Ndu wa kweru
JF-Expert Member
- Nov 18, 2021
- 445
- 1,120
Aaaah sawa sawa.. naona hiyo course inatolewa UDOM pale sema ndo hivo practocal ni ishu nyingine aiseee
Kubet sio kazi..π€π€π€Taaluma ya bettig pekee ndiyo taaluma ambayo wahitimu wake wapo kazini kila siku,Kupatq na kukoosa wamefuzu vyeman
Akutumie pm
Sawa inamana kwa wale ambao ujuzi wao wamechukulia youtube nKozi za ujuzi huwa hawaangalii vyeti . Maana ni kazi za vitendo.
Vyeti sio ishu kwenye animation. Bali ni ujuzi wa vitendo
Yaaah maana PM kuna mambo aweke hapa si anajiamini ana uwezoAweke hapa hapa. Nitaiona
Tunasoma hivo ivo ko ulitaka tusisomeDegree ambazo zimesambaa mtaani na wengine WANAFUNGUA MADUKA NA KUJIAJIRI KWA PAMOJA TUNAITA KUPAMBANA:
DEGREE ZENYEWE NI HIZI:
Ualimu,
Human Resource
Economics
Law
Procurement and supply,
Secretary
Banking and Finance,
Community Development,
Public Relation,
Business Administration,
Record Management
Sociology
Sales marketing
Education
Business Management.
Supply imekuwa kubwa mno kuliko Demand
Kwenda kusomea hizi Course kwa sasa ni Kupoteza Hela na Mda wako tu
Supply ni Kubwa sana Na kila Mwaka inaongezeka Kuliko Demand
Ajira zimekuwa ngumu kupatikana cz watu wengi wamesomea vitu vile vile common miaka yote na vingine technology imetake place
Hali ni mbaya vijana wanapoteza mda na hela kusomea vitu ambavyo haviwasaidii cz kila mtu kasoma hivo vitu, Vijana wanachoma mahindi kwasabab ya kusomea Course ambazo zina supply kubwa sana kuliko Demand
Ushauri kwa Wadogo zangu angalieni na Course za kusoma sio unasoma ilimradi umesoma then unakuja kuteseka mtaani ajira hakuna
Unakuta mtu anasomea Human Resource au Procurement and supply kwa sasa then anategemea kuajiriwa wakati Supply ni Kubwa kuliko Demand then ukiangalia hizo faculty Technology imetake place
Ni Moja ya Cha Chanzo cha Ukosefu wa Ajira Kwa Tanzania, Watu wanasoma vitu vile vile ambavyo kila mtu amesoma miaka nenda rudi Kwa style hii Kazi za kuwaajiri wote zitatokea wapi.
Hata kwenye Afya wamejaa sanaClinical officer sija waona apo na Bachelor of Arts in Music
Na hao wana technologies ndo wanaotakiwa sa hivi au unamaana gani mkuu!.Demand itaendelea pungua sababu ya ukuaji wa technolojia
Sawa inamana kwa wale ambao ujuzi wao wamechukulia youtube n
Hapo inakuaje unakuta hana cheti
Santos06 ππππTunasoma hivo ivo ko ulitaka tusisome
Sawa sawa mkuu nimekuelewaSwali unarudia kuuliza huku nimeshalijibu kwenye comment zangu.
Vyeti siitaji kuviona. Vyeti havina umuhimu wowote . Nataka mtu anayejua kwa vitendo.
Haijalishi amejifunzia wapi
How?Computer science pia
Wapo wengi,,,How?
Wanomaliza ni wengi, wanaoweza kufanya, vyuo vinawaandaa kua competitive kwenye soko la tech na computers. Hata wanaomaliza bussines nini nini hio wengine hata kusimamia genge la nyanya hawaweziWapo wengi,,,
SahihiMagufuli aliharibu alipotunyima ajira 2015, alisababisha mlundikano ambao hautakuja kupungua
Mungu ambariki mama samia ana roho safi
Wanaomaliza ni wengi sana...Wanomaliza ni wengi, wanaoweza kufanya, vyuo vinawaandaa kua competitive kwenye soko la tech na computers. Hata wanaomaliza bussines nini nini hio wengine hata kusimamia genge la nyanya hawawezi