Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliochelewa kuzaliwa tumekosa mengi wallah. Tuekee na ndiga ya dareda sec kama unaweza maana nayo ilibaki screpa tuMambo ya urembo hayo
Hii moshi technical hii dah kitambo sanaaa
makokola, minazi mikinda, tambuja reli, kanyenye, ipuli, katete kote linafika.Walambo wamoja
Napamiss sana hapa
Haswaa mkuu nimemaliza palemakokola, minazi mikinda, tambuja reli, kanyenye, ipuli, katete kote linafika.
usiniambie wewe ni school mate wa mie
Kitu Nsumba boys hichoNililikuta, nikaliacha. Bado wengine wanaendelea kulikuta kuliachaView attachment 1486934
NyamshongomaDirect injection, ISUZU, Nyakato secondary po box 6 Bukoba, Ziwa Magharibi, kanda ya ziwa, Tanzania. Namalaaaaa!!!
Hii shule hii [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisaView attachment 1486954
Kitu hicho!hv mwl Kasalile alitokea Tosa?Camp langu hili..... Enzi za Isindagosi na mishe za issue..... Namuona Mwl. Ngimba na Kasalile.....
Kitu hii hapa tayari kwa safari ZooNa mm nalitaka like Bedford
Mnhh.. Songea Boys, P.O. BOX 2.
What was P.O. Box 1.!!?
Duh!!!
Yani kwa tz nzima ofisi ya dc wa songea ndio pobox 1 ?Tumepanda sana hii ndinga. Box 1 nadhani ni ofisi ya Dc sina uhakika.
Wale wazee wa msitu wa ndovu,kihesa, idundilanga na melinze mko wapi
Daa umenikumbusha tosamagangaMkuu ya Tosamaganga huna