Hizi ni baadhi ya athari za malezi ya single parents

Acha Mambo ya kihuni,,,Sasa unavyosema tumefungwa wiki unamaaniasha kila siku ya wiki tuna bao moja?au una maanisha Nini?
7 gawanya kwa siku saba unapata goli moja kila siku inayorudi kwa Muumba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Just simple math, hakuna uhuni hapo.

Tuachane na Man Utd, it 's getting hot here
 
7 gawanya kwa siku saba unapata goli moja kila siku inayorudi kwa Muumba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Just simple math, hakuna uhuni hapo.

Tuachane na Man Utd, it 's getting hot here
Very Hot... Anyway shit happens
 
Kwahiyo unamaanisha kuoa kunafanya afya ya akili ya mtu iwe mashakani? Kama hautojali unaweza kuielezea hii hata kwa paragraph moja.
Ikiwa short and detailing nitafurahi mno.
Mkuu ishi ukijua wanawake wanaotambua maana ya ndoa hawafiki 10 , wengi hawajitambui na sheria za ndoa ni mbovu mno , kutokana na haya mda wowote akili yako inaweza athirika ,ukafika hata maamuzi ya kufanya mauaji, hii nimeongea nikiwa kama mwanaume , pia wanawake wana yao mengi ya kupinga au kukubali ndoa.
 
So kiufupi upo against ndoa?
 
kila binadamu anazaliwa na tabia., uelewa , personalality, wa peke yake mkuu .Nimeona familia nyingi zenye wazazi wote hata wenye mzazi mmoja wanakua tofauti kitabia, Mtu unapozaliwa unakua identity yako mwenyewe hata kama hutaionesha mbele za watu au wazazi. Malezi yanachangia asilimia kama 5 zilizobaki ni mtu mwenyewe alivozaliwa watz inabidi tufahamu hili
 
Hauzaliwi ukiwa na tabia fulani ila unajifunza unapoanza kuishi
 
Hauzaliwi ukiwa na tabia fulani ila unajifunza unapoanza kuishi
tabia inategemeana na nature yako jinsi ulivozaliwa ndio maana uakuta kuna watu wazazi wao ni hao hao ila uakuta ni watu wawili tofauti hawafanan au uakuta watu wanakua kwenye mazingira yanayofanana ila kila mmoja anakua mienendoi yake tofauti
 
tabia inategemeana na nature yako jinsi ulivozaliwa ndio maana uakuta kuna watu wazazi wao ni hao hao ila uakuta ni watu wawili tofauti hawafanan au uakuta watu wanakua kwenye mazingira yanayofanana ila kila mmoja anakua mienendoi yake tofauti
Tabia hauzaliwi nayo, tabia inajengwa unapoendelea kuishi na kuiishi. Hauzaliwi ukiwa jambazi ila unajifunza tabia ya ujambazi ukiwa unaendelea kuishi na kuiishi
 
Miongoni mwa sababu zinazopelekea hii hali ni migogoro ya kimahusiano na ndoa.Mtoa mada na jamii husika wamekariri kuwa hii ni sababu kuu!!!!!!!!!!Hali hii hupelekea mzazi mmoja hasa mwanamke kubebeshwa lawama na mzigo mkubwa!!!!!!!!!!

Tuwe na picha pana la hili tatizo mimi naanza na kifo au vifo vya wazazi wa mtoto au watoto. ukiwa na picha pana hutakuwa mtu wa kupenda kulaumu upande mmoja!!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tabia hauzaliwi nayo, tabia inajengwa unapoendelea kuishi na kuiishi. Hauzaliwi ukiwa jambazi ila unajifunza tabia ya ujambazi ukiwa unaendelea kuishi na kuiishi
ushawahi kuona mtoto wa miaka 3 anaanza wizi?? unajuliza huyu kamuona nani?# au kitoto kidogo kinakua kiongo haswa au unakuta mtoto mdogo ila hata wazazi wake wanajua huyu ni mchoyo?? au unakuta mtoto mwingine yeye mkorofi mwingine mpole mwingine yeye hapendi kuongea sasa hizi ni tabia amabazo watu tunakua umezaliwa nazo ambazo baadaye zinazaa tabia nyingine ni nature ....ndio maana hata mtoto akizaliwa ana namna yake ya kutaka kunyonya, namna ya kulala schedule ya kulia n.k
 
Hakukuwa na sababu ya ku-bold ili kuweka msisitizo. Pitia thread kwa taratibu kuna kitu ambacho uliposoma haukukielewa vizuri ukirudia utaelewa
 
Unakubaliana na mimi ila maneno unayoyatumia yanakingana na unachokiamini kutoka kwenye maandishi yangu. Tabia hauzaliwi nayo
 
KWA maisha ya ndoa single parent sio chaguo sahihi wamekosa balance. Pili usiingie kwenye ndoa na mtu yeyeto aliyekosa Upendo utotoni. Labda tu awe ni selfmade yaani aliye na uwezo wa kuyafuta yote mabaya ya nyuma na akakubali kuingiza mapya.
Wengi wanaishi experience za wazazi wao.
 
Unakubaliana na mimi ila maneno unayoyatumia yanakingana na unachokiamini kutoka kwenye maandishi yangu. Tabia hauzaliwi nayo
tabia unazaliwa nazo kinachookea ukubwani personality, mienendo, misimamo inatgemea mtu alivyo it has nothing to do with how someone have been raised
 
tabia unazaliwa nazo kinachookea ukubwani personality, mienendo, misimamo inatgemea mtu alivyo it has nothing to do with how someone have been raised
Tabia hauzaliwi nayo, kaa nayo hii kichwani. Hii ndio fact pekee ambayo unatakiwa kuishika
 
Na kwenye kufuta hapo ndo pagumu, kiufupi mtu aliyekosa upendo wa either baba au mama pindi alipokuwa mtoto kuishi naye ni shida kubwa mno
 
Tabia hauzaliwi nayo, kaa nayo hii kichwani. Hii ndio fact pekee ambayo unatakiwa kuishika
we unadhani watu wale wanaokuwaga wapole huwa unakuta amezaliwa hivyo sasa kwenye kukua uakuta kwa vile yeye ni mpole lazima mambo yake ni chini chini ndo maana utasikia wapole wankuaga na hasira au uakuta mtu historia yake tokea mtoto ni mkorofi sasa mara nyingi akiwa mkorofi uakuta yumo kwenye pombe sigara kuokana na nature ya alivyozaliwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…