Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ajabu hao wanaotolewa akili wakiwa Lumumba ila wakihamia upinzani wanaonekana wana akili wakati akili zilishatolewa pale Lumumba.swadakta maana watakua wamekutoa kutoka kua msukule to real human
Maana inajulikana ukiwa upande ule inakupasa utolewe akili na zihifadhiwe kwenye Cold room Voult pale Lumumba!
Lakini hapo kwenye list iko ya mwishoDhambi kuu hapo ni ushirikina hizo zingine ni cha mtoto .
Kula monde mkuu ..kula bia hadi kielewekeeDaaaa afadhali dhambi yangu ya ulevi haipo
Mkuu zile meli bado u nahitaji? Nilifanya mawasiliano majibu yanaweza kutoka soon.Lakini hapo kwenye list iko ya mwisho
Sana mkuu tafadhali fanyaMkuu zile meli bado u nahitaji? Nilifanya mawasiliano majibu yanaweza kutoka soon.
Sana mkuu tafadhali fanya
Nitakucheki maana namba yako ninayo mkuu.Sana mkuu tafadhali fanya
Daaaa afadhali dhambi yangu ya ulevi haipo
hahahaaa bwashee Ili kudhihilisha kwamba wamekua misukule ni pale wakifika upinzani hata hawakai wanarudi mbio usukuleniNa ajabu hao wanaotolewa akili wakiwa Lumumba ila wakihamia upinzani wanaonekana wana akili wakati akili zilishatolewa pale Lumumba.
Sasa ukishapata unachokitaka sehemu uliyoenda(ugenini) bado utaendelea kukaa? Ni wazi utarejea nyumbani.hahahaaa bwashee Ili kudhihilisha kwamba wamekua misukule ni pale wakifika upinzani hata hawakai wanarudi mbio usukuleni
Sababu hua wanakuja kimwili ila akili zao timamu wanasahau kuzibeba
Mwanzo hatukulitambua Hilo ila tukaja libaini baadae Sana!
Ref.Mzee Mamvi!
Mamvi hakuna kitu alipata ila alikosa alivyoachaSasa ukishapata unachokitaka sehemu uliyoenda(ugenini) bado utaendelea kukaa? Ni wazi utarejea nyumbani.
PouwaNitakucheki maana namba yako ninayo mkuu.
Dhambi ni kosa la mtu yeyote mwenye kuvunja makusudi Amri za Mungu au za Kanisa kwa mawazo,kwa maneno au kwa vitendo.Dhambi ni nini?
Tofauti inakuja kwenye sababu hasa iliyomfanya yeye kwenda kule ugenini, hapo ndio utaweza kujua kuwa mamvi alipata au alikosa.Mamvi hakuna kitu alipata ila alikosa alivyoacha
Maana yake Bora zimwi ulijualo
Kule alienda ilikua kawaida ila aliporudi Tena alikotokea ndio akajiharibia Zaidi maana kanuni za Dunia Hii ukiamua chukua maamuzi magumu songa mbele daima ukigeuka nyuma tu umeharibu destiny Yako!
mtaka vyote Kwa pupa.................!Tofauti inakuja kwenye sababu hasa iliyomfanya yeye kwenda kule ugenini, hapo ndio utaweza kujua kuwa mamvi alipata au alikosa.