Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Inategemea ni kitengo Gani , kumbuka halmashauri ni TRA ndogo,
Haki nawaambia halmashauri Kuna pesa nyingi sana Zina zagaa
Tangu Halmashauri walazimishwe kutoa risiti za EFD kwa makusanyo yao yote, hakuna tena pesa inayozagaa halmashauri. Sana sana wanaamua kuwaonea waajiriwa wapya kutokuwalipa stahiki zao kwa ukamilifu ili wabakize za kujilipa kwa vigezo vya kutengeneza kama safari nk. Mwajiriwa mpya utaambiwa onesha tiketi ili urudishiwe nauli kama ukijikuta umeipoteza hiyo pesa wanaibakiza. Hata logic ya kawaida tu kama mtu ametoka mwanza na sasa ameripoti Tanga ni kwamba lazima alisafiri hata kama kapoteza risiti. Kuna orodha ya nauli iliyotolewa na SUMATRA kila mwajiri anayo!! Ni unyang'anyi tu unaweza kutumika kumnyima mtu nauli kwa kisingizio cha kupoteza tiketi yake!
 
Ni Dreva wa nani na ana miaka mingapi kazini? Hakuna Dreva katika utumishi wa umma anayepata 1,000,000/= kama kianzia mshahara kwa ajira mpya!! Lakini kwa kukaa muda mrefu kazini anaweza kufikisha hiyo milioni moja. Kuna kupotoshana sana humu.
Madereva wengi wanaanza na laki 3 mpaka Nne ispokuwa dereva mwenye safari nyingi anaweza kukunja mpaka milioni na laki 3 kwa mwezi

Madereva wenye njaa ni wa HALMASHAURI
 
Ya
Ni Dreva wa nani na ana miaka mingapi kazini? Hakuna Dreva katika utumishi wa umma anayepata 1,000,000/= kama kianzia mshahara kwa ajira mpya!! Lakini kwa kukaa muda mrefu kazini anaweza kufikisha hiyo milioni moja. Kuna kupotoshana sana humu.
Yah upotoshaji ni mbaya sana mwisho wa siku unaleta discourage tu, mambo mengine utaenda jionea hukohuko unapofika kwa mwajiri, na hii imeleta sana discourage kwa vijana waliopata asali za Mda&Lga kwa wengi wao kujiuliza maswali mengi ama wakaripoti au wasiende kuripoti kutokana na ishu hizi za mshahara, vijana wengi wana angalia kigezo hiki kimoja tu cha mshahara, wakati ajira za serikali watu wana angalia factors nyinginezo kama , security, posho , scheme za Afya nk
 
Ni Dreva wa nani na ana miaka mingapi kazini? Hakuna Dreva katika utumishi wa umma anayepata 1,000,000/= kama kianzia mshahara kwa ajira mpya!! Lakini kwa kukaa muda mrefu kazini anaweza kufikisha hiyo milioni moja. Kuna kupotoshana sana humu.

Dereva wa BOT Entry Level anakunja kiasi gani mzee...?
 
Uzi bado unakimbia .....Kwan mkulu wa nchi anakula take home ngap ??nmemskia mei 1 nae anadai nyongeza kweny kweny salio lake
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Unaijua Bodi ya michezo ya kubahatisha?
 
Back
Top Bottom