Mkuuu na mimi nipe line ya JHPIEGO tafadhali
 
Na baadhi ya hizo wafanyakazi wake ni wala rushwa balaa
 

Hizo za kijiweni
Nimepita kama ofisi tatu hapo. Sio kama mnavyojidanganya
 
Mkuu vipi kuhusu hizi taasisi maana Nina washikaji zao wanasema huko si haba..

TARI.
ASA.
 
Maafisa wa Tanzania People's Defence Force (TPDF) Ndio wanaongoza kwa mishahara minono na posho za kufa mtuu. Amin nawaambia wazeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…