Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wadau mbona kwenye hivi vyuo vikuu vya umma sioni mnavizungumzia kama viko na vishahara minono au huko ni normal tu japo ku a wasomi wenye GPA imara..!!
Mfano UDSM wako na hizi PUSS 2, PUSS 4 n.k
Hizo kazi za kizembe hazina hela.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Gaming....nasikia nao wapo vizuri
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
LATRA, NCAA na FCC Umewasahau wapi????
 
Duh!! Hawa watu kumbe wana scale nzuri hivi.

Mkuu vipi TPA?
TPA pakawaida saana
Nina degree alafu mdongo wangu wa mwenye levo four ya mechanics VETA namzidi 70K tu kwenye mshahara

TPA hakuna tofauti kubwa ya mishahara kwa watumishi wake
Operation
Security
Karan
Customer
Mafundi
Hawatofautiani saana mishahara wengi wanaanzia 1.4 bila posho
 
TPA pakawaida saana
Nina degree alafu mdongo wangu wa mwenye levo four ya mechanics VETA namzidi 70K tu kwenye mshahara

TPA hakuna tofauti kubwa ya mishahara kwa watumishi wake
Operation
Security
Karan
Customer
Mafundi
Hawatofautiani saana mishahara wengi wanaanzia 1.4 bila posho
Wizara mambo ya nje entry level kwa mwenye degree?
 
Back
Top Bottom