Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepanda sana hii ndinga. Box 1 nadhani ni ofisi ya Dc sina uhakika.
Mkuu ya Tosamaganga huna
Yap..Nsumba Sec School
Na mm nalitaka like BedfordMkuu ya Tosamaganga huna
Sawa mkuu maana lilikuaga limepak tu pale kwnye nyumba ya headmaster lakn halitumikNgoja nilitafute
Acheni Nyerere aitwe Nyerere jamani, huwa nashangaa anapofananishwa na wasaniiInakuwaje siku hizi haiwezekani serikali kununua na kupeleka magari katika shule?
Zamani mambo yalikuwa mazuri tofauti na sasa.
Na makelele mengi sanaSiku hizi tumebaki kujimwambafy
2014 nilienda kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Kalenga nilikutana nalo maeneo ya Ipamba hospital limebeba magogoSawa mkuu maana lilikuaga limepak tu pale kwnye nyumba ya headmaster lakn halitumik
Subiri niisake
Mkuu inaitwaje hii kitu maana naona mapichapicha tu