Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Jamani mwenye connection ya udereva kwenye taasisi zenu mtutupie na sisi wakuu mtaani kumebana sana wakuu. Doh, hatari sana...!

Mkuu Extrovert nilifanikiwa kupata nafasi mwaka huo 2020 Sept aisee. Sikuamini kabisa siku napigiwa simu na Chief HR, nipo serikalini kwa sasa japo ni chini ya mradi funded by WB hivyo kiasi fulani makali yamepungua mkuu.

Mtaani kubaya sana kiongozi. Acha kabisa bro...!
 
Mshahara mkubwa ndio hio 1.5m? Hebu kuwa serious kidogo basi mkuu...Toka naskia habari za hawa MD sijawahi kuona mahali imeandikwa hata wanalipwa 2M
Mkuu, sometimes Ni lazima kuachana na fantasies na kuishi kwenye uhalisia.

Hata mbunge wa Tanzania analipwa Tsh 15,000,000 tunalalamika. Je, hiyo 15M kwa mwezi Ni pesa kubwa?

Hivi unajua hiyo Tsh 15M Ni $6,000 tu!!

Mkuu wa Idara Halmashauri analipwa That 3M. Unajua hii Ni USD 1,300.

Maisha hayajawahi kulingana hata siku moja. Ukitaka uone Maisha magumu,.kuwa my wa kukosa shukurani au kuona kama dunia haikutendei haki JILINGANISHE na walio juu yako.

Mbona hujilinganishi na unaowazidi??

Kwa mishahara ya serikali kuu, MD ndio anaanza na mshahara mkubwa na hiyo Ni FACT.

Achana na stori zaashirika sijui Nani anapata Milioni 30 kwa mwezi. Hata kama wapo ni watu wangapi.wanalipwa hivyo?

Ndio maana hata wabunge wetu wakijilinganisha na Kenya wanaona wanalipwa pesa ndogo sana na wao wanadai kuongezewa mishahara.
 
Mkuu, sometimes Ni lazima kuachana na fantasies na kuishi kwenye uhalisia.

Hata mbunge wa Tanzania analipwa Tsh 15,000,000 tunalalamika. Je, hiyo 15M kwa mwezi Ni pesa kubwa?

Hivi unajua hiyo Tsh 15M Ni $6,000 tu!!

Mkuu wa Idara Halmashauri analipwa That 3M. Unajua hii Ni USD 1,300.

Maisha hayajawahi kulingana hata siku moja. Ukitaka uone Maisha magumu,.kuwa my wa kukosa shukurani au kuona kama dunia haikutendei haki JILINGANISHE na walio juu yako.

Mbona hujilinganishi na unaowazidi??

Kwa mishahara ya serikali kuu, MD ndio anaanza na mshahara mkubwa na hiyo Ni FACT.

Achana na stori zaashirika sijui Nani anapata Milioni 30 kwa mwezi. Hata kama wapo ni watu wangapi.wanalipwa hivyo?

Ndio maana hata wabunge wetu wakijilinganisha na Kenya wanaona wanalipwa pesa ndogo sana na wao wanadai kuongezewa mishahara.
Bora umemuelewesha
 
Mkuu, sometimes Ni lazima kuachana na fantasies na kuishi kwenye uhalisia.

Hata mbunge wa Tanzania analipwa Tsh 15,000,000 tunalalamika. Je, hiyo 15M kwa mwezi Ni pesa kubwa?

Hivi unajua hiyo Tsh 15M Ni $6,000 tu!!

Mkuu wa Idara Halmashauri analipwa That 3M. Unajua hii Ni USD 1,300.

Maisha hayajawahi kulingana hata siku moja. Ukitaka uone Maisha magumu,.kuwa my wa kukosa shukurani au kuona kama dunia haikutendei haki JILINGANISHE na walio juu yako.

Mbona hujilinganishi na unaowazidi??

Kwa mishahara ya serikali kuu, MD ndio anaanza na mshahara mkubwa na hiyo Ni FACT.

Achana na stori zaashirika sijui Nani anapata Milioni 30 kwa mwezi. Hata kama wapo ni watu wangapi.wanalipwa hivyo?

Ndio maana hata wabunge wetu wakijilinganisha na Kenya wanaona wanalipwa pesa ndogo sana na wao wanadai kuongezewa mishahara.
Ndugu yangu acha chai MD anaingia serikalini baada ya kusoma miaka sita plus intern kwa -mil 1.4 while officer pale TCRA anaingia kwa gross ya 4.5 gross excluding house allowances and perdiem then you are telling these lies
 
Ndio maanaake mzee, hapo hata jamaa yako mliekuwa mkishinda kijiweni akiajiriwa ndani ya mwaka tu utashangaa anatembelea premio T 723 ESF na kiwanja kanunua Goba ukianza mwaka mpya anaanza ujenzi ndani ya miezi 6 tu..Hujakaa sawa na mishe mishe za kuoa zinaanza😅! TRA paacheni tu kuna mengi mazuri!

Kwa hali kama hio unategemea kwanini nafasi ikitoka msiigombanie tu?
Tajiri hiyo TRA unayosema ni Ile ya bila systems now allowances zote zimewekaa kwenye salary ili zikatwe Kodi ambapo salary ikapanda mpaka 2.3m gross hivyo hapo hapati allowances nyingine yoyote pia jamani what I have learned here watu wengi wanapewa matango pori watu wengi wanajudge mshahara kwa mafanikio ya mtu na majina ya institution institution zenye salary kubwa hapa Bongo ni TCRA (Officer 2 anaanzia na 4.5m) then Kuna eGA (2.61m to 3.07m) then TCAA( Sina uhakika saana) then Kuna gaming board (from 2.5m to 3m) then TRA (2.3M)
 
Tajiri hiyo TRA unayosema ni Ile ya bila systems now allowances zote zimewekaa kwenye salary ili zikatwe Kodi ambapo salary ikapanda mpaka 2.3m gross hivyo hapo hapati allowances nyingine yoyote pia jamani what I have learned here watu wengi wanapewa matango pori watu wengi wanajudge mshahara kwa mafanikio ya mtu na majina ya institution institution zenye salary kubwa hapa Bongo ni TCRA (Officer 2 anaanzia na 4.5m) then Kuna eGA (2.61m to 3.07m) then TCAA( Sina uhakika saana) then Kuna gaming board (from 2.5m to 3m) then TRA (2.3M)
Kumbe TCRA wana shavu namna hio
 
Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC​
1.8m​
2. TCRA​
3.5m​
4. Ngorongoro​
1.8m​
3. Ewura​
1.8m​
4. WCF​
2.0m​
5. TBS​
1.8m​
5. TANAPA​
1.8m​
5. Tume ya madini​
hawa below 1.5m​
6. Mamlaka ya chakula na dawa​
1.7m​
7. SSRA​
2m​
8. NSSF/PSSSF​
2m​
9. BOT​
1.8m​
9. Bunge​
Hawa below 1m​
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali​
Hawa sijajua​
10. TASAC​
2m​
10. TRA​
2.3m​
11. MSD​
1.8m​
11. TAKUKURU​
Sijajua bado​
11. EGA​
3.07m​
12. NHIF​
1.7m​
13. TPA​
1.6m​
13. TIC​
Sijui bado​
14. KADCO​
hawa below 1.5m​
15. TANESCO​
1.2m​
16. TANROAD​
Sijui bado​
17. TAA​
1.35m​
Retention mechanism
 
Duuh yaani mimi siku zote wanavyosemaga mishahara minono, huwa nadhani labda hizo taasisi zote ofisa anayeanza kazi anachezea kuanzia 2.5M-3M!

Kumbe wengi hata 2M hawafiki, kama ni hivyo basi TPDF linalipa vizuri asee maana jeshini hizo 1.8M-2M ni mishahara ya makoplo na masajenti ambao wengi wameishia la saba na form four!

Bado hujazungumzia wenye degree maofisa kuanzia maluteni, halafu kuna watu wanadharau eti jeshini hamna kitu eti pesa ziko TRA na BOT kumbe pesa zenyewe ndiyo hizo wabongo bhana!
Tatizo linakuja huo ukoplo hadi uupate sio leo
 
Back
Top Bottom