Hizi ndizo Sababu kuu 4 za Ufisadi Tanzania

Kinana fisadi mkubwa. Hawa ndiyo wako CCM kwa ajili ya matumbo yao. Magufuli alikuwa kiongozi mbaya sana, ila walikoofishana na Kinana kwa sababu alimkatia mirija yake. Sasa hivi amerudi kwa kasi sana na anapiga mbele, nyuma, kila upande kama mchwa!
 
Kinana fisadi mkubwa. Hawa ndiyo wako CCM kwa ajili ya matumbo yao. Magufuli alikuwa kiongozi mbaya sana, ila walikoofishana na Kinana kwa sababu alimkatia mirija yake. Sasa hivi amerudi kwa kasi sana na anapiga mbele, nyuma, kila upande kama mchwa!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daa
 
Kinana fisadi mkubwa. Hawa ndiyo wako CCM kwa ajili ya matumbo yao. Magufuli alikuwa kiongozi mbaya sana, ila walikoofishana na Kinana kwa sababu alimkatia mirija yake. Sasa hivi amerudi kwa kasi sana na anapiga mbele, nyuma, kila upande kama mchwa!
Kuna ushahidi lakini?
 
Tatizo watanzania hatuelewi tunataka nn mlimtukana sana mwendazake leo hii mnalia na mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…