Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupingi Mkuudunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
HahahaDaaaa afadhali dhambi yangu ya ulevi haipo
Mkuu ongezea na ulevi hapodunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Uzizi ndo nindunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Ipi inasameheka na ipi haisameheki hapo?dunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Afazali ushirikina uko namba 4dunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Pia 'zuluma'Uzizi ndo nin
Walevi wote peponi, sema wewe ni mzinzi... [emoji3][emoji3]Daaaa afadhali dhambi yangu ya ulevi haipo
Hapa sijafanya mbili mauwaji na ushirikina lakini naomba niulize hivi dola au chama tawala kikidhulumu kura na majimbo ya upinzani Nani specific anapata dhambi.dunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Mungu nisamehe.5.kutelekeza wazazi huko kijijini. Mtu anampigia mchepuko mara 3 kwa siku lakini mzazi ni mara moja kwa mwezi, kutuma miamala ndo usiseme.
Hatuwezi kukosa pa kuiweka hii!Daaaa afadhali dhambi yangu ya ulevi haipo
Bebe Karma nimeacha hiyo dhambi mwaka wa 2 sasaWalevi wote peponi, sema wewe ni mzinzi... [emoji3][emoji3]
Hahahaha ulevi sio dhambiiiHatuwezi kukosa pa kuiweka hii!
Hii inakaa kwenye ushirikina!.. cheki mfanano sasa,mlevi akilewa huanza kushirikina na wenzake katika kulewa utasikia tu uko wapi..? Njoo huku tupate mbili tatu wakimaliza wakiwa wanaenda nyumbani wanakosea nyumba sana! Huo ndo ushirikina inakaa hapo halafu hata kwenye uzinzi inakaa maana ulevi na nyege ni kulwa na doto..[emoji23]
Sisi waongo Sasa naona hatupo kwenye list..[emoji41]