Hizi ndio timu kubwa Afrika kwa sasa

Hizi ndio timu kubwa Afrika kwa sasa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Makolo hawapo povu ruksa
FB_IMG_1668503094606.jpg
 
Timu kutoa wachezaji kushiriki WC haiwezi kuwa sababu ya ukubwa wao, hiyo haipo kwenye vigezo.
 
Shame on you mtoa mada acha kupotosha uchangamshe genge those are African clubs with players who will perticipate world cup this year.
Rubbish 🔒
 
Timu kutoa wachezaji kushiriki WC haiwezi kuwa sababu ya ukubwa wao, hiyo haipo kwenye vigezo.
ila wachezaji wa simba wengi kuitwa timu ya taifa babra alisifia ni kutokana na ubora wa simba kimataifa au umesahau?
 
Back
Top Bottom