Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimsahau na faza kama bado yupo. Madingi tunawasahau tukishakuwa wakubwa Maza anatulisha simu,yaweza kuwa kweli au uongo, tusiwasahau.Mungu nisamehe.
Ngoja nimcall maza nimuulize kapungukiwa nini
Mungu nisamehe.
Ngoja nimcall maza nimuulize kapungukiwa nini
Hiyo haiko kwenye katiba ya sir GodMkuu ongezea na ulevi hapo
Umesahau kula riba ambayo watu hawaiwazi hata kidogoDunia inavyozidi kuendelea kuna dhambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni.
Hizi dhambi huwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja.
1-uzinzi
2-mauaji
3-dhulma
4-ushirikina
miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
Pamoja na kwamba Mungu kasema ni dhambi bado unaona si dhambi🙄🙄Mimi navyojua ili iwe dhambi lazima kuwe na mtu anaeumia kutokana na hicho kitendo. Sasa nashindwa kuelewa uzinzi inakuaje dhambi wakati wote mnafurahia
Ujui ndo kubwa kuliko zoteAfazali ushirikina uko namba 4
Adam tenakuwa na adamu alafu umri sijui kama unalingana na mimi
Kwa mfano:mtu kalewa zake na anarudi nyumbani kwake huku anaimba nyimbo za kikwao,anakudhuru nini?Mkuu ongezea na ulevi hapo
Kosa au uvunjifu wa sheria ni uhalifu.Dhambi Ni kwenda tofauti na maamrisho(amri za Mungu),maelekezo,mapenzi mema ya Mungu kwa wale wenye Imani naye.Dhambi ni kosa au uvunjifu wa sheria
Je hizo dhambi ulizozi-ainisha ni kutokana na sheria aliopewa Musa kutoka kwa MUNGU au umeamua kuandika baadhi ya wewe unazoziona .
Pili wewe ni muumini wa MUNGU yupi JEHOVAH (MUNGU wa mbinguni ) au Allah
Kwa hiyo ukizini utakua umefanya uhalifu?Kosa au uvunjifu wa sheria ni uhalifu.Dhambi Ni kwenda tofauti na maamrisho(amri za Mungu),maelekezo,mapenzi mema ya Mungu kwa wale wenye Imani naye.
Mwenye NDOA anaZINI,, Bachelor anafanya UESHARATI...Kuna tofauti gani kati ya uzinzi na uasherati? Ipi ndio dhambi kubwa? Wachawi hawaaibishwi sana wanaogopwa kwa ushirikina wao
Hatupo pamoja.Uwe na siku njema.Kwa hiyo ukizini utakua umefanya uhalifu?
Umemfanyia uhalifu nani , Mungu au ?