Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Tpdc degree 1.5M , diploma 1.1M hiyo kabla ya makato.

Ila kule kinacho wabeba ni perdiem nyingi ni nadra sana kukaa ofisini.

Kwenye maokoto ni kwenye mamlaka kama:-

1.TCRA( Perdiem nyingi na kusafiri sana)
2.EWURA( perdiem zake kubwa pamoja na mshahara mkubwa)
3.LATRA( mshahara mkubwa)
4.UCSAF( hapa usipimie mpunga mrefu sana)
5.MAMLAKA ZA MAJI ZA MAJIJI KAMA DAWASA, AUWSA, MWAUWASA, DUWASA

6.TRA( mishe nyingi za kupata hela ukiwa mtoto wa mjini)
7. TANROADS( makusanyo makubwa so perdiem nyingi)
8. TARURA( haina tofauti sana na tanroads)
9. NHIF( extra duty yao 900k pamoja na mshahara mkubwa ila hawana safari sana kwa nature ya kazi zao).
10. Hazina mshahara wao ni TGS.. Ila usipime maokoto yao extra duty yao tu 1.8M

11. NGORONGORO
12. TANAPA(Pamoja na nduguze wanaodili na maliasili)
13. STAMICO je....?
14. TANESCO (wazee wa kutulaza gizani kama mende)
15. TAA je...?
16.
 
wanasemaga TPDC wanakunja mpunga mrefu kumbe kawaida tu

IMG_1537.jpg

????
 
Back
Top Bottom