Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Posho ya TPDC Ni 250,000/night
 
Huku ukiingia na uhakika wa ajira permanent kutoka ni ngumu sana.
Kuna jamaa yangu wa karibu, aliingia kule MWAUWASA early 2000.

Kufikia 2002 alikuwa Don na mwaka huo akaoa, harusi ilikuwa ya kidon kabisa ingawa alipata support huko kazini kwake.

Bado yupo huko hadi sasa, kashapiga hatua ndefu sana.

Kumbuka huyo aliingia kwa sifa ya Diploma...
 
Kuna jamaa yangu wa karibu, aliingia kule MWAUWASA early 2000.

Kufikia 2002 alikuwa Don na mwaka huo akaoa, harusi ilikuwa ya kidon kabisa ingawa alipata support huko kazini kwake.

Bado yupo huko hadi sasa, kashapiga hatua ndefu sana.

Kumbuka huyo aliingia kwa sifa ya Diploma...

Mkuu huko ukibahatika kupata kitengo mambo ya kutaka kuhama utakuwa unasikia kwa wengine uhakika wa maisha kidogo upo kulinganisha na sehem nyingi tu.
 
Kuna mashirika ya umma
Salary scale ni 2.6m
Posho ya Nyumba 800,000/-
Extraduty 900,000/-
Transport 450,000/-
Kaka huyo anayelipwa hiyo ana cheo gani aisee 800,000 posho ya nyumba , hamnaga hiyo labda private sector..

Kama ni serikalin basi pesa zetu zinatumika vibaya
 
Tpdc degree 1.5M , diploma 1.1M hiyo kabla ya makato.

Ila kule kinacho wabeba ni perdiem nyingi ni nadra sana kukaa ofisini.

Kwenye maokoto ni kwenye mamlaka kama:-

1.TCRA( Perdiem nyingi na kusafiri sana)
2.EWURA( perdiem zake kubwa pamoja na mshahara mkubwa)
3.LATRA( mshahara mkubwa)
4.UCSAF( hapa usipimie mpunga mrefu sana)
5.MAMLAKA ZA MAJI ZA MAJIJI KAMA DAWASA, AUWSA, MWAUWASA, DUWASA

6.TRA( mishe nyingi za kupata hela ukiwa mtoto wa mjini)
7. TANROADS( makusanyo makubwa so perdiem nyingi)
8. TARURA( haina tofauti sana na tanroads)
9. NHIF( extra duty yao 900k pamoja na mshahara mkubwa ila hawana safari sana kwa nature ya kazi zao).
10. Hazina mshahara wao ni TGS.. Ila usipime maokoto yao extra duty yao tu 1.8M
 
Tpdc degree 1.5M , diploma 1.1M hiyo kabla ya makato.

Ila kule kinacho wabeba ni perdiem nyingi ni nadra sana kukaa ofisini.

Kwenye maokoto ni kwenye mamlaka kama:-

1.TCRA( Perdiem nyingi na kusafiri sana)
2.EWURA( perdiem zake kubwa pamoja na mshahara mkubwa)
3.LATRA( mshahara mkubwa)
4.USCAS( hapa usipimie mpunga mrefu sana)
5.MAMLAKA ZA MAJI ZA MAJIJI KAMA DAWASA, AUWSA, MWAUWASA, DUWASA

6.TRA( mishe nyingi za kupata hela ukiwa mtoto wa mjini)
7. TANROADS( makusanyo makubwa so perdiem nyingi)
8. TARURA( haina tofauti sana na tanroads)
9. NHIF( extra duty yao 900k pamoja na mshahara mkubwa ila hawana safari sana kwa nature ya kazi zao).
10. Hazina mshahara wao ni TGS.. Ila usipime maokoto yao extra duty yao tu 1.8M
Hiyo extraduty ya 1.8m itakuwa ni Uongo,
 
Tpdc degree 1.5M , diploma 1.1M hiyo kabla ya makato.

Ila kule kinacho wabeba ni perdiem nyingi ni nadra sana kukaa ofisini.

Kwenye maokoto ni kwenye mamlaka kama:-

1.TCRA( Perdiem nyingi na kusafiri sana)
2.EWURA( perdiem zake kubwa pamoja na mshahara mkubwa)
3.LATRA( mshahara mkubwa)
4.USCAS( hapa usipimie mpunga mrefu sana)
5.MAMLAKA ZA MAJI ZA MAJIJI KAMA DAWASA, AUWSA, MWAUWASA, DUWASA

6.TRA( mishe nyingi za kupata hela ukiwa mtoto wa mjini)
7. TANROADS( makusanyo makubwa so perdiem nyingi)
8. TARURA( haina tofauti sana na tanroads)
9. NHIF( extra duty yao 900k pamoja na mshahara mkubwa ila hawana safari sana kwa nature ya kazi zao).
10. Hazina mshahara wao ni TGS.. Ila usipime maokoto yao extra duty yao tu 1.8M
Mkuu hiyo namba 4. USCAS ndio taasisi gani hiyo
 
Back
Top Bottom