Macho huna wewe.Nimeona video. Makombora yalioanguka hayakutengeneza second explosions hii inamaana yalianguka katika mchanga na sio katika millitary target.
Israel hua hadungui kila kombora wakilifatilia kombora wakiona litaenda kuangukia katika eneo lisilo la kiraia au eneo la wazi huwa wanayaacha hayo makombora yaanguke. Mfumo unatumia gharama kubwa ku intercept. Ndo maana unaona makombora yaliachwa..
Makombora yamepenya na yamepiga millitary infrastructures.Iran hawana shida na raia au raia wa israel wamejificha kwenye mashelta na mfumo wa iron dome umeyapangua
US kama nani Awaonye Hamas?Waarabu milioni mbili waliopo Israel nao hawana smartphones na camera? Wote ni maskini kama panya? Nao wanaficha madhara, na wageni nao wanaficha madhara?
Mbona clips za mashambulizi ya Israel uko Lebanon, Gaza, Syria tunaziona zimerekodiwa na simu na CCTV camera.
Unawapangia sasa cha kufanya. Wamefanya vikao kutokana na shambulizi, sio madhara ya shambulizi. Hata ushambulie porini au majini watafanya vikao.
Suala la majibu lipo wazi pigia mstari na bold. Subiri kuhesabu maumivu
Iran wanapigwa onyo sio mkwara, wasijeangamia. US mbona ilitoa onyo kwa Hamas na ikatoa pia kwa Hezbollah wakakaza shingo mwisho wa siku wameachwa na viranja tu viongozi wakubwa hamna. October 2023 hapaView attachment 3113920
Mach 5... iron dome ni Takataka mbele ya hayo madude😁Hakuna sehemu zinalindwa kama kambi za jeshi na hizo air defenses..
Iran kapiga military bases zenye kila aina ya air defenses kuanzia patriot hadi iron dome...
Hypersonic ni kombora linakimbia hadi mach 5 na zaidi na kibaya zaidi kina uwezo ku maneuver kukwepa air defense.
Iron dome ni takataka mbele ya hayo madude.
Yali hit,nilitizama habari kuna hadi shule mbili zilibutuka nusu na nusu zikapona,na bahati mbaya kumbe kulikua kuna wanafunzi wa bweni.Unaamini makombora yote yali hit target?
Arushe hizo jericho sijui jejicho wahuni tumletee makombora ya zalzalat.Kumbuka na yeye ana Jericho-3.
Wameumbuka sana.
Unaelewa hata maana ya CEP (circular error probable) ya missiles?Unaakili wewe kweli kwamba makombora 180 kutoka Tehran yalikuwa yalirushwa Kwa namna ya kuwakwepa watu?
Acha kujidhalilishaIsrael yupo vitan na Palestine, Lebanon Yemen Syria Iran na waturuki bado wanawasaidia bado urussi bado china, unataka nayy asisaidiwe we vipi, kanchi kadogo sana lakini kanapambana bila kuchoka na manchi makubwa makubwa, Israeli hata kama inasaidiwa lakini bado nimwamba
nishakwambia mimi ni fundi mchundo, niko napumzika hapa na JF mkononi baada ya kazi nzito ya kutindua
baadae narudi kazini
Iron dome si kitu...Mach 5... iron dome ni Takataka mbele ya hayo madude😁
Kwa wakati huu ikisikia maneno ya viongozi wa Iran yamejaa confidence ya ajabu sana kiasi kwamba hata viongozi wa Marekani wameogopa.Hata Biden amesikika akisema hawategemei kuona Israel ikifanya retaliation hivi karibuni...
US anaangalia maslahi yake, huku Ukraine kule China, bado aingie vita na Iran.
Hata raia wa US hawataki huo upuuzi.
US ikisema usifanye retaliation hawezi fanya.
Iran ipo seriously hivi sasa, na wanamaanisha.
Iran kiukweli wamechoka na uchokozi wa kila leo wa Israel.Kwa wakati huu ikisikia maneno ya viongozi wa Iran yamejaa confidence ya ajabu sana kiasi kwamba hata viongozi wa Marekani wameogopa.
Pia mm hizi ziara za viongozi wa Urusi ndani ya Iran siku hivi karibuni zilikuwa zinanitia mashaka.
Leo afisa mmoja wa ngazi za juu wa Iran wakati anahojiwa na Aljazeera amesema kuwa kwa sasa Iran imebadilisha sera yake ya siku nyingi ya uvumilivu dhidi ya Israel ,amesema kila uchokozi utakao fanywa na Israel utajibiwa kwa ukali.
Kiufupi hili shambulizi limemfedhehesha sana Netanyau kwa sababu limefanyika siku 3 tu tangu ajitape mbele ya ulimwengu kuwa hakuna mwenye ubavu wa kuigusa Israel.
Upo dunia gani na unajichekesha kabisa[emoji1]Military base gani imepigwa hapo israel na ushahidi wa picha na sio maneno kutoka vijiwe vya alkasus [emoji1787]
24 soja waliuwawa airbase Sema mnatizama sienieniMkuu hiyo milipuko imeleta athali gani?
Mbona haina tofauti na ile ya Hezbollah na hamas?
Eti unaenda mbele ya un unaanza kuwa tambia wanaume wenzio eti hakuna sehemu tusio weza kufika ndani ya Iran, na wahuni wakaamua wamjibu kwa vitendo kuwa hata sisi tunafika popote ndani ya nchi yako kwa kupiga kitovu cha nchi yake.Iran kiukweli wamechoka na uchokozi wa kila leo wa Israel.
Kiukweli hili shambulizi sio kufedheheshwa tu na aibu juu...
Ngoja tusubiri kuona huo mkono wa Israel utakaofika Iran, kwa maana inajulikana jamaa ni wazuri kufanya ugaidi na kutokomea.
Nyie akili hamna,tangu lini Askari wa kiyahudi wakachangamana na raia kama waarabu?Unawatumia raia kama ngao unategemea nini?Russia na Iran Wana ubinadamu siyo kama wazungu, USA, UK, France, Israel hawa ni Chinja Chinja hawana huruma na mtu kama Israel anavyofanya uko Gaza, na USA alivyofanya uko Iraq, Syria n.k
Wanajua mwarabu anaweza achia upupu wa nuke nadhani ndo kitakuwa kitu cha mwisho kurusha kwa waarabu watakapoona lgbtq+1 wameingia wataliachia hawana chakupoteza tuone hiyo irone dome itazuia upupu!Iran kiukweli wamechoka na uchokozi wa kila leo wa Israel.
Kiukweli hili shambulizi sio kufedheheshwa tu na aibu juu...
Ngoja tusubiri kuona huo mkono wa Israel utakaofika Iran, kwa maana inajulikana jamaa ni wazuri kufanya ugaidi na kutokomea.
Ngoja nieke kitu sawa, Anga la israel linalindwa na safu tatu, Arrow systems(1,2,3), David's sling na ya mwisho ndio hio "iron dome". Makombora ya masafa marefu yanayopita umbali wa juu sana yanazuiwa na arrow system, ya saizi ya kati na David's sling, na makombora madogo short range yanazuiwa na iron dome. Iron dome haiwezi kuzuia ballistics missile hivo yanazuiwa na arrow system. Makombora yaliorushwa na iran yalikuwa ni hypersonic ballistic missiles kwahiyo mengi yalizuiwa na arrow system na sio iron dome, teknolojia ya arrow system itaruhusu bomu lipite kama litaenda kutua sehemu ambayo haina shida, bomu kama linaenda kutua katikati ya jangwa haina haja ya kulizuia. Mabomu mengi ya iran yalitua jangwani, mengine kwenye open space tu, yaliolenga kwenye makazi yalizuiwaUkitumia akili na siyo mahaba, haya makombora yalileta madhara coz mbinu iliyotumika ni kuupa mzigo mkubwa huo mtambo wa kuyazuia!
Yaani ni kutumia hesabu za kawaida tu, mzigo una uwezo wa kuzuia kombora moja kwa dakika (huu ni mfano), ili kuuzidi unatuma makombora kumi kwa dakika! Hatimaye yalifanikiwa kupenya!
Israeli air bases, school and locations near Mossad HQ hit, Sky News finds
Sky News has identified at least seven locations in Israel that were hit in Iran's missile attack. These include two Israeli air bases, a school grounds and two close to the area suspected of housing Mossad's HQ.
The Latest News from the UK and Around the World | Sky News
Sky News delivers breaking news, headlines and top stories from business, politics, entertainment and more in the UK and worldwide.news.sky.com
Nb:Tukumbuke hii ni biashara ya watu, tegemea kuwa utaambiwa mtambo umefanya kazi yake vizuri! Propaganda!
Mzigo brand new, THE IRON BEAM, round hii mfumo unatumia mionzi kuzuia makombora haina haja ya kuintercept na mabomu, sipati picha itakuaje, naomba wakamilishe haraka watesti kwa iran 😂😂Mtambo unaenda kuboreshwa, sasahv hata wakituma buku kwa dakika Yana haribiwa ,myaudi kashindikanika pale mashariki kanchi kadogo lakini mziki wake mpaka huku bongo tuna usikia