Hizi ndizo gharama za kukodi Uwanja wa Azam Complex

Hizi ndizo gharama za kukodi Uwanja wa Azam Complex

Kuna team hapa bongo zinakaribia miaka 100 bado tu hazina viwanja, viongozi wanakuja wanapiga na kusepa.
Wewe ni shabiki wa moja wazo yaani Yanga au Simba sasa basi je una Jezi mpya? Unaingiaga uwanjani? Una kadi na unailipia? Au ni shabiki mdomo wakati huna mchango kwa club
 
Waongeze bei kwa Simba na Yanga, haya matimu yapo miaka dahali ila hayana viwanja wala plan zinazoeleweka...ni aibu
Wewe ni shabiki wa moja wazo yaani Yanga au Simba sasa basi je una Jezi mpya? Unaingiaga uwanjani? Una kadi na unailipia? Au ni shabiki mdomo wakati huna mchango kwa club
 
Kuna mambo yanaumiza sana moyo. Yanga na simba zina miaka zaidi ya 80, hazina viwanja vya kueleweka! Halafu Azam ya miaka ya 2000's, ina kiwanja cha kisasa!!

Nadhani ifikie wakati viongozi wa hizi timu mbili waache bla bla. Hata kama kuna uwanja wa Taifa, bado na wenyewe wanatakiwa kuwa na viwanja vyao binafsi.

Haileti kabisa mantiki kwa timu kama Yanga kwenda kuhemea uwanja wa Azam, huku uwanja wake wa Kaunda ukigeuka kuwa bwawa la kufugia vyura!
Wewe ni shabiki wa moja wazo yaani Yanga au Simba sasa basi je una Jezi mpya? Unaingiaga uwanjani? Una kadi na unailipia? Au ni shabiki mdomo wakati huna mchango kwa club
 
Wewe ni shabiki wa moja wazo yaani Yanga au Simba sasa basi je una Jezi mpya? Unaingiaga uwanjani? Una kadi na unailipia? Au ni shabiki mdomo wakati huna mchango kwa club
😂😂😂 Dah mkuu kwenye michezo napendelea kusikia mashabiki wakitambiana ila sina ushabiki wa simba au yanga zaidi nafurahia kuona tambo na majigambo. Usiwe mfalme njozi sio kila mtu ni simba au yanga. Kuhusu jezi dah sijawahi nunua ya timu yoyote hata za ulaya sina.
 
Klabu ya Azam Fc imetoa gharama kwa timu zenye kutaka kukodi na kuutumia uwanja wake wa Azam Complex pale kwenye maskani yao Chamazi.

Mazoezi kwa timu inayotaka kutumia uwanja huo kwa siku moja ni Shilingi laki sita ( 600,000 ) bila taa.

Ukitaka kufanya mazoezi na taa (usiku) basi utalazimika kulipa Shilingi Milioni Moja na Laki Tano kwa siku moja tu.

Ukitaka kucheza mechi pale kama anavyofanya Yanga, basi utalazimika kulipa Shilingi Milioni Tano na Laki Tisa tu. (5,900,000 ) na haijalishi mechi iwe mchana au usiku gharama ni hiyo.

Kwa timu za nje ya Tanzania gharama ya mazoezi ni Dola Elfu Moja ambazo ni sawa na karibu Milioni Mbili na Laki Tano.

Huku timu ya nje ikitaka kucheza hapo Azam Complex watalazimika kulipa Dola Elfu Tano sawa na Tshs Milioni 12 na Laki Tano.

Safi sana Azam Fc endeleeni kufanya maokoto maana timu hamna walau maokoto yapunguze gharama za uendeshaji wa timu.

View attachment 2732630
Ile timu ni kivuli cha kuchukulia tenda kama hizi maana hii nchi bila fitna na unafiki hupati tenda.Ndo maana wenyewe hawajali ubovu wa litimu lao.
 
Klabu ya Azam Fc imetoa gharama kwa timu zenye kutaka kukodi na kuutumia uwanja wake wa Azam Complex pale kwenye maskani yao Chamazi.

Mazoezi kwa timu inayotaka kutumia uwanja huo kwa siku moja ni Shilingi laki sita ( 600,000 ) bila taa.

Ukitaka kufanya mazoezi na taa (usiku) basi utalazimika kulipa Shilingi Milioni Moja na Laki Tano kwa siku moja tu.

Ukitaka kucheza mechi pale kama anavyofanya Yanga, basi utalazimika kulipa Shilingi Milioni Tano na Laki Tisa tu. (5,900,000 ) na haijalishi mechi iwe mchana au usiku gharama ni hiyo.

Kwa timu za nje ya Tanzania gharama ya mazoezi ni Dola Elfu Moja ambazo ni sawa na karibu Milioni Mbili na Laki Tano.

Huku timu ya nje ikitaka kucheza hapo Azam Complex watalazimika kulipa Dola Elfu Tano sawa na Tshs Milioni 12 na Laki Tano.

Safi sana Azam Fc endeleeni kufanya maokoto maana timu hamna walau maokoto yapunguze gharama za uendeshaji wa timu.

View attachment 2732630
Mali yake apange atakavyo.
 
Kuna mambo yanaumiza sana moyo. Yanga na simba zina miaka zaidi ya 80, hazina viwanja vya kueleweka! Halafu Azam ya miaka ya 2000's, ina kiwanja cha kisasa!!

Nadhani ifikie wakati viongozi wa hizi timu mbili waache bla bla. Hata kama kuna uwanja wa Taifa, bado na wenyewe wanatakiwa kuwa na viwanja vyao binafsi.

Haileti kabisa mantiki kwa timu kama Yanga kwenda kuhemea uwanja wa Azam, huku uwanja wake wa Kaunda ukigeuka kuwa bwawa la kufugia vyura!
Na hyo ndyo maana halisi ya kuitwa vyura
 
Na hyo ndyo maana halisi ya kuitwa vyura
Na nyinyi pia ni wale wale tu. Timu anaimiliki Moo!! Bla bla tu ndiyo zimetawala. Uwanja wenu wa Bunju mpaka leo hauna maendeleo ya kueleweka! Mlichangishwa hela za kujengea uwanja, wahuni wakazitafuna!!

Wala hamna tofauti yoyote na Yanga.
 
Na nyinyi pia ni wale wale tu. Timu anaimiliki Moo!! Bla bla tu ndiyo zimetawala. Uwanja wenu wa Bunju mpaka leo hauna maendeleo ya kueleweka! Mlichangishwa hela za kujengea uwanja, wahuni wakazitafuna!!

Wala hamna tofauti yoyote na Yanga.
Kunatofauti kati ya anaye Kodi hadi kiwanja cha mazoezi na anayefanya mazoezi kwenye kiwanja chake no wonder team ya kitanzania inakopa B.5 kuendesha team .
 
Kuna mambo yanaumiza sana moyo. Yanga na simba zina miaka zaidi ya 80, hazina viwanja vya kueleweka! Halafu Azam ya miaka ya 2000's, ina kiwanja cha kisasa!!

Nadhani ifikie wakati viongozi wa hizi timu mbili waache bla bla. Hata kama kuna uwanja wa Taifa, bado na wenyewe wanatakiwa kuwa na viwanja vyao binafsi.

Haileti kabisa mantiki kwa timu kama Yanga kwenda kuhemea uwanja wa Azam, huku uwanja wake wa Kaunda ukigeuka kuwa bwawa la kufugia vyura!
Kiwanja cha Azam hakikujengwa na timu ya Azam FC bali kilijengwa na kampuni ya biashara ya Azam ambayo pamoja na mambo mengine inadhamini pia timu za Yanga na Simba kwenye mashindanoa ya Tanzania Premier League
 
Back
Top Bottom