Hizi ndizo Sababu kuu 4 za Ufisadi Tanzania

Hizi ndizo Sababu kuu 4 za Ufisadi Tanzania

Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
Namba 2 ni sawa, hiki chama kinaoperate kama cartel ila na wao ndani ya chama ni kama wamesurrender chama kwa kikundi cha watu wachache waliovaa mask ya ccm wakati katiba imewapa majukumu mengine kabisa..wao ndio wanaiendesha ccm..hao ndio tunapaswa kudeal nao, bila hao ccm are nothing.
 
Umeeleza poa, Ila Kuna point sikubaliani nazo
 
Hao Graduates unao Wasema ndio hao wanashinda vijiweni kujadili Simba na Yanga Diamond Harmonize Wanawake Pombe na Bangi hata wakipata Ajira Akili ndio hiyo hiyo
Si ndio jamaa kasema Udumavu wa akili
 
Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
100% correct
 
Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
RNA kumbe ukitulia ukiacha uchawa huwa unakuwa na akili.

Sasa tunaimba nyimbo moja.

Ubovu wa katiba imekuwa kificho kwa mafisadi.

Kama ni wazalendo kwa nini hawapendi mabadiliko bora ya Katiba??
 
Sababu ya maana ni namba 3 ya umaskini..

Hata hivyo sababu kubwa kabisa ni kukosekana kwa maadili na uzalendo..

Hata kuwe na Katiba mpya hakuna siku ufisadi utaisha kwa sababu Nchi zenye Katiba mpya kama Kenya,Ghana na South Africa zinaongoza kwa ufisadi nk..

SoMo la maadili na uzalendo vianze kufundishwa kutokea chekechea.
Mkuu bila katiba mpya tutapiga machitaimu sana.

Rais anaitumia anavyotaka. Vyombo vyote vinamuogopa yeye. Anayependwa na rais mfano maDED na MaDC wanafanya wanavyotaka na watu wengine wanawaogopa.

TAKUKURU ikishajua una unasaba na Rais au mtu mkubwa basi hata utende dhambi gani inakukimbia. Hugusiki
 
Mkuu bila katiba mpya tutapiga machitaimu sana.

Rais anaitumia anavyotaka. Vyombo vyote vinamuogopa yeye. Anayependwa na rais mfano maDED na MaDC wanafanya wanavyotaka na watu wengine wanawaogopa.

TAKUKURU ikishajua una unasaba na Rais au mtu mkubwa basi hata utende dhambi gani inakukimbia. Hugusiki
Kwa hiyo Rushwa ya Nchi hii ni Rais au?
 
RNA kumbe ukitulia ukiacha uchawa huwa unakuwa na akili.

Sasa tunaimba nyimbo moja.

Ubovu wa katiba imekuwa kificho kwa mafisadi.

Kama ni wazalendo kwa nini hawapendi mabadiliko bora ya Katiba??
Sijawahi kuwa Chawa 😂😂😂😂
 
Chama mbadala kimeonjeshwa buyu la asali.
 
Back
Top Bottom