Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Kweli unachekesha. Wale Wahindi wa Reli aliwaleta Mkapa? Mbona ABSA, na MICRO zinaenda vizuri? ESCROW/IPTL, TANESCO -Richmond alileta Mkapa?Ungeandika pia Mkapa aliua Taasisi ngapi? Zaidi ya 300 kwa kisingizio cha ubinafsishaji. Kumbuka Kikwete alivyopata kazi ngumu sana kipindi chake mwanzoni kuanza kuzirudisha na kuzifufua kwa gharama kubwa. Mf. Reli, Bima, Viwanja vya ndege, mabenki, tanesco, atc etc.
Walio kuwa Wanakusanya Kodi kipindi hicho ni wizara ya fedhaKwamba watu walikuwa hawalipi kodi kabla ya mkapa? Alianzishaje wakati kodi ya mapato ilikuwa inalipwa tangu enzi za Mjerumani?
Amezifanya (TRA)kuwa.....Post ya kitoto mno.....
Umeweka maskhara mengi mno........
Alichokifanya hayati mzee Mkapa (Rip) ni kikubwa kwa ajili ya taifa ,kiko wazi na hakipingiki....
Nilitegemea umzodoe mh.Rais Samia kama angekuwa AMEZIFUTA hizo taasisi alizoanzisha mh.Mkapa....
Je mh.Samia AMEZIFUTA?!!
Ahaaahaaaaa! Kweli mambo yanakwenda mrama siku hizi lazima tufanye kitu!Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
👇🏾
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
ccm ni uozo mtupu... Ila huyu bi chura kiziwi ni hopelessHizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
👇🏾
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
Uwe na adabu na heshimaMkapa alikuwa na akili , maono mapana, mtengeneza njia pasipo na njia. Huyu shangazi mfuga CHAWA kama Lucas Mwashambwa, hana maono, hana ubunifu, yaani anamaliza uchumi wa Tanganyika kwa kujenga na kupeleka kila kitu kwao.
Tanganyika anawatimua Wamasai kwenye ardhi yao ili awape Waarabu, hii ni laana kubwa.
Kauza bandari yetu kwa DP WORLD kwa mkataba mbovu usio na ukomo.
Hili ni janga la kitaifa
ilikuwa inaitwa CUSTOM lakini 1996 akaivunja na kuanzisha TRA na watu wengi walipoteza ajira.Kwamba watu walikuwa hawalipi kodi kabla ya mkapa? Alianzishaje wakati kodi ya mapato ilikuwa inalipwa tangu enzi za Mjerumani?
Umeisahau ile ya wakina steve nyerere...Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
👇🏾
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
Mkapa huwezi mfananisha na hao wengineUwe na adabu na heshima
Machawa wapambe wenyewe walikuwa wanashindwa kumsogolea 😄RAIS bora kabisa mkapa
Duh,Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
👇🏾
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena