Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Zambi kubwa kuliko yote ni kua mfuasi wa CCM
Nazani nimeeleweka ila msinizanie vibaya ndugu zanguni!
Nazani nimeeleweka ila msinizanie vibaya ndugu zanguni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vyama vya upinzani ndio husamehe hiyo dhambi ya kuwa mfuasi wa ccm.Zambi kubwa kuliko yote ni kua mfuasi wa CCM
Nazani nimeeleweka ila msinizanie vibaya ndugu zanguni!
Wangesababisha uache kupiga misumari....Afazali ushirikina uko namba 4
Tamaa ndiyo mama wa dhambi. Mana Adamu alikuwa na choice ya kutokula tunda ili afanane na MUNGU. Hata shetani pia tamaa ndiyo ilimfanya awe shetani kwa sababu alitamani kua MUNGUUONGO ndio mama wa dhambi zote; tena ndio dhambi ya kwanza duniani.
Dhambi wanapata walioenda kushiriki huo uchaguzi maana kwenda kupiga kwao kura ndio wamehararisha huo wizi.Hapa sijafanya mbili mauwaji na ushirikina lakini naomba niulize hivi dola au chama tawala kikidhulumu kura na majimbo ya upinzani Nani specific anapata dhambi.
Huyo alikuwa Lucifer au Malkia Nebukadreza?Tamaa ndiyo mama wa dhambi. Mana Adamu alikuwa na choice ya kutokula tunda ili afanane na MUNGU. Hata shetani pia tamaa ndiyo ilimfanya awe shetani kwa sababu alitamani kua MUNGU
Lucifer mkuu wa malaika walioasi (shetani) alijisemea haya moyoni:
Isaya 14:13 "
Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
"
... tamaa ya Admu ilikuja baada ya uongo; baada ya kudanganywa na nyoka. Kuhusu tamaa ya Lucifer hayo ni mambo yalifanyika Mbinguni; mimi nazungumzia dhambi ya kwanza duniani.Tamaa ndiyo mama wa dhambi. Mana Adamu alikuwa na choice ya kutokula tunda ili afanane na MUNGU. Hata shetani pia tamaa ndiyo ilimfanya awe shetani kwa sababu alitamani kua MUNGU
Lucifer mkuu wa malaika walioasi (shetani) alijisemea haya moyoni:
Isaya 14:13 "
Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
"
Nilifikiri dhambi kumbe zambi ndio maana kuna Uzizi na zuluma 😂😂😂dunia inavozidi kuendelea kuna zambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizi zambi uwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Kumbe kuna dhambi mpya na hamsemi.dunia inavozidi kuendelea kunazambiambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
hizizambiuwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzizi
2-mauaji
3-zuluma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Adamu hakumdanganya nyoka . Nyoka ndiye mdanganya Adamu.... tamaa ya Admu ilikuja baada ya uongo; baada ya kudanganywa na nyoka. Kuhusu tamaa ya Lucifer hayo ni mambo yalifanyika Mbinguni; mimi nazungumzia dhambi ya kwanza duniani.
... (1) Nyoka akamdanganya Adam (2) Adam akaingiwa tamaa; that means UONGO then TAMAA! Ndicho nilichosema.Adamu hakumdanganya nyoka . Nyoka ndiye mdanganya Adamu.
Dhambi ya Adamu ilikuwa ni Tamaa .
Mana Aliahidiwa na Nyoka , kila tunda - Atafanana na MUNGU. na pia MUNGU kuna kitu anawaficha kwa hiyo akila tunda Atakuwa kama MUNGU.
Adamu akala kwa tamaa zake
Zote zasameheka mkuuIpi inasameheka na ipi haisameheki hapo?
Dhambi ya kwanza Adamu kuifanya ni Tamaa ( Kutamani Kuwa kama MUNGU kwa kula lile tunda )... (1) Nyoka akamdanganya Adam (2) Adam akaingiwa tamaa; that means UONGO then TAMAA! Ndicho nilichosema.
[emoji1][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]Afazali ushirikina uko namba 4