BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Hizo kazi za kizembe hazina hela.Wadau mbona kwenye hivi vyuo vikuu vya umma sioni mnavizungumzia kama viko na vishahara minono au huko ni normal tu japo ku a wasomi wenye GPA imara..!!
Mfano UDSM wako na hizi PUSS 2, PUSS 4 n.k