BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Hizo kazi za kizembe hazina hela.Wadau mbona kwenye hivi vyuo vikuu vya umma sioni mnavizungumzia kama viko na vishahara minono au huko ni normal tu japo ku a wasomi wenye GPA imara..!!
Mfano UDSM wako na hizi PUSS 2, PUSS 4 n.k
Kwahyo PUSS 4ni kama shilling ngapi Mkuu..?Hizo kazi za kizembe hazina hela.
Acha kaka, mkuu embu kuwa serious kidogo.2,300,000/-
Labda jamaa hayupo sahihi, ukweli ni upi? Tujuze chief.Umeamini kabisa?
Mkuu bado nipo dilema.Umeamini kabisa?
Gaming....nasikia nao wapo vizuriWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Kusema DAWASA wanakunja 2.3m si mchezo kama ni kweli.Mkuu bado nipo dilema.
Nilikua najua hawa jamaa wanachukua less than 1.5M hivi.
Mbona eGA wanakula 3m, wenye cpa(t) wanakula 4mKusema DAWASA wanakunja 2.3m si mchezo kama ni kweli.
LATRA, NCAA na FCC Umewasahau wapi????Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Kuna authority ilikuwa inaitwa SSRA sijui iliishia wapi,ilikuwa ina mishahara ya kwenda.LATRA, NCAA na FCC Umewasahau wapi????
TPA pakawaida saanaDuh!! Hawa watu kumbe wana scale nzuri hivi.
Mkuu vipi TPA?
Njaa kali wana 1.1 with no posho (hawanaga posho halali)Gaming....nasikia nao wapo vizuri
Wizara mambo ya nje entry level kwa mwenye degree?TPA pakawaida saana
Nina degree alafu mdongo wangu wa mwenye levo four ya mechanics VETA namzidi 70K tu kwenye mshahara
TPA hakuna tofauti kubwa ya mishahara kwa watumishi wake
Operation
Security
Karan
Customer
Mafundi
Hawatofautiani saana mishahara wengi wanaanzia 1.4 bila posho
TGS DWizara mambo ya nje entry level kwa mwenye degree?
Sijui kwa kweliWizara mambo ya nje entry level kwa mwenye degree?
!?TGS D
Serikalini hakuna scales za wenye masters.Ikiwa una masters
!?