Hizi ndizo dhambi kubwa

Hizi ndizo dhambi kubwa

Mkuu kama ulimaanisha dhambi basi ungepanga hv...

1.. Ushirikina (shirki)
2..Kuuwa nafsi isiyo na hatia
3..Kuwaasi wazazi wawili (mama&baba)

Hizi dhambi adhabu zake huanzia Duniani mbinguni hazinaga mjadala ni moja kwa moja tu Kwenye hukumu ya milele.

4..Uzinzi
5..ulevi
6..n.k

Ila ukweli hayo yote husameheka kama tutatubu kabla umauti..

Hakika Mungu atusamehe sote hasa apo Kwenye uzinz na pombe...Mana hz dhambi acha tuuu
 
swadakta maana watakua wamekutoa kutoka kua msukule to real human
Maana inajulikana ukiwa upande ule inakupasa utolewe akili na zihifadhiwe kwenye Cold room Voult pale Lumumba!
Na ajabu hao wanaotolewa akili wakiwa Lumumba ila wakihamia upinzani wanaonekana wana akili wakati akili zilishatolewa pale Lumumba.
 
Kuamini kama kuna dhambi ni ujinga embu fikiria wale wakoloni walituobia mali kipindi cha colonialism je kweli wanapatje dhambi wakati si tulikuwa hatuna elimu na wajinga ukitaka kuamini dhambi hakuna wewe ukifanya kosa tunakuadhibu hapa hapa duniani hayo mambo ya dhambi hayana ukweli wowote wee kipimo gani hakina hata SI UNIT hatujui ukiuwa unapata dhambi ngapi au kuiba dhambi ngapi
 
Na ajabu hao wanaotolewa akili wakiwa Lumumba ila wakihamia upinzani wanaonekana wana akili wakati akili zilishatolewa pale Lumumba.
hahahaaa bwashee Ili kudhihilisha kwamba wamekua misukule ni pale wakifika upinzani hata hawakai wanarudi mbio usukuleni
Sababu hua wanakuja kimwili ila akili zao timamu wanasahau kuzibeba
Mwanzo hatukulitambua Hilo ila tukaja libaini baadae Sana!

Ref.Mzee Mamvi!
 
Hizi kusujudia miungu mingine sio dhambi ?
Au we ndo wale waamini majini
 
hahahaaa bwashee Ili kudhihilisha kwamba wamekua misukule ni pale wakifika upinzani hata hawakai wanarudi mbio usukuleni
Sababu hua wanakuja kimwili ila akili zao timamu wanasahau kuzibeba
Mwanzo hatukulitambua Hilo ila tukaja libaini baadae Sana!

Ref.Mzee Mamvi!
Sasa ukishapata unachokitaka sehemu uliyoenda(ugenini) bado utaendelea kukaa? Ni wazi utarejea nyumbani.
 
Sasa ukishapata unachokitaka sehemu uliyoenda(ugenini) bado utaendelea kukaa? Ni wazi utarejea nyumbani.
Mamvi hakuna kitu alipata ila alikosa alivyoacha
Maana yake Bora zimwi ulijualo
Kule alienda ilikua kawaida ila aliporudi Tena alikotokea ndio akajiharibia Zaidi maana kanuni za Dunia Hii ukiamua chukua maamuzi magumu songa mbele daima ukigeuka nyuma tu umeharibu destiny Yako!
 
Hiyo dhambi ya dhulma imetekelezeka mwaka huu kwa mtu wa chattle,ile dhulma ya uchaguzi ileee itatafuna wengi sn
 
Mamvi hakuna kitu alipata ila alikosa alivyoacha
Maana yake Bora zimwi ulijualo
Kule alienda ilikua kawaida ila aliporudi Tena alikotokea ndio akajiharibia Zaidi maana kanuni za Dunia Hii ukiamua chukua maamuzi magumu songa mbele daima ukigeuka nyuma tu umeharibu destiny Yako!
Tofauti inakuja kwenye sababu hasa iliyomfanya yeye kwenda kule ugenini, hapo ndio utaweza kujua kuwa mamvi alipata au alikosa.
 
Kule makanisani dhambi kubwa ni uzinzi, ukibainika umefanya unatengwa ushirika na kuacha huduma zote au kufukuzwa
 
Back
Top Bottom