KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Umemaliza kila kitu.Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila kitu.Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Ufukara usikufanye kuchukia matajiriHuyu tajiri ni mswahili swahili mnoo, anatunyanyasa mnoo pale msimbazi.
Huyu tajiri ni mswahili swahili mnoo, anatunyanyasa mnoo pale msimbazi.
Sana tu yaaani Sana tu Elon mara ngap analia watu wanunue dogecoin zake??Juzi katuko kulialia anawaomba McDonald waanze kutumia dogecoin kama njia ya malipo kwa wateja wake.....Akifanya mzungu ni mjanja ila akitwiti mwamedi wetu analia,mara ushamba mara tajiri wa mchongo(haya yote ni MANENO YA WAKOSAJI) Ivi ata wewe ungeweka mzigo kwenye team na bado team inayumba ungekaa kimya??Elon ushamuona anatweet kulia lia kama Mo,jifunze kukubali ukweli
Mo ni msimamizi wa mali za familiaMo ni Tajiri wa mchongo