Hizi ndio zilikuwa enzi

Hizi ndio zilikuwa enzi

Wale wa Tarime Secondary tafadhali mwenye nalo alishushe, ingawa nilisikia kuna watoto Wapumbavu walilichoma kwenye mgomo
 
Inakuwaje siku hizi haiwezekani serikali kununua na kupeleka magari katika shule?

Zamani mambo yalikuwa mazuri tofauti na sasa.
Acheni Nyerere aitwe Nyerere jamani, huwa nashangaa anapofananishwa na wasanii
 
Sawa mkuu maana lilikuaga limepak tu pale kwnye nyumba ya headmaster lakn halitumik
2014 nilienda kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Kalenga nilikutana nalo maeneo ya Ipamba hospital limebeba magogo
 
Direct injection, ISUZU, Nyakato secondary po box 6 Bukoba, Ziwa Magharibi, kanda ya ziwa, Tanzania. Namalaaaaa!!!
 
.
FB_IMG_1594963799329.jpg
 
Back
Top Bottom